the great wizard
JF-Expert Member
- Dec 21, 2015
- 1,482
- 894
mimi pia nimemalioza call of duty modern warfare 2 akina kapten price wakina ghost na wengine kiukweli hizi game za call of duty ni mona sana-Mimi kwangu mpaka sasa kali ni Fifa 14 niliyocheza.
-Ya pili ni Call of Duty 3, hatari saana mkuu akina Yuri, Captain Price, Gaz n.k
-Ya tatu naipenda sana ila bado sijaicheza na naitafuta kwa udi na uvumba, naomba unisaidie kuipata. Inaitwa Call Of Duty 2 Black Ops. Humu ndani kuna wanaume wawili wananikosha sana kwa mission wanazozipiga, ni ALEX MASON na WOODS.