Bendera ya taifa inafanya nini kwenye jengo la ibada?

Bendera ya taifa inafanya nini kwenye jengo la ibada?

Status
Not open for further replies.
Hebu katpe maoni ya katiba banaa, ijumaa iwe weekend. Manake ikifika alhamis mie akili yangu inaanza kujam.
Kidini yetu hairuhusiwi Ijumaa kuwa siku rasmi ya mapumziko kwa sababu ya kupisha Ibada, inapaswa saa ya Ibada ikifika unakwenda kuswali kisha unarudi kuendelea na kazi.

Haturuhusiwi kuendekeza mambo ya kivivu.
 
safi sana, kwa hiyo mtakuwa mnaweka sio kwa kuwa mnajua maana ya bendera kukaa kwenye nyumba za ibada, ila mtakuwa mnaweka kwa sababu mnataka ushindani.
Viva forever
Mkuu lengo ni kuweka uzani sawasawa, kwani unaweza ukakuta nyinyi wagalatia mnapewa na ruzuku kwa kitendo cha kupeperusha bendera ya taifa tu!
 
Mzee wa Upako ni Kada mzuri wa CCM hivyo ni sehemu ya ''Mfumo Kristo'' sioni ajabu kwa yeye kuweka Bendera kanisani kwake.

Hadi sasa hujajua tofauti ya ccm na Tanzania?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom