Ben Saanane awatoa Mafichoni Zitto na wenzake

Ben Saanane awatoa Mafichoni Zitto na wenzake

Status
Not open for further replies.
Watu wanasema ni msaliti ,hata yeye anataka watu wamuelewe hivyo ila mi naamini alikuwa na kazi maalumu. Huyu ni zaidi ya tumjuavyo!

Kwa vyoyote vile....he is one hell of a personality! I like his daring. Hata ZZK amechemsha kwa huyu "Cobra"!
 
Jamani kwa akili ya haraka haraka tunaweza kujiuliza ni kwa nini hizi ID mpya ziko nyingi hasa wakati tuu huyu Saa8 alipoitoa hii habari. Na jamaa si yuko huko Germany sijui na wachawi wake hana kazi huko kwa hiyo muda mwingi anatumia kubadilisha ID na kujibu hoja. Soon atakuambia ana PhD sijui ya law?? Mtu anasoma PhD huku anafanya kazi what kind of PhD is that?? Sijui ni papers based PhD au ni monograph based PhD whatever tha case PhD needs time otherwise we will call it PhD ya kupewa kama viongozi wengi wa Tz. Ila huwa inanishangaza sana kwa nini hizi PhD za kupewa hupewa viongozi wengi kutoka Africa na sio Europe au USA??? na kungineko
 
Atakaemuona zitto amwambie kuna mganga kutoka nigeria anapatikana pale tabata shule,anaweza kumsaidia kwenye mbio zake za urais 2015
 
Hii saga watu tunavyoishabikia, hakika JF ya 2007 si JF ya 2012. Pale mambo yatakapo badilika na kuwa tofauti na wengi tufikiriavyo ama tuonavyo, sijui tutaficha wapi sura zetu.
Tusubiri tuone
 
Mwaka huu wanamasali hawana pa kujifichia

-Wanabidii Salaam. Ama baada ya Salaama napenda niendeleze mjadala wa sasa unaohusiana na "Sangoma Masalia" au PM7 unaoongozwa na ndugu yangu au kaka yangu Zitto Kabwe. Ndugu wanajukwaa mimi ni mmoja wa watu waliokuwa wakitoa mchango mkubwa kwa hili kundi. Jinsi Zitto anavyosema kwamba damu yake iko ndani ya CHADEMA, mimi pia nakiri kwamba damu yangu iko ndani ya CHADEMA. Nimekuwa mfuasi wa Zitto kwa takribani miaka miwili. Nilikutana na zitto kwenye moja ya vikao vya chama, na kwa vile nililalamika kutokukutendewa haki, alinifariji sana na kunifanya niwe karibu naye. Kila mara tulipokutana hata pale makao makuu, zitto alinipa hela nyingi tu akiniambia kwamba nitumia kama nauli. Kiwango cha chini ambayo Zitto amewahi kunipa ni Tsh 50,000

-Siku moja nikiwa pale mlimani city, Mh. Zitto aliniita nikutane naye Ubungo Plaza hotel . nilichukua bajaj na kukimbia pale ambako nilimkuta akiwa Juliana pamoja January Makamba na kunipa kazi maalum ndani ya Jamiiforums. Ndugu zangu, nakiri kwamba, Mengi anayoyasema Bwana saanane ni ya kweli. Kundi la PM7 lipo. Wakina Juliana nao ni wafuasi wa hilo kundi la PM7. Uhusiano wa Juliana na Zitto ni zaidi ya mnavoambiwa. Zitto na Juliana ni wapenzi. Hii nathibitisha kwa maana kwamba, nimekutana nao kwenye hoteli moja eneo la Sinza ambako nilikuwa nikikutana na Mh. Zitto kwa kazi maalum ya kufanikisha ndoto zake za Urais.

-Sijaja hapa kumchafua au kushabikia wakina saanane, nakuja hapa kuwawekea umma wazi tabia halisi ya huyu mtu ambaye wamemwamini. Juzi jioni, baada ya tuhuma dhidi yake kutolewa, kama kawaida alinitumia ujumbe mfupi kwamba niingie JF nianze kutoa mashambulizi, lakini bahati mbaya nilikuwa mkoani na sikuwa na mtandao au airtime. Kwa hiyo sikuweza kuingia kwenye simu kufanikisha hiyo shughuli. Baada ya dakika thelathini kabla sijamjibu akatuma ujumbe mwingine tena akinitishia. Mimi sikuelewa kinachoendelea nikampuuzia hadi kesho yake asubuhi

-Nikidhania yote yameisha, Zitto alinitumia ujumbe mzito akiniambia kwamba nanukuu "Wewe unajifanya kujua ilhali unaishi kwa fadhili zangu. Hujui mimi ni nani" huu ujumbe ulinikera na kunilazimu kumjibu kwa hasira. Kwamba asinibabaishe. Simwogopi mimi namwogopa mungu. Hapa akajinijibu kwamba ananipa masaa 72 kufanya shughuli yake ambayo ni kuingia kwenye mitandao kujibu mashambulizi. Wakuu nakiri kwamba mimi sitishwi na nguvu ya Giza.

-Zitto aliniomba niende naye safari fupi November 2011. Safari hii ilikuwa ni ya kwenda Tanga, Saa tisa mchana, mimi Zitto pamoja na January Makamba, tukiwa na gari aina ya Nissan Patrol Silver, hii safari aliyetuongoza alikuwa ni January. tulienda kwa mganga wa kienyeji ambaye ilibidi tuandamane hadi kwenye andaki Fulani na kunilazimisha kula kiapo cha utiifu kwake Zitto.

-Leo ameniambia kwamba nisipo fanya shuguli yake ntakiona. Na shuguli yenywe ni ya kuwachafua viongozi wa CHADEMA. Muda mwingine nawachafua viongozi wa CCM kutumia ID kadhaa humu JF. Sasa naiwekea umma wa kitanzania kwamba nikifa, kifo changu kimetokana na Zitto kabwe. Nimeshindwa kulala muda wa siku tatu na kama watabisha, basi nami nitaziweka wazi hizo ID ambazo tumekuwa tukizitumia Ni nyingi sana ili watanzania waamue ukweli uko wapi...

chicco, nice 2, chepe kubwa, Taswira, Pilitoni, chicco, Freshthinking, Honey K, Tuntemeke etc. yote ni ID mpya inayotumia password yetu ile ile. Ilhali Nice 2 akitumia Zitto mwenyewe. Kana hizi ID's kama huzijui. Passowrd ndo zilezile
 
Nilisema siku za nyuma huyu hafai hata kwa chembe. Watu wachambue kauli kuwa nitasimamia ninachokiamini, hii maana yake halisi ni ubinafsi, kuwa ni wewe tu, chochote unachoamini basi hakuna wa kubadilisha maoni yake. Hii maana yake hataukiletwa ushauri mzuri yeye hayupo tayari kuamini. Akiamka asubuhi na ndoto za usinginzini na akaamini basi itakuwa ndiyo sera ya kutekelezwa. Tuwe makini, wapo wengi wanaojificha kwenye kauli tata hivi.
 
M4C inasonga mbele, nyie mnalumbana ujinga. Mimi nafungua matawi ya msingi kila nipitapo.
 
Haya mambo yasipodhibitiwa mapema na CHADEMA yanaweza kuleta mgogoro mkubwa ndani ya chama.
 
Huyo Zitto wenu hata huku CCM hutumtaki kabisa yeye na hilo genge lake la hao misukule.

Ijiandae kuungana na Nape soon, maana lazima naye tumpige chini faster.
Bora umekuwa wazi. zito anatumika tu kama yule jaji wa mahakama kuu kesi ya lema. Poor him!
 
Atakaemuona zitto amwambie kuna mganga kutoka nigeria anapatikana pale tabata shule,anaweza kumsaidia kwenye mbio zake za urais 2015
Yupo humu anaingia kwa ID tofauti, atakuwa amepata ujumbe wako!
 
Ningependa kujua ni wakati
gani huyu dada Shonza alibaini ikiwa ni kweli bwana Ben yupo kwenye
payroll ya CDM, ni kabla au ni baada ya Ben kumwaga mambo hadharani? Na
ikiwa alilitambua hilo kabla ya mambo kuwaharibikia walishindwa
kujiuliza au kupeleleza iweje Bw Ben awe kwenye payrol ya chama ilhali
walitambua hakuwa akishiriki katika shughuli ya ujenzi wa chama?
Kweli wameshikwa pabaya, hata kujitetea imekuwa taabu.

Ha!ha!ha!ha!haa! Hili ni swali la bei mbaya kwa huyu shosti. Akiweza kukujibu,basi atakuwa amepiga hatua moja kuelekea nyuma ktk kujisafisha MP 7 magagula
 
Nashawishika kuamini kuwa kilichosemwa na Ben Saa8 kina ukweli kutokana na watuhumiwa wote kukimbilia kuzima hoja. Ukianza na Zito, Mchange, Mwampamba, Juliana na wengine. Hii haraka imetoka wapi? Je ingekuwa hakuna ukweli basi angetokea mmoja tu kujibu ama wangempuuza, lakini sasa kila mmoja anakuja na mashambulizi yake na cha ajabu maelezo yao yanathibitisha maelezo ya Ben Saa8 badala ya kukanusha.

Hawa watu wanapojibu wana wa-attack moja kwa moja viongozi wakuu wa CHADEMA. Hii linadhihirisha ajenda yao na chuki waliyonayo kwa uongozi na hasa Dr Slaa.

Wanaenda moja kwa moja kumtetea Zito, ambaye ndiye mhimili wa huu uasi.

Wanatoa maelezo ambayo hayajibu hoja badala yake wanaleta sintofahamu nyingine na mkanganyiko.

Viongozi hawa wa BAVICHA pamoja na ZITO wamekosa sifa, wanatakiwa kufukuzwa uongozi, na ikibidi uanachama.

Hawapo kwa ajili ya kujenga chama badala yake kubomoa.

Zaidi sana nimpongeze Ben Saa8 kwa kulianzisha hili kwani MaYUDA kwenye Chama hawatakiwi.


kwanini hawafukuzwi???????n huyo ben ameachana lini ushoga na zk na walichogombea ni nini au ben kaahidiwa nini na bingwa wa fitna za siasa za chadema freeman mbowe ambae baada ya kushindwa kummaliza zitto kwa kumtumia saeed kubenea sasa anamtumia ben
 
Ben Saanane Mwenyewe ni msaliti na hilo amelikiri kwa hiyo anachotaka ni kujiosha tu hapa ili tumuone kwamba ni msafi yani huyo naye ni msaliti tu atoswe.
Hivi Jambazi likipeleka silaha polisi na kutubu, sheria ina semaje au huwa wanachukuliwa hatua gani?
 
kwanini hawafukuzwi???????n huyo ben ameachana lini ushoga na zk na walichogombea ni nini au ben kaahidiwa nini na bingwa wa fitna za siasa za chadema freeman mbowe ambae baada ya kushindwa kummaliza zitto kwa kumtumia saeed kubenea sasa anamtumia ben
Mtaya sema yote mwaka huu...
 
Cdm wasimamishe mgombea mngine kigoma bora jimbo liende ccm kuliko kuweko na huyu mdudu mtu.....cdm wasisubiri hukumu ya umma 2015 now it's a right time fire em all.
Zitto alisha sema hata gombea tena ubunge Kigoma bali uraisi hivyo chadema ianze kuanzaa vijana wa kwenda kumpokea kijiti Zitto...
 
Atakaemuona zitto amwambie kuna mganga kutoka nigeria anapatikana pale tabata shule,anaweza kumsaidia kwenye mbio zake za urais 2015

Na sikia Dr Matunge ana dawa ambazo thread za kumuumbua zinge kuwa zinapotea zenyewe, na dhani huyu atamfaa zaidi na alimsaidia sana Mkapa na Mboma...
 
Na sikia Dr Matunge ana dawa ambazo thread za kumuumbua zinge kuwa zinapotea zenyewe, na dhani huyu atamfaa zaidi na alimsaidia sana Mkapa na Mboma...

afu akitaka kupata mawasiliano ya Dr. Matunge akawasiliane na Lowassa
 
Ben Saanane ametupiga pigo la kushitukiza, tunapagawa na tunatumia siraha zetu zote, hadi zile za akiba mbaya zaidi tunatumia hadi vitisho vya uchawi.:target:
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom