Amydiz Member Joined Mar 28, 2017 Posts 38 Reaction score 29 Nov 8, 2025 #1 Je ni namnagani ya kuanza biashara ya kuuza bando??
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 165,751 Reaction score 184,586 Nov 9, 2025 #3 Ngoja waje kukupa muongozo... Cc: Mahondaw
Troll JF Platinum Member Joined Feb 6, 2015 Posts 9,279 Reaction score 13,707 Nov 10, 2025 #4 Hao ni wanamilikiwa na watu wa ndani/wafanyakazi wa hiyo mitandao wanawapa code ambazo haziko open kwa wananchi. Wanatumia kama fursa.
Hao ni wanamilikiwa na watu wa ndani/wafanyakazi wa hiyo mitandao wanawapa code ambazo haziko open kwa wananchi. Wanatumia kama fursa.