Wewe tulia, muhusika kaondoka. Familia wala haitaendelea na hili. Wao wanaachana nalo hili.Ninajua kuna kurithi wadai na wadaiwa.Ila kwa hili la kesi ya Musiba,Familia inaliacha linaondoka na aliyepeleka kesi.
Nikisema huna akili nitakuwa nakukosea?

Dalali anayeuza Mali anapewa kazi na mahakama na ana commission yake, sijui mlikwenda shule kufanya nini yarabi?
 
Vipi mungu ameingilia kati?
 
Yatamfuata kaburini,tulimwambia asamehe. Akakataa.



Kwenda mahakamani si kosa maana ndiko kuyatii mamlaka badala ya kujichukulia sheria mkononi.

Kusamehe maana yake nini?

Yaani itakuwa jamii ya aina gani iwapo watu watakuwa wakifanya makosa ya makusudi wakitegemea kuwa watasamehewa ,

Tutajenga jamii ya aina gani?

Acheni hizo bana!
 
Mungu wetu fundi sana tu!

Kesi ndio imeishia hapo!

Mbaya zaidi membe ni moja kwa moja motoni maana kaga akiwa na chuki kwa musiba hata baada ya kuombwa na maaskofu asamehe.
Kusamehe sio lazima bali ni utashi wa muhusika,akitaka kusamehe atasamehe asipotaka kusamehe pia ni sawa tu.
 
Mungu wetu fundi sana tu!

Kesi ndio imeishia hapo!

Mbaya zaidi membe ni moja kwa moja motoni maana kaga akiwa na chuki kwa musiba hata baada ya kuombwa na maaskofu asamehe.
Motonii ausiooo? πŸ˜€
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Mungu wetu fundi sana tu!

Kesi ndio imeishia hapo!

Mbaya zaidi membe ni moja kwa moja motoni maana kaga akiwa na chuki kwa musiba hata baada ya kuombwa na maaskofu asamehe.
Uzuri moto wenyewe Magufuli ndio kuni, halafu hawa Freemason wewe ndio unawaona ni maaskofu?

Pole sana.
 
Haya nenda kauze sasa Mali za msiba si ndo furaha yenu nyie vinyago
 
Mazishi lini nikamzike Shujaa wangu aliyetuahidi kuwa akishinda Uraia pacha utakuwa rukhsa.

Familia inasemaje?
 

Duh R.I.P Comrade Benard Membe..!! 😭😭😭😭😭😭😭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…