Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 29,844
- 86,651
Lipa namba ipo ni wewe tu kusema and.. hiyo hapo!Sasa mpesa unapataje bila namba😁😁
Lipa namba ipo ni wewe tu kusema and.. hiyo hapo!Sasa mpesa unapataje bila namba😁😁
Acha kufananisha,betting na vitu vya ajabu ajabuHii ni list ya biashara ambazo huwezi toboa kamwe labda upate hela ya kula tu
1; kuuza karanga
2; Machinga
3; Bodaboda
4; Kubet
5; Muuza Chipsi
6; Grocery
Hizi ni miongoni mwa biashara ambazo kutoboa labda utoboe pua!
Lipa namba ni biashara buana😋Lipa namba ipo ni wewe tu kusema and.. hiyo hapo!
Kwani si ndio hii au😂Lipa namba ni biashara buana😋
Bora biashara ya kununua nyapu zenye Makebo makubwa haipo hapo naona itakua inalipa sanaHizi ni miongoni mwa biashara ambazo kutoboa labda utoboe pua!
Hivi unajua ukikaa vizuri na mama yako anaweza kukutajia baba yako wa ukweli, ambaye usishangae ni anafanya machinga, bodaboda, kuuza chips au betting na usishangae ana maisha bora kuliko huyo baba yako wa uongo unayedhani ni baba yako.Hii ni list ya biashara ambazo huwezi toboa kamwe labda upate hela ya kula tu
1; kuuza karanga
2; Machinga
3; Bodaboda
4; Kubet
5; Muuza Chipsi
6; Grocery
Hizi ni miongoni mwa biashara ambazo kutoboa labda utoboe pua!
Kweli hayo ni mashetani una fall in love na stranger ? 🤣Una mashetani ya kihindi wewe si bure!
Labda anaota! Bora stranger kuliko fake id!Kweli hayo ni mashetani una fall in love na stranger ? 🤣
Sijacheka tangu asbh kmmk😂Hivi unajua ukikaa vizuri na mama yako anaweza kukutajia baba yako wa ukweli, ambaye usishangae ni anafanya machinga, bodaboda, kuuza chips au betting na usishangae ana maisha bora kuliko huyo baba yako wa uongo unayedhani ni baba yako.
Kijana ukae ukijua hayo makundi uliyotaja yana maisha mazuri kuliko hata wafanyazi wa serikali, pamoja na wewe ambaye upo nyumban huna kazi.
😂😂😂 nimekumbuka kitu hapa au basiiiiLabda anaota! Bora stranger kuliko fake id!
Kitu gani mkuu, hebu kuwa wazi😅😂😂😂 nimekumbuka kitu hapa au basiiii
Aha haha TBT la mwaka 2010 hilo 🤣Kitu gani mkuu, hebu kuwa wazi😅
Uli fall kwa stranger na wewe?🤣Aha haha TBT la mwaka 2010 hilo 🤣
Enzi hizo hakuna whatsapp sauti tamu ilikosea namba nikapokea simu wacha nisafiri mbali kuja kuonana na stranger mbona nilijuta ? 🤣Uli fall kwa stranger na wewe?🤣
Nazipenda sana kachoriMwanzo inakuwa hivyo,ukipika mara Kwa mara unazoea,
Viazi visiwe laini sana,na kachori Ina tabia ya kuvurugika hasa mafuta yakiwa mapya.
Ukakutana na kina sie🤣Enzi hizo hakuna whatsapp sauti tamu ilikosea namba nikapokea simu wacha nisafiri mbali kuja kuonana na stranger mbona nilijuta ? 🤣
Aweeee 🤣🤣🤣Ukakutana na kina sie🤣View attachment 3624337hukuzima simu kweli?🤣