Ben Saanane awatoa Mafichoni Zitto na wenzake

Ben Saanane awatoa Mafichoni Zitto na wenzake

Status
Not open for further replies.
Ben Saanane awe mkuu wa kikosi cha Usalama Chadema. Nafasi inayoshikiliwa na Wilfred Lwakatare.

Too early! At least avuke 45. Sina imani kabisa na hawa wanaojiita vijana kwa majukumu mazito kama hayo. Nimewatoa maanani kabisa.
 
Kama kuna wapuuzi wanadhani vita hii ni ya kummaliza Zitto kisiasa basi wanajidanganya sana maana hawajitambui kuwa wapo kwenye vita ya kuimaliza CDM kisiasa kwa kushabikia upuuzi huu.

Ni rahisi sana kuihubiri demokrasi majukwaani dhidi ya mwenzako lakini kuitekeleza mwenyewe niswala lingine pia

Kinachotokea ni changamoto za kidemokrasia ndani ya chama hasa baada ya kuvuna wanachama lukuki ambapo kwenye chaguzi makundi hayaepukiki.
Cha msingi ni uimara wa chama kuhandle haya makundi yaliojitokeza ili chama kisonge kama kitu kimoja.
Lakini kinachoonekana ni kwamba kwenye uchaguzi wa BAVICHA kuna watu waliona wameonewa kwa maamuzi ya kibabe. Sasa badala ya viongozi wa chama kutafuta suluhu wao wakaanza kuwatenga hawa wanaohisi kuonewa na matokeo ndio haya. Watu wanaongea yaliyopo mioyoni mwao bila kujali tena ummoja kama chama

Dr na Mbowe msisubiri hali ikawa mbaya kisha mkaja na maamuzi yenu ya kijazba.............kufukuza
Kaeni chini na hawa vijana bana, ongeeni nao kwa uhuru mpana kabisa nahakika mtapata suluhu na chama kitasonga mbele kama kitu kimoja
Lakini kukaa kimya as if hakuna fukuto ni sawa na kusubiri moto upambe moto ndipo mjaribu kuuzima
 
Ben sa8 my hero.

Jamaa apewe uongozi wa BAVICHA baada ya Heche.
 
Zitto kamalizwa kisiasa na mtu ambaye nadhani hata yeye mwenyewe hakutegemea



Daaaa ni kweli aisee SISIMIZI kaua TEMBO Kwi Kwi Kwi na njozi za Urais kushnehi bana Zitto ubunge ligoma mwenyewe Nataka Kuwa prezoo aya Ben kakurudisha kijiweni na sasa hatuta kuona tena jukwaani maana utakula za USO mbaya na Ben. Ndio kakumwaga mwana mwene
 
Kwa kweli anahitaji pongezi, ila tusisahau pia kamati ya intelijensia ya chama nao naamini walimpa muongozo na nyenzo zote husika ili kijana aweze waletea ushahidi ulioshiba.
Big up CDM.
 
Dr.slaa kama hizi ni jitihada zako,zimefanikiwa sana tu ila hiyo dhambi haitakuacha,ltakutafuna.

Zitto na kambi yenu,kama hizi zilikua ndo harakati zenu kwenda lkulu,hakika mmevuna mlichopanda.

Huwezi kujikinga na jua kwa kutumia kivuli chako.

Sasa nawewe mbona mijitu mizima ya humu jamvini haijitambui!
 
Zzk tulikupenda sana!nenda,kuna zito wengi sana tz!you ar not the best!
 
2010 wakati analopoka kauli yake kuwa 2015 hagombei ubunge atagombea urais niliamini huyu jamaa hakitakii mema Chadema. Nilijua atakivuruga kisha ataenda kugombea chama kingine. Kumbe chama chenyewe ni Chauma.

Kwanza nilijiuliza, dogo yupo chini ya 40, atawezaje kugombea? halafu CHADEMA wanaye Dr. Slaa kwa sasa iweje aweke nia? Nikajua DOGO sio, anajua anachokifanya, kwani urais wenyewe hautaki bali ni kutaka kuvuruga tu.

umesema kweli binafsi huyu Zitto huwa simuelewi elewi huwa natumia muda mwingi sana kumtafakari
 
Zile codes/names hatuzioni tena humu kama TUNTEMEKE nk. Hii inadhihirisha Ben saa8 ametoa ukweli halisi. Sasa hawatatusumbua tena na matusi yao ya rejareja kwa viongozi wao.
 
kumbe hata CCM wanavyosema kuwa wamechafuka, hivyo wanakazi ya kujisafisha, wanakuwa wanasema kweli, maana sasa naona, CDM nao wanafanya yaleyale , yaliyokuwa yanafanywa na CCM, chama kilichosadikishwa kwa wananchi kuwa kimekwisha. lkn sasa kile chama kilichoonekana kinaweza kuwa mbadala, sasa kinaleta tabia zilezile za aliyekwisha. maana zinaanzishwa tuhuma nzito, barabarrani. kuonyesha kuwa chama hakina vikao, makada ruksa kuparurana. jamani hii si ilikuwa SERA ya CCM, na CDM ikiwa na SERA bora ambazo CCM inaziiba na kuwa tekelezea wananchi. na ndo maana sasa CDM nayo imeamua kuiba UJINGA. na kuutekeleza kwa wafuasi wao, ambao wanapongezana na kupeana , ushujaa nje ya vikao. nini hiiiii au ni ganzi .

your brain button might be off.
 
Kwanini zzk atangeze nia ya kugombea urais wakati kampeni zimepamba moto arumeru alitarajia nini?
Kama anasema ana uchungu na chadema ajue pia kuna watu wameshakufa na wengine ni vilema wa maisha kwa kuipigania chadema
 
Na wewe ni masalia au Ndiyo Yale ya tuntemeke??

Cdm hana sababu ya ikulu 2015 kama itashindwa kumuwajibisha zitto akiwa mbunge je wataweza kumuwajibisha akiwa waziri? Makosa ya zitto ndio kipimo cha utendaji na uwajibikaji wa cdm Kama unaamini Zitto ndio Gia ya kuingia ikulu basi umechemka. Zitto Hana atakae muelewa kwa hili na Viongozi wakimsamehe au kukaa Kimya basi umma utawahukumu 2015 au kabla. Woga wako ndio umasikini wako.


Kama kuna wapuuzi wanadhani vita hii ni ya kummaliza Zitto kisiasa sana maana hawajitambui kuwa wapo kwenye vita ya kuimaliza CDM kisiasa kwakushabikiaupuuzi huu.Ni rahisi sana kuihubiri demokrasi majukwaani dhidi ya mwenzako lakini kuitekeleza mwenyewe niswala lingine pia
Kinachotokea ni changamoto za kidemokrasia ndani ya chama hasa baada ya kuvuna wanachama lukuki ambapo kwenye chaguzi makundi hayaepukiki.
Cha msingi ni uimara wa chama kuhandle haya makundi yaliojitokeza ili chama kisonge kama kitu kimoja.
Lakini kinachoonekana ni kwamba kwenye uchaguzi wa BAVICHA kuna watu waliona wameonewa kwa maamuzi ya kibabe. Sasa badala ya viongozi wa chama kutafuta suluhu wao wakaanza kuwatenga hawa wanaohisi kuonewa na matokeo ndio haya. Watu wanaongea yaliyopo mioyoni mwao bila kujali tena ummoja kama chama

Dr na Mbowe msisubiri hali ikawa mbaya kisha mkaja na maamuzi yenu ya kijazba.............kufukuza
Kaeni chini na hawa vijana bana, ongeeni nao kwa uhuru mpana kabisa nahakika mtapata suluhu na chama kitasonga mbele kama kitu kimoja
Lakini kukaa kimya as if hakuna fukuto ni sawa na kusubiri moto upambe moto ndipo mjaribu kuuzima
 
Alichokifanya Ben Saanane ni kama alichokifanya Mtume Petro kwenye Biblia.Baada ya kumkana Yesu na jogoo kuwika,alikwenda pembeni kulia na kutubu.Automatically,alisamehewa dhambi zake.Hata Ben anastahili huruma na msamaha. Ben,tutakulinda na kukusimamia

Nakubaliana na hoja yako ila tambua sio hilo tu angeweza tubu akaendelea na harakati za M4C ukikumbuka mzee wa panya alishawapisha kwa sangoma wasiseme asingetajwa na wenzake na hata angetajwa angesema niungama.
Ameamua kusema kwa data ushahidi aliokusanya kwa gharama kubwa wahujumu wasaliti ni wakina fulani na ujasiri wa kuwataja majina na uhusika wao sio jambo dogo mchango huu unakipa afya chama kusonga mbele maana wahusika wamejatwa na wao bila kujua wamekiri mzee wa kua panya wasio mua amehusika tuliwafahamu ccm wanahujumu chama haikuwa rahisi kujua Wanachama na VIONGOZI ZZK NA JULIANA WANAKISALITI kwa ushahidi ambao wao hawajakanusha rejea utetez wa kundi lao juliana mchange na wenzake walivyojibu hoja ya mamua
 
Nashawishika kuamini kuwa kilichosemwa na Ben Saa8 kina ukweli kutokana na watuhumiwa wote kukimbilia kuzima hoja. Ukianza na Zito, Mchange, Mwampamba, Juliana na wengine. Hii haraka imetoka wapi? Je ingekuwa hakuna ukweli basi angetokea mmoja tu kujibu ama wangempuuza, lakini sasa kila mmoja anakuja na mashambulizi yake na cha ajabu maelezo yao yanathibitisha maelezo ya Ben Saa8 badala ya kukanusha.

Hawa watu wanapojibu wana wa-attack moja kwa moja viongozi wakuu wa CHADEMA. Hii linadhihirisha ajenda yao na chuki waliyonayo kwa uongozi na hasa Dr Slaa.

Wanaenda moja kwa moja kumtetea Zito, ambaye ndiye mhimili wa huu uasi.

Wanatoa maelezo ambayo hayajibu hoja badala yake wanaleta sintofahamu nyingine na mkanganyiko.

Viongozi hawa wa BAVICHA pamoja na ZITO wamekosa sifa, wanatakiwa kufukuzwa uongozi, na ikibidi uanachama.

Hawapo kwa ajili ya kujenga chama badala yake kubomoa.

Zaidi sana nimpongeze Ben Saa8 kwa kulianzisha hili kwani MaYUDA kwenye Chama hawatakiwi.
Sijui Ben atahukumiwa wapi ila alichofany ani kazi kubwa sana.Hata mahali pengine hawa mabwege walikaribia kushtuka ila wakarudi kitanzini.

FBI nao wakitumwa kwenda shika wauza unga huwa nao wanauza unga kwa kiasi cha kuwafikia big fishes.Ben kamfikia Zitto hana haja tena ya kumfikia wassira au Nape,cha msingi ni once againa CDM wametibua wameruka vihunzi ktk ujinga wa CCM.once againa CDM wanaongezea medali ktk nedali za "Honey badgers"

wethe ben atalaumiwa ua lah, aliowasaliti ni wasaliti.Te nemy of your enenmy is your friend.Hao wajinga wa UK walioingia CCM wanaonyesha jinsi gani hawawezi cheza hii dynamic game inayochange kutokana na vichwa vya hovyo vya CCM.Mad men Camp vichwa vinaruka kama baruti mfulilizo.
 
umesema kweli binafsi huyu Zitto huwa simuelewi elewi huwa natumia muda mwingi sana kumtafakari

Mhh kumbe tuko wengi Mimi ndio nimetumia muda mwingi kumtadhmini Zitto bila majibu ya uhakika nikakumbuka wazungu Wanasema "No research No right to Speak" ila Ben mwana wa saanane kanipa majawabu mpaka ya maswali ya nyongeza Hapa Hana utetezi bora issue ya lowasa anaweza kushawishi watu ila sio Hii ya zito, uasi, uchawi, utotoutoto, tamaa na mengineyo bora lowasa lake moja ila Zitto zaidi ya Mia moja



By Bill
2010 wakati analopoka kauli yake kuwa 2015 hagombei ubunge atagombea urais niliamini huyu jamaa hakitakii mema Chadema. Nilijua atakivuruga kisha ataenda kugombea chama kingine. Kumbe chama chenyewe ni Chauma.

Kwanza nilijiuliza, dogo yupo chini ya 40, atawezaje kugombea? halafu CHADEMA wanaye Dr. Slaa kwa sasa iweje aweke nia? Nikajua DOGO sio, anajua anachokifanya, kwani urais wenyewe hautaki bali ni kutaka kuvuruga tu.
 
Kwanini zzk atangeze nia ya kugombea urais wakati kampeni zimepamba moto arumeru alitarajia nini?
Kama anasema ana uchungu na chadema ajue pia kuna watu wameshakufa na wengine ni vilema wa maisha kwa kuipigania chadema
 
Kwakweli ben amefanya kitu cha maana sana,ameweka mambo hadharani kitu ambacho kilikuwa kinaumiza sana vichwa vyetu tunaoipenda cdm, matusi ya kundi la masalia yalikuwa makubwa sana! Wote hao hata wasikane kama mchange nilimbaini aliiba id ya mtu humu akawa anamtukana dr na mbowe je hii ndo democrasia wanayoililia dawa ni kufukuza wasaliti wote!
 
Hakuna mwenye ubavu wa kumfukuza Zitto CDM, mbowe na Slaa wote wanamhara jamaa.
 
Siku sio nyingi utaibuka mjadala mzito wa UDINI na UKANDA kama ilivyowahi kusemwa siku za nyuma.
 
Zile codes/names hatuzioni tena humu kama TUNTEMEKE nk. Hii inadhihirisha Ben saa8 ametoa ukweli halisi. Sasa hawatatusumbua tena na matusi yao ya rejareja kwa viongozi wao.


Nimepitia thread zote Hapa toka asubuhi sijamuona nape, Zitto, na masalia wote na kwenye Facebook na twitter zao wako Kimya Napata majibu ya maswali niliyokuwa najiuliza Ben kamaliza kazi kwa sasa wanatafuta ushahidi fake....Zitto and his team are all fake, bravo Ben haijalishi umetumwa na nani ila kitendo cha kuwaweka sawa watu wote na kuwaingiza kwenye mtego tena mtu Kama Zitto ambae tulimuamini na kumtegemea umeweza kumuingiza au umeweza kutudhihirishia who the real Zitto is! I salute you Ben
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom