Nexltshahda
JF-Expert Member
- Jun 1, 2026
- 384
- 757
Namba 4 umeingiaje hapo aisee, nimetoboa kupitia namb 4 maan mpaka saiz nimeuza simu 4 yani nimetoboa simu 4.
Ongeza eneo la kukaa utatoboa tuNauza kahawa, una lipi la kunishauri??
Njoo kwangu achana na biashara za kitoto 😋Naomba nifundishe kupika kachori😊
WORD!Binadamu kama huwezi kubadilika huwezi kufanikiwa kamwe!
Kuna biashara unatakiwa kuzifanya kama sehemu ya kujifunza na kupata uzoefu.
Muhindi tapeli! Hivi ulipewaga kweli namba na yule mtoto mkali?Njoo kwangu achana na biashara za kitoto 😋
Yule lastborn anadeka buanaMuhindi tapeli! Hivi ulipewaga kweli namba na yule mtoto mkali?
Sasa kama yule umemshindwa mi utaniweza?Yule lastborn anadeka buana
Come to me baby
Still vague.Standard life
Nitakujali km kifaranga kwa mamake💔Sasa kama yule umemshindwa mi utaniweza?
Hahhaha ki faranka au kifaranga😁Nitakujali km kifaranga kwa mamake💔
Unaanza kufanya ni fall in love we mtotoHahhaha ki faranka au kifaranga😁
Hizi dharau mkuu tunategemeana halafu kumbuka jeneza halina mifuko hata kama utakuwa unafanya biashara ya siasa hautazikwa na pesa zako 😅Hii ni list ya biashara ambazo huwezi toboa kamwe labda upate hela ya kula tu
1; kuuza karanga
2; Machinga
3; Bodaboda
4; Kubet
5; Muuza Chipsi
6; Grocery
Hizi ni miongoni mwa biashara ambazo kutoboa labda utoboe pua!
Una mashetani ya kihindi wewe si bure!Unaanza kufanya ni fall in love we mtoto
na hii baridi 🥺
umewahi kufanya hzo?Hii ni list ya biashara ambazo huwezi toboa kamwe labda upate hela ya kula tu
1; kuuza karanga
2; Machinga
3; Bodaboda
4; Kubet
5; Muuza Chipsi
6; Grocery
Hizi ni miongoni mwa biashara ambazo kutoboa labda utoboe pua!
Huoni mesej yangu inbox Toto😋Una mashetani ya kihindi wewe si bure!
The only text am ought to see is M-Pesa and not otherswise!Huoni mesej yangu inbox Toto😋
Sasa mpesa unapataje bila namba😁😁The only text am ought to see is M-Pesa and not otherswise!