Bendera ya taifa inafanya nini kwenye jengo la ibada?

Bendera ya taifa inafanya nini kwenye jengo la ibada?

Status
Not open for further replies.
Ndio. Kama chuo Kikuu tayari tumeshaanzisha Pale Morogoro.
Hospitali kwa ujumla bado sana(Ziko chache sana) ila tunawafuata nyuma kwa mbali sana. Tutafika tu.

Kile cha Mkapa? Kile kilichokuwa cha TANESCO? Tehe tehe tehe, kweli we mfilisti umechanganyikiwa, nimesema KUJENGA sio KUPEWA.

Hata hivyo, hongereni kwa kupewa chuo kikuu cha wafilisti. Kuna watu humu wanawadharauni wakidhani kimeshakufa, naomba tushirikiane mimi na wewe kuwaonesha kuwa bado kipo na kinabamba ile mbaya. Mimi naanza na picha ya mahafali, wewe endelea na mambo ya academic

9k=


View attachment 74838
 
  • Thanks
Reactions: UKI
Ninavyofahamu mimi Kanisa, hasa hilo St. Joseph ni Taasisi. Limejengwa na watu wengi, limeajiri watu wengi, linatoa huduma za kiroho na kimwili (mahospitali na shule) kwa watu wengi na lina mfumo unaowahusu watu wengi, ndio maana sio kazi sana kupandisha bendera na kushusha kila siku.

Msikiti ni mali ya mtu binafsi, kaujenga yeye, kwa pesa zake, kwenye kiwanja chake, ingawa wanaswali watu wengine. Ukiweka bendera ya Taifa nani ataipandisha na kuishusha?
 
Wakuu

kunawakati viongozi wajuu wa serikali hualikwa kufanya shughuri mbalimbali za maendeleo kama ufunguzi wa mashule, hospitali na huduma zingine za kijamii.

Bahati mbaya sielewi ni wapi hapo, lini na wakatigani bendelera hiyo ilikuwa ikipepea. isijeikawa palikuwa na tukio flani lililomhusisha kubwa mmoja serikali. Kunasababu nyingi za uwezekano wa bendera hiyo kuwepo hapo, ni mawazo yangu hata hivyo.
Mkuu hapo hakuna cha Kiongozi wa serikali wala nani kuwepo kanisani hapo ni kawaida kanisa hilo kupeperusha bendera hiyo.Sina hakika ukiwa Dar sijui ni kiongozi gani anapaswa kutumia bendera hiyo anapokuwa kwenye makanisa labda ofisi za serikali ndiyo unakuta kitu kama hicho
 
Ninavyofahamu mimi Kanisa, hasa hilo St. Joseph ni Taasisi. Limejengwa na watu wengi, limeajiri watu wengi, linatoa huduma za kiroho na kimwili (mahospitali na shule) kwa watu wengi na lina mfumo unaowahusu watu wengi, ndio maana sio kazi sana kupandisha bendera na kushusha kila siku.

Msikiti ni mali ya mtu binafsi, kaujenga yeye, kwa pesa zake, kwenye kiwanja chake, ingawa wanaswali watu wengine. Ukiweka bendera ya Taifa nani ataipandisha na kuishusha?
Mkuu pale ni kanisani siyo shuleni au hospitali ile ni sehemu ya Ibada na siyo vinginevyo usiaminishe watu kwa namna hiyo
 
Tatizo lipo haiwezekani bendera kupepea kanisani.Tunaamini serikali na dini ni vitu tofauti sasa iweje kanisa hilo lipeperushe bendera ya Taifa jambo hili linatoa tafsiri tofauti hasa wale wanaolalamikia serikali kuwa inaendeshwa na mfumo unaopigiwa kelele.Hoja zao zinathibishwa na mambo kama hayo

Haiwezekani vipi wakati imeshawezekana?

Ile bendera haitoi tafsiri, unayetoa tafsiri ni wewe na hiyo ni kwa mujibu wa akili zako. Bendera ile ukienda kwenye mahoteli itaikuta inapepea, pale hukuitilia shaka, shaka likaja kwa kuwa umeikuta Cathedral.

Unajua akili ni nzuri ukiwa nayo. Hivi ni kipi tukiite violation of law kati ya haya mawili;
1. Kupeperusha bendera ya Taifa kanisani au
2. Kuchukua chuo cha umma na kuwapa Waislamu?

Ngoja nikusaidie bwana mdogo (mdogo wa akili), hata ukiwa kanisani, unapaswa kujua kuwa upo chini ya mamlaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Pamoja na imani yako, bado utapaswa kufuata sheria za jamhuri. Ndio maana hata serikali ikikuapisha, pamoja na kuwa utatumia kitabu cha dini yako, bado utaapa chini ya bendera au picha ya Rais.

Utamwagika povu kama mama chiku na sabuni yake ya family detergent kwa bendera ambayo hata mimi ninayo nyumbani na hutembea nayo barabarani kila Taifa Stars inapocheza, loh!
 
Mkuu hapo hakuna cha Kiongozi wa serikali wala nani kuwepo kanisani hapo ni kawaida kanisa hilo kupeperusha bendera hiyo.Sina hakika ukiwa Dar sijui ni kiongozi gani anapaswa kutumia bendera hiyo anapokuwa kwenye makanisa labda ofisi za serikali ndiyo unakuta kitu kama hicho

Mkuu ni kanisa gani hilo na lipo wapi hapo dar? je hadi leo ipo hapo nje inapepea?
 
Ndio. Kama chuo Kikuu tayari tumeshaanzisha Pale Morogoro.
Hospitali kwa ujumla bado sana(Ziko chache sana) ila tunawafuata nyuma kwa mbali sana. Tutafika tu.
nyie bwana Benjamini William aliwapa kile chuo baada ya kuona wenzetu bado wapo nyuma kwenye elimu!
ukisema mmejenga chuo utakuwa unapotosha umma
 
Mkuu pale ni kanisani siyo shuleni au hospitali ile ni sehemu ya Ibada na siyo vinginevyo usiaminishe watu kwa namna hiyo

Kwani ulipoweka na wewe bendera hiyo msikitini kuna mtu aliyekuja kuichukua?
 
Haiwezekani vipi wakati imeshawezekana?

Ile bendera haitoi tafsiri, unayetoa tafsiri ni wewe na hiyo ni kwa mujibu wa akili zako. Bendera ile ukienda kwenye mahoteli itaikuta inapepea, pale hukuitilia shaka, shaka likaja kwa kuwa umeikuta Cathedral.

Unajua akili ni nzuri ukiwa nayo. Hivi ni kipi tukiite violation of law kati ya haya mawili;
1. Kupeperusha bendera ya Taifa kanisani au
2. Kuchukua chuo cha umma na kuwapa Waislamu?

Ngoja nikusaidie bwana mdogo (mdogo wa akili), hata ukiwa kanisani, unapaswa kujua kuwa upo chini ya mamlaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Pamoja na imani yako, bado utapaswa kufuata sheria za jamhuri. Ndio maana hata serikali ikikuapisha, pamoja na kuwa utatumia kitabu cha dini yako, bado utaapa chini ya bendera au picha ya Rais.

Utamwagika povu kama mama chiku na sabuni yake ya family detergent kwa bendera ambayo hata mimi ninayo nyumbani na hutembea nayo barabarani kila Taifa Stars inapocheza, loh!

Achana na mwehu!
 
Mkuu hapo hakuna cha Kiongozi wa serikali wala nani kuwepo kanisani hapo ni kawaida kanisa hilo kupeperusha bendera hiyo.Sina hakika ukiwa Dar sijui ni kiongozi gani anapaswa kutumia bendera hiyo anapokuwa kwenye makanisa labda ofisi za serikali ndiyo unakuta kitu kama hicho

1. Lakini pia mkuu nikifungu gani cha katiba kimevunjwa? kumbuka ni watanzania waiopo ndani.

2. Mara nyingi michezoni na sehemu mbalimbali hata makanisani hutokea watu kuimba wibo wa taifa je ni makosa pia?

3 Umeshawahi kuipeperusha msikitini ukaambiwa nimakosa au wewe tu hupendi na hujawahi fanya hivyo?

Mkuu mambo mengine ni ubunifu na jinsi watu wanavoweza kujivua utanzania wao, hata wewe unaweza kujivunia hujakatazwa.
 
Somo la uraia limekupita kushoto kabisa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
nunueni na nyinyi mfanye mikeka huko kwenye nyumba zenu za ibada
 
Wakati wewe unamuona mwehu, unaweza kuta kwenye jamii yake ndio anategemewa kwa busara. Kila kitu sasa hivi kinatazamwa kidini dini. Hakuuliza maana ya bendera ni nini. Yeye alichoona ni dhambi tu ya kuwekwa kanisani.
Ohoooo! Basi Mkuu mshughulikie! Lakini halahala, it seems anakutafutia ban mfilisti huyo!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom