Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,439
- 166,896
na wewe mfilisti si uende kwenye tume ya katiba ukadai ruzuku??mkuu lengo ni kuweka uzani sawasawa, kwani unaweza ukakuta nyinyi wagalatia mnapewa na ruzuku kwa kitendo cha kupeperusha bendera ya taifa tu!