Pindima
JF-Expert Member
- Aug 16, 2011
- 347
- 82
kumbe ndio unaanza kujidhihirisha sahizi.kumbe wale waliotuambia ulikuwepo tokea uhuru wamesema uongo mkuu! Ok!
wajua maana ya kujidhihirisha?
kumbe ndio unaanza kujidhihirisha sahizi.kumbe wale waliotuambia ulikuwepo tokea uhuru wamesema uongo mkuu! Ok!
Mfumo kristo waanza kujidhihirisha sasa.
Kivipi tuko tofauti?Tuko tofauti jamani!
Kujionyesha wazi wazi.wajua maana ya kujidhihirisha?
Kuna watu wa ajabu sana,mbona kwenye madaladala,bajaji,pikipiki,kwenye magari na hadi kwenye mikokoteni kuna bendera za taifa zinapeperushwa.Hata ndani ya nyumba unaruhusiwa kuweka.
Dawa ya kuuondoa huu ''Mfumo Kristo'' ni kuitoa haraka sana CCM madarakani maana ndio inaoulea huu mfumo.Mfumo kristo waanza kujidhihirisha sasa.
Ndio tutakwenda kuweka, wagalatia wamemwaga ugali na sisi tunamwaga mboga.Ulishajidhihirisha siku nyiiingi, na wewe kaweke msikitini ili mfumo mohamad ujidhihirishe
Dawa ya kuuondoa huu ''Mfumo Kristo'' ni kuitoa haraka sana CCM madarakani maana ndio inaoulea huu mfumo.
Mzee wa Upako ni Kada mzuri wa CCM hivyo ni sehemu ya ''Mfumo Kristo'' sioni ajabu kwa yeye kuweka Bendera kanisani kwake.Madhabaoni kwa mzee wa upako kuna bendera ya israel,marekani na tanzania!hiyo yote kujipendekeza kwa watawala
kATIKA HALI ISIYO YA KAWAIDA BENDERA HII INAONEKANA KATIKA MOJA YA KANISA JE HII IKOJE WANAJAMVI!!!
View attachment 74825
Mwigulu ni Muhuni tu wakawaida hana issue yoyote kwetu sisi watanzania lakini Nyumba za Ibada ni mahali muhimu na pa heshima.Mkuu hadi shingoni mwa mwigulu ipo imefungwa hawahoji ila hapo church ndo macho yao yanaona sana
Chama kipi hicho?halafu tukiweke kile chama chetu cha kibabu
katika hali isiyo ya kawaida bendera hii inaonekana katika moja ya kanisa je hii ikoje wanajamvi!!!
View attachment 74825
Kivipi tuko tofauti?
Kwani kuna kosa lolote bendera ya Tanzania kupepea ndani ya ardhi ya Tanzania?