Bendera ya taifa inafanya nini kwenye jengo la ibada?

Bendera ya taifa inafanya nini kwenye jengo la ibada?

Status
Not open for further replies.

Wakurogwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2011
Posts
216
Reaction score
39
kATIKA HALI ISIYO YA KAWAIDA BENDERA HII INAONEKANA KATIKA MOJA YA KANISA JE HII IKOJE WANAJAMVI!!!






334481_257658531028009_338409676_o.jpg
 
watu wengine bwana,sasa ulitaka waweke ya ccm,cuf au chadema? Fikiri kabla ya kuuliza -hiyo ni bendera ya taifa na wanaosali humo ni wa vyama vyote.Fyyyyyyyuuuuuuuuuu
 
kule kwenye madaladala zile bendera za tz zinafanya nini kwa kweli.jamani shirikisha ubongo wako kufukiri sio unawaza kwa masaburi unaanzasha sred hapa inamaana hapo ndio maali pa ajabu tu ulipoiona hiyo bendera.basi SIulitaka hili jibu sio=MFUMO KRISTO HUO
 
umeona eeh,
dawa yake na misikitini pia tuweke bendera za taifa.
kwani nani katukataza tusiweke? Halafu tunakosea kitu kimoja.hutakiwi uwe unafanya mambo kwa kuwa mwenzako anafanya bali fanya kwa kuwa kufanya hivyo ni sahihi na kuna faida kwako
 
Jamani mwoneeni huruma mleta maada, ID yake inadhihirisha kesharogwa huyo, dalili moja wapo Za Mtu aliyerogwa ni kupoteza utaifa,
 
unafikiri mtoa mada anaakilitimamu?
anaweza akawa hana au anazo au udini unamsumbua ila pengine hajui na huu ndio wasiwasi wangu,na yeye ntu jamani we huoni ametumia hali isiyo ya kawaida.
 
Mwaka mpya, wimbo wa taifa huimbwa kwenye makanisa mengi.
Sijui kolani inasemaje.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom