Best PC games

Best PC games

-Mimi kwangu mpaka sasa kali ni Fifa 14 niliyocheza.
-Ya pili ni Call of Duty 3, hatari saana mkuu akina Yuri, Captain Price, Gaz n.k
-Ya tatu naipenda sana ila bado sijaicheza na naitafuta kwa udi na uvumba, naomba unisaidie kuipata. Inaitwa Call Of Duty 2 Black Ops. Humu ndani kuna wanaume wawili wananikosha sana kwa mission wanazozipiga, ni ALEX MASON na WOODS.
mimi pia nimemalioza call of duty modern warfare 2 akina kapten price wakina ghost na wengine kiukweli hizi game za call of duty ni mona sana
 
Zangu mimi
1.Need for speed carbon
2.ghost recon future soldier
3.battlefield 3/4
5.Need for speed run
6.gta(best of all time)
7.sniper elite 3
8.sniper ghost warrior 2/3
Ndugu mpendwa fanya ucheze hizi kitu ndo utajua naimanisha nini....weka mbali na watoto sumu❌
 
Zangu mimi
1.Need for speed carbon
2.ghost recon future soldier
3.battlefield 3/4
5.Need for speed run
6.gta(best of all time)
7.sniper elite 3
8.sniper ghost warrior 2/3
Ndugu mpendwa fanya ucheze hizi kitu ndo utajua naimanisha nini....weka mbali na watoto sumu❌
Hizo sniper zina ukubwa gani
 
Hizo sniper zina ukubwa gani
Hii namba 1 ina kama 1.5gb na hii ya mwisho ina kama 2gb....moja ya game nzuri sana kuwahi kucheza za shooting....angalia YouTube ni nouma
 
Game zangy mimi ni
Need for speed the run
Pes 2016
Need for speed hot parsuit
Need for speed most wanted 2012
Need for speed rivals
Fallout 3 daah hizi game hatari sana
 
mimi pia nimemalioza call of duty modern warfare 2 akina kapten price wakina ghost na wengine kiukweli hizi game za call of duty ni mona sana
Sasa kweny battlefield 4 unakutana na akna irish, recker, anna balaa tupu

Call of duty nzur japo yuri ni snitch ila battlefield ni kwere maana kwenye 3 una sukuma hadi f17 ndege moja matata, tanks na ndinga zote za kijesh plus assaults nzito
 
Kwa anaehitaji kuexpiriensi utofauti kwa kucheza hayo magame yote kwenye ps3 anicheck,na hata ps3 ambazo ziko chipped zenye game zote hzo pia anione.
 
mwenyewe GTA FIVE JAMANI MSAADA TUNUNUE JAMANI tuchekiane inboxni hii hapa nitalifata popote dar
Mkuu download tu mbona rahisi 64GB unatenga 2 Weeks..Ungekuwa Arusha au Moshi dogo langu angekupa bure yeye ndio anapenda kulichezea kwenye Pc..GTA V nimelicheza sana tu tangu 2014 kwenye PS3 na still liko kwenye top 10 yangu napenda sana kucheza GTA online..
Mambo ya selfie hayo...
IMG_20140909_152604.jpg

IMG_20140909_143855.jpg
 
GTA V yatosha.kama ni vita ipo,magari yapo,mahonda yapo gym ipo,Makanisa yapo, jela ipo,pesa zipo,benki zipo,clubs zipo tabu ya nini?
Mm lile game kuna level nashindwa kucheza pale anapoambiwa akamuue mtu anae cheza golf amuue please help me gtav
 
Mm lile game kuna level nashindwa kucheza pale anapoambiwa akamuue mtu anae cheza golf amuue please help me gtav
GTA V nimemaliza mission zote..Sasa sikiliza kwa makini,pale kwenye uwanja wa golf kuna security sawa ukiua mtu cops wanatimba sasa unatakiwa umue chap pamoja na mabody guard wake na utokee ile njia uliokuja nayo then chukua usafiri usepe..kama alikukimbia kwa kutumia vile vigari vya golf ataelekea kule barabarani na wewe chuka usafiri chap nfatilie umue mapema kabla ajakupotea..
Ulete mrejesho kama ulifanikiwa..
 
mimi pia nimemalioza call of duty modern warfare 2 akina kapten price wakina ghost na wengine kiukweli hizi game za call of duty ni mona sana
Mkuu natafuta Call of Duty Black Ops 1 & 2, unanisaidiaje hapo?
 
Zangu mimi
1.Need for speed carbon
2.ghost recon future soldier
3.battlefield 3/4
5.Need for speed run
6.gta(best of all time)
7.sniper elite 3
8.sniper ghost warrior 2/3
Ndugu mpendwa fanya ucheze hizi kitu ndo utajua naimanisha nini....weka mbali na watoto sumu❌
Unapatikana wapi Mkuu?
 
Sasa kweny battlefield 4 unakutana na akna irish, recker, anna balaa tupu

Call of duty nzur japo yuri ni snitch ila battlefield ni kwere maana kwenye 3 una sukuma hadi f17 ndege moja matata, tanks na ndinga zote za kijesh plus assaults nzito
Ahahahahahahahahaha acha masihara mkuu, mnanisaidieje kupata hayo makitu, mimi nipo Dar.
 
Du sijui nianzie wapi maana game nilizocheza ni zaidi ya 100
Call of duty series yote iko poa kuanzia call of duty 4 hadi black ops 3
Crysis 2 na 3
Farcry 2 hadi 4
Singularity
Duu nilitaka kusahau battlefield kuamzia bad company hadi 4
The vanishing of Ethan Carter
Metro 2033 na last light
Siwezi maliza kutaja
Mkuu, naomba unifanyie mpango wa hizo COD.
 
Ahahahahahahahahaha acha masihara mkuu, mnanisaidieje kupata hayo makitu, mimi nipo Dar.
Sio masihara mkuu...battlefield nuksi sana...ukicheza utakutana na yte niliyosema hapo..af kuna handline game yao ya mwaka 2015 nayo kari kichz

Haya makitu yapo mtandaon tu
Kama una bando lako zur mbona ni dk tu
 
Back
Top Bottom