Bendera ya taifa inafanya nini kwenye jengo la ibada?

Bendera ya taifa inafanya nini kwenye jengo la ibada?

Status
Not open for further replies.
Hebu katpe maoni ya katiba banaa, ijumaa iwe weekend. Manake ikifika alhamis mie akili yangu inaanza kujam.
Ha ha ha haa King'asti nitakusaidia kutoa hilo oni kwenye huu mchakato wa katiba mpya maana umenifurahisa sana
 
Last edited by a moderator:
Hiyo Bendera nyingine ni ya Vaticani...! (kama ulikuwa hujui)
 
Kimawazo na uwezo wa kufikiria!

Swadakta! Nashukuru kwa kunisaidia,ndio maana mleta mada tunamshambulia sababu uwezo wake wa kufikiria umeishia hapo kuona bendera ya taifa kwenye nyumba ya ibada ni tatizo!
 
can-stock-photo_csp10603365.jpg


landmark large silver dome mosque Sousse Tunisia Africa with national flag flying
Asiyejua maana haambiwi maana.
Utaifa ni jadi ya watu wanaolipenda taifa lao, cheki Taifa la wenzetu Yunisia
 
Hata kije chama gani bendera ya Taifa kama hii itaendelea kuwepo.Tafakari hii sio bendera ya inayofuata itikadi za chama.
 
jengo hili lio ndani ya jamhuri ya muungano wa tanzania,ni taasisi iliyosajiliwa kihalali na inayoendesha shughuli zake kihalali ndani ya jamhuri hivyo inayo haki ya kuweka bendera hiyo.mbona hujiulizi picha ya rais inafanyaga nni kwenye ofis za watu binafsi?
 
Hiyo kweli tupu! hata majibu yao humu Jf si unayaona! wamejaa udini mtupu! wanatamani waislamu wote wafe mara moja!

Ulitaka watu wajibuje?

Kila swali lina jibu lake bana, ukisema takbir......tunaitikia allahu hakubari, ukisema benderaaaaa.....tunajibu ujinga huo na wewe kaweke msikitini
 
Mwaka mpya, wimbo wa taifa huimbwa kwenye makanisa mengi.
Sijui kolani inasemaje.

Qur an ilikuja kabla ya Berlin conference na inafundisha kuwaombea watu maghfira katika Dunia na Akhera bila ya ku base kwenye utaifa.wimbo wako wa Taifa unaombea Afrika pekee. Tangu mmeanza kuwaombea Baraka Afrika,viongoz wake hekma na busara pamoja na Umoja mbona mabalaa yanazidi?
 
Mtu kauliza na mnaanza kumzingua.

Ukiangalia hizi bendera, unaona kabisa kuwa kulikuwa na UGENI RASMI kutoka VATICAN kama nchi na ndiyo maana wameweka bendera ya Vatican. Ugeni huu haukuwa wa KIKANISA ila ni WA NCHI NA NCHI.

Matokeo yake ndiyo unaona kuwa Bendera zote zipo yaani ya Tanzania na ya VATICAN. Kama sikosei hii ilipigwa wakati POPE John Paul II alipokuja Tanzania miaka ambayo wengi wenu mlikuwa hata hamfyatuliwa.
Hiyo Bendera nyingine ni ya Vaticani...! (kama ulikuwa hujui)
 
Mkuu hapa nashindwa kukuelewa na nimejikuta naangusha kicheko,unachosema unamaanisha au unawakebehi hawa jamaa,hii hoja uliyoitoa inanikumbusha mmoja aliyewahi kusema kuwa matatizo ya zanzibar yanasababishwa na Israel kuikalia Palestina..kila kitu lazima apatikane wa kulaumiwa...

Mkuu Concrete nimemsoma saa nyingi sana,anawakejeli Wafilisti....Good move kwani anawapumbaza mods halafu ana-escape bani kiulaini..
 
Last edited by a moderator:
ulitaka waweke ya CUF???..
Tumia kichwa kufikiri si kufuga nywele...............
 
Swadakta! Nashukuru kwa kunisaidia,ndio maana mleta mada tunamshambulia sababu uwezo wake wa kufikiria umeishia hapo kuona bendera ya taifa kwenye nyumba ya ibada ni tatizo!
We tatizo lako ubongo wako umesimama kwa muda na unategemea mawazo ya wenzako.Mi sijaona mashambulizi hata kidogo zaidi ya watu kuchangia yale wanayoona yanafaa.Tatizo huna hoja unaparamia tu za wenzako.
 
Mbona siku hizi watu wanaifunga kichwani. Na ile nyingine ni ya wapi? Ungetoa context ya hiyo picha.
 
Acha uzushi........bendera iko upande wa pili wa barabara zilipo customs office kwa waendao Zanzibar

attachment.php
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom