Fpam
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 290
- 115
saa8 mwambie dr slaa aache kutuma SMS za vitisho. hii kazi akuachie wewe yeye ni rais.
ujanja wa zitto wote chini shauri ya saa8 kavamia kikosi chake na kukivurumisha.
tumpe saa8 kazi ya kumshughulikia nape. wamesoma wote india
Nape hawezi kumgusa ben hata sikumoja anajua shughuri yake
ben hanaga maneno mengi yeye ni ku attach document mthibitishe wenyewe
kwa sababu nape anajifanya maneno mengi huyu ataweka Video kabisa