Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
ahsante
umeniwahi....me nashauri awe kuwadi wa wake za watu kwa babuuuu
kwanini hawafukuzwi???????n huyo ben ameachana lini ushoga na zk na walichogombea ni nini au ben kaahidiwa nini na bingwa wa fitna za siasa za chadema freeman mbowe ambae baada ya kushindwa kummaliza zitto kwa kumtumia saeed kubenea sasa anamtumia ben
Nashawishika kuamini kuwa kilichosemwa na Ben Saa8 kina ukweli kutokana na watuhumiwa wote kukimbilia kuzima hoja. Ukianza na Zito, Mchange, Mwampamba, Juliana na wengine. Hii haraka imetoka wapi? Je ingekuwa hakuna ukweli basi angetokea mmoja tu kujibu ama wangempuuza, lakini sasa kila mmoja anakuja na mashambulizi yake na cha ajabu maelezo yao yanathibitisha maelezo ya Ben Saa8 badala ya kukanusha.
Hawa watu wanapojibu wana wa-attack moja kwa moja viongozi wakuu wa CHADEMA. Hii linadhihirisha ajenda yao na chuki waliyonayo kwa uongozi na hasa Dr Slaa.
Wanaenda moja kwa moja kumtetea Zito, ambaye ndiye mhimili wa huu uasi.
Wanatoa maelezo ambayo hayajibu hoja badala yake wanaleta sintofahamu nyingine na mkanganyiko.
Viongozi hawa wa BAVICHA pamoja na ZITO wamekosa sifa, wanatakiwa kufukuzwa uongozi, na ikibidi uanachama.
Hawapo kwa ajili ya kujenga chama badala yake kubomoa.
Zaidi sana nimpongeze Ben Saa8 kwa kulianzisha hili kwani MaYUDA kwenye Chama hawatakiwi.
Source=Sheikh YahyaWewe huyo dogo hujamuelewa karata aliyocheza. Huyo jimbo analotaka awe mbunge ni la Rombo. Ambalo currently mbunge ni 30. Ana baadhi ya vijana kule jimboni ameshawaandaa kumsapoti na huku mtandaoni anatia jamba jamba ili kuwaaminisha wakubwa kuwa anakubalika. Kibarua kipo mtaa wa ufipa ima kumpiga chini 30 au kumsimamisha huyo dogo. Mtihani uliopo ni kuwa kati ya hao wawili atakayegomewa kugombea kupitia chagadema atahama chama. Hapa probability kubwa atakayepigwa chini ni 8. Kutoka vyanzo vya kuaminika huyo 8 ameshatinga ACT-Wazalendo kuweka nafasi kama backup yake ya kuelekea fodoma.
Ni hayo tu.
Source=Sheikh Yahya
Wewe huyo dogo hujamuelewa karata aliyocheza. Huyo jimbo analotaka awe mbunge ni la Rombo. Ambalo currently mbunge ni 30. Ana baadhi ya vijana kule jimboni ameshawaandaa kumsapoti na huku mtandaoni anatia jamba jamba ili kuwaaminisha wakubwa kuwa anakubalika. Kibarua kipo mtaa wa ufipa ima kumpiga chini 30 au kumsimamisha huyo dogo. Mtihani uliopo ni kuwa kati ya hao wawili atakayegomewa kugombea kupitia chagadema atahama chama. Hapa probability kubwa atakayepigwa chini ni 8. Kutoka vyanzo vya kuaminika huyo 8 ameshatinga ACT-Wazalendo kuweka nafasi kama backup yake ya kuelekea fodoma.
Ni hayo tu.
Nadhani ingekuwa busara kuweka alichokifanya ben saa8 ili tujikumbushe usahihi wa ilichopost hapa mkuu. Kama kuna uzi umo humu ndani naomba link tafadhali
Zitto ni tatizo binafsi simtaki CDM!