pc yako haikidhi mahitaji ya fifa15 download fifa 14 ni jepesi zaidi.Sorry mkuu, namimi natamani kuanza kucheza game kwenye PC, nataka nicheze Fifa 15 ila PC yangu lenovo, Processor Intel (R) celeron (R) CPU 1005M @1.90Ghz na ina ram ya 4gb. Vp kwa specification hizo naweza cheza huo mzigo
Shukrani mkuupc yako haikidhi mahitaji ya fifa15 download fifa 14 ni jepesi zaidi.
Wapi? Kuna sehemu unapanda ngazi njuu ya nyumba?Nilikuwa nacheza battlefield 2 kufika mission ya sita ikagoma, mwenye kujua tafadhari anisaidie
Yap napafahamu Tafuta bf2 crack fix downloadYap pale elicopter inakuja
kuna jembe menendezKwa jinsi inavyoonekana ni kwamba Call of Duty 2 Black Ops huiwezi fananisha na COD 3, Hii Black Ops 2 ni balaa. Achana na akina Yuri na Captain Price au Soap. Huku kuna miamba miwili, ninaposema miamba ni miamba kweli kwenye mapambano.
Kuna :-
1. Frank Woods
2 Alex Mason
Hatari sana hao watu hapo Juu!
battlefield 4 has the best graphicsHiyo Game sijacheza, ni nzuri kuliko Call of Duty 2!?
mimi nakaa karibu na msewe upo mitaa ganiPoa! Nipo ubungo msewe njoo uchukue ni pm
iliniuma ghost alivokufa aiseegames kali hapa >>>>> GAMES INDEX [A-Z] | Direct Link Games™
CALL OF DUTY NI NOMA
mbabe John "Soap" MacTavish
John Price
Gary "Roach"
ctpn ghost
cpl dunn
hawa watu hatari
iliniuma ghost alivokufa aisee
Battlefield 4 hatar sana... Akina irishbattlefield 4 has the best graphics