Manyanza
Platinum Member
- Nov 4, 2010
- 20,255
- 48,111
A bhanike ba gokaya bha wiza 😍Ukakutana na kina sie🤣View attachment 3624337hukuzima simu kweli?🤣
A bhanike ba gokaya bha wiza 😍Ukakutana na kina sie🤣View attachment 3624337hukuzima simu kweli?🤣
Usiwalaumu amshapopo kuna wafanyabiashara na wajisiriamali.Wengine ndo wanakomaa nazo mwazo mwisho mpaka jua linazama
Uwii acha niendelee kujificha hivihivi kama mambo yenyewe ndio haya🤣Aweeee 🤣🤣🤣
Pisi ilikuwa na sauti tamu balaa halafu ni mtoto wa tajiri wa mabasi fulani nikasema hili ni zali la mentali. Nilitupia balaa nikanunua na perfume ya 1 milioni. Meeting point iikuwa Ubungo Plaza pale. Blue pearl Hotel. Kuonana na pisi kwanza nilitetemeka ilivyo ya ajabu, mweusi tiii, pimples mpaka zina usaha ina maana hata cleanser haijui au kufanya facial hajui na alikuwa amevaa gauni la red made 😄 pozi ziliisha aisee
Gosi?😅 hemba ba ntuzu, ko bise tole ba pi ghete wawa🤣A bhanike ba gokaya bha wiza 😍
Wew unafanya ipi kati ya hizo ili kujipatia ya kula na ipi unaifanya na imekutoboresha au itakutoboresha Click here to get the latest mixtape🔥Hii ni list ya biashara ambazo huwezi toboa kamwe labda upate hela ya kula tu
1; kuuza karanga
2; Machinga
3; Bodaboda
4; Kubet
5; Muuza Chipsi
6; Grocery
Hizi ni miongoni mwa biashara ambazo kutoboa labda utoboe pua!
Daa !! kama unanisema Mimi vile ,, ila okay ,, ipo hivi kwa upande wangu nilipoona biashara imechangamka sana ,, niliona siyo mbaya nikaanza hata kajiujenzi taratibu maana huwezi jua ya mbeleni .. nikajisema moyoni bora hata nianzishe pagala ili kesho hata mambo yakienda mlama basi nitakuwa hata nikijisehemu ambacho kitakuwa kama kumbukumbu kipindi biashara yangu ikiwa kwenye prime ..Huwa nakereka sana. Mtu biashara ndo inaanza kuchangamka anakimbilia kuoa au kununua kiwanja badala ya kuikuza biashara kwanza. Tatizo pia mtu akishaanza kupata vijisenti washauri nao wanakuwa wengi na kumpa presha za kufanya mambo mengine.
Natogilwe bapi unene 😃👌Gosi?😅 hemba ba ntuzu, ko bise tole ba pi ghete wawa🤣
Sasa asioe kwnn aendelee kuziniSafari ya mafanikio ni mjumuiko wa mambo madogo madogo mengi sana. Mtu anaweza kuanzia kwenye chips akajiongeza na kukuza biashara yake ikakua. Cha muhimu ni nidhamu kwa kile kidogo unachopata. Tatizo mtu akianza kuuza chips labda za 30k kwa siku ataoa, atataka kununua plot na kuanza ujenzi. Mwishowe anaanguka auS kuwa mtumwa wa milele wa hizo chips.
Duh!! Sio kweli mkuu zinalipa sana hizo na hukimbizani na serikali mambo ya kodi.Hii ni list ya biashara ambazo huwezi toboa kamwe labda upate hela ya kula tu
1; kuuza karanga
2; Machinga
3; Bodaboda
4; Kubet
5; Muuza Chipsi
6; Grocery
Hizi ni miongoni mwa biashara ambazo kutoboa labda utoboe pua!
Wee labda kama sio ntuzu unatupanga! Ukanda huo tunaujua vzr👌🏽Banike ba kwenoko ba wiza no bapee ghete! Ukaache huko huko huku, haiwezekani!🤣Natogilwe bapi unene 😃👌
Wallahi natogilwe bapi unene ,Wee labda kama sio ntuzu unatupanga! Ukanda huo tunaujua vzr👌🏽Banike ba kwenoko ba wiza no bapee ghete! Ukaache huko huko huku, haiwezekani!🤣
Sasa kwanini ulimkimbia crush🤣Wallahi natogilwe bapi unene ,
Strangers noma halafu at that time ujana aisee nilikuwa kwenye 22 au 23 hivi nilikuwa naelewa basiiii 🤣🤣🤣🤣 halafu nilikuwa na crush la kizungu kipindi hiko sema wenge la sauti tuSasa kwanini ulimkimbia crush🤣
Pole sana mkuu. Kiukweli biashara huwa haitabiriki kabisa. Yaani unaweza fanya kila kitu kinachotakiwa kufanyika na mfanyabiashara ila bado ukaanguka na kutumika kama mfano kwa wengine. Mimi ninakupongeza kwa kuukubali ukweli kuwa biashara imeanguka. Kuna wengine kwa sasa wana hizo pagala ambazo karibia zinapigwa bei na wakopeshaji. Wakati wewe ulikubali ukweli kuna wenzako walijipa moyo na kukopa ili kuokoa biashara.Daa !! kama unanisema Mimi vile ,, ila okay ,, ipo hivi kwa upande wangu nilipoona biashara imechangamka sana ,, niliona siyo mbaya nikaanza hata kajiujenzi taratibu maana huwezi jua ya mbeleni .. nikajisema moyoni bora hata nianzishe pagala ili kesho hata mambo yakienda mlama basi nitakuwa hata nikijisehemu ambacho kitakuwa kama kumbukumbu kipindi biashara yangu ikiwa kwenye prime ..
Na ndiyo kilichokuja kutokea. Kwasasa biashara imeanguka ila Kila nikiangalia pagala langu nafarijika kuwa at least I did something ..
Hivyo hii mitazamo ndiyo hupelekea wengi tuwe tunafanya hivyo ila siyo kama tunapenda .. unajua hamna kitu kina uma kama maneno ya watu ,, pindi watu watakapo kuwa wanasema " huyu jamaa alikuwa mfanyabiashara mkubwa vibaya mno lakini mpumbuvu huyu hakukumbuka kujenga hata kiti .. "
Dahh kwanza hujanimalizia story! Ulimwambiaje huyo aliyekudatisha kwa sauti tu😂 kama mlikutania lodge kazi ipo😂, crush wako mzungu ukamuacha kwa muda sio😎Strangers noma halafu at that time ujana aisee nilikuwa kwenye 22 au 23 hivi nilikuwa naelewa basiiii 🤣🤣🤣🤣 halafu nilikuwa na crush la kizungu kipindi hiko sema wenge la sauti tu