Manyanza
Platinum Member
- Nov 4, 2010
- 20,272
- 48,380
Pale Blue Pearl Hotel palikuwa na sehemu ya kukaa mnaweza mkaagiza Soda/Juice/Cocktail mnapiga stories tu kawaida palikuwa ni open space. Hatukukutana Lodge kumbuka nimesafiri hapo sababu ya sauti tu 🤣🤣🤣 nilijiona bonge la fala. Tulipiga story tu na akawa amejaa kwenye mfumo lakini mimi hata mzuka sina. Nilimpanga jamaa nipigie halafu sema nahitajika haraka kuna mambo inatakiwa yafanyike. Tulivyoachana tu akala tofali.Dahh kwanza hujanimalizia story! Ulimwambiaje huyo aliyekudatisha kwa sauti tu😂 kama mlikuatania lodge kazi ipo😂, crush wako mzungu ukamuacha kwa muda sio😎
