Biashara ambazo huwezi toboa kamwe!

Biashara ambazo huwezi toboa kamwe!

Hii ni list ya biashara ambazo huwezi toboa kamwe labda upate hela ya kula tu
1; kuuza karanga
2; Machinga
3; Bodaboda
4; Kubet
5; Muuza Chipsi
6; Grocery

Hizi ni miongoni mwa biashara ambazo kutoboa labda utoboe pua!
Hakuna biashara ambayo huwezi kutoboa na hakuna biashara ambayo ukiifanya lazima utoboe ila inategemea unaifanya kwa staili gani.
Diamond Platinum ni milionea na alianzisha biashara ya kuuza karanga.
Na kubet sio biashara ni mchezo wa bahati nasibu.
 
Umesahau biashara ya genge na pombe za kienyeji!
Na zenyewe hadi utoboe, kazi ipo.
Genge lina hela mkuu na faida zake ni kubwa kuliko duka la mangi ila watu wengi hawajui hii siri.
Ila masharti yake ukishaleta mzigo uwe unauza kwa spidi bidhaa zisikuozee yaani ukileta mzigo mpya uhakikishe ndani ya siku 3 viwe vimeisha kisha unaagiza mzigo mpya
 
Hakuna biashara ambayo huwezi kutoboa na hakuna biashara ambayo ukiifanya lazima utoboe ila inategemea unaifanya kwa staili gani.
Diamond Platinum ni milionea na alianzisha biashara ya kuuza karanga.
Na kubet sio biashara ni mchezo wa bahati nasibu.
Ile aliifanya kikampuni na branding…..ila kwa maisha ya kawaida ya uchuuzi ni ngumu
 
Huwezi kupinga namna hiyo
images-1.jpeg
 
Kila mtu anatafsiri yake ya neno kutoboa,
Tafsiri yako ni ipi?

Na ni biashara zipi ukifanya unatoboa kulingana na tafsiri yako ya kutoboa?
 
Hii ni list ya biashara ambazo huwezi toboa kamwe labda upate hela ya kula tu
1; kuuza karanga
2; Machinga
3; Bodaboda
4; Kubet
5; Muuza Chipsi
6; Grocery

Hizi ni miongoni mwa biashara ambazo kutoboa labda utoboe pua!
Kutoboa ndio kuwaje, nijitathmini kama sijakujibu.
 
Hii ni list ya biashara ambazo huwezi toboa kamwe labda upate hela ya kula tu
1; kuuza karanga
2; Machinga
3; Bodaboda
4; Kubet
5; Muuza Chipsi
6; Grocery

Hizi ni miongoni mwa biashara ambazo kutoboa labda utoboe pua!
Bodaboda itoe hapo, ushuhuda ni mwingi sana kwa waliotoboa kwa bodaboda.

Mtu alianza na boda ya kipande, akanunua yake, baada ya muda akawa nazo za kwake kadhaa na sasa anamiliki min-busy la abiria

Hapo toa nyumba na biashara nyingine kadhaa ambazo zote zimetokana na bodaboda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bodaboda itoe hapo, ushuhuda ni mwingi sana kwa waliotoboa kwa bodaboda.

Mtu alianza na boda ya kipande, akanunua yake, baada ya muda akawa nazo za kwake kadhaa na sasa anamiliki min-busy la abiria

Hapo toa nyumba na biashara nyingine kadhaa ambazo zote zimetokana na bodaboda

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh, labda kuna magendo mengine nje ya bodaboda
 
Back
Top Bottom