Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 28,950
- 147,821
Mie nauza kachori,vipi nitatoboa?Hizo ni kazi za shurba na kipato kidogo so ili ufanye juhudi utoke kwenye circle ni ngumu sana
Mie nauza kachori,vipi nitatoboa?Hizo ni kazi za shurba na kipato kidogo so ili ufanye juhudi utoke kwenye circle ni ngumu sana
Badala umpe moyo we unamnyong'onyeza kabisaa.
Safari ya mafanikio ni mjumuiko wa mambo madogo madogo mengi sana. Mtu anaweza kuanzia kwenye chips akajiongeza na kukuza biashara yake ikakua. Cha muhimu ni nidhamu kwa kile kidogo unachopata. Tatizo mtu akianza kuuza chips labda za 30k kwa siku ataoa, atataka kununua plot na kuanza ujenzi. Mwishowe anaanguka au kuwa mtumwa wa milele wa hizo chips.
Naomba nifundishe kupika kachori😊Mie nauza kachori,vipi nitatoboa?
It's wastage of timeNi kweli kabisa mkuu, na kinachoweza fanya mtu awe na progress ni nidhamu na muendelezo kwenye kile ameanza, changamoto pia ya watu niliyo ona ni ile mtu unaanza mala unaacha unahamia kwingine bila mipangilio
Na hawapati hata Hela ya kulaBora hizo mkuu" wengine hawana kabisa
Kachori za biashara au za kula nyumbani😂😂Naomba nifundishe kupika kachori😊
Za kula nyumbani, kuna siku nimejaribu zikasambaa🥲Kachori za biashara au za kula nyumbani😂😂
Huwa nakereka sana. Mtu biashara ndo inaanza kuchangamka anakimbilia kuoa au kununua kiwanja badala ya kuikuza biashara kwanza. Tatizo pia mtu akishaanza kupata vijisenti washauri nao wanakuwa wengi na kumpa presha za kufanya mambo mengine.Umeongea kitu cha msingi sana,
Mtu mtaji wake laki 4 ila mahari milioni tatu harusi sijui 7M.
ila kukuza mtaji sio shida zake.
Unga ulikorogea yai?Za kula nyumbani, kuna siku nimejaribu zikasambaa🥲
NdioUnga ulikorogea yai?
Ndio
Kumbe! Au ishu ni mafuta mapya🤔Mwanzo inakuwa hivyo,ukipika mara Kwa mara unazoea,
Viazi visiwe laini sana,na kachori Ina tabia ya kuvurugika hasa mafuta yakiwa mapya.
Nimecheka sana,yeah naiweka bize nipate pesa ya bando la kuingia jeiefu.Et unauza kachori 😂😂😂 labda unajiweka bize tu ila sio biashara ya kutoboa