Ben Saanane awatoa Mafichoni Zitto na wenzake

Ben Saanane awatoa Mafichoni Zitto na wenzake

Status
Not open for further replies.
anaekueleza ya watu funga mdomo wako, hatashindwa kuwaeleza watu ya kwako. Chunga sa8
 
nimeipenda kazi ya saa8 kujipenyeza kiinteligensia kwenye
kundi la zitto na kuwaumbua wasaliti.

nashauri kijana tumpandishe cheo. je baada ya kuimaliza hii kazi vizuri, tumpe kazi gani nyingine?
Jenifa,

Dada yangu mpenzi,Unaniponza.Hunitakii mema.
 
Tangu Ben Saa 8 alipoanika uasi wa Kambi ya "MASALIA" a.k.a PM7, Chini ya Zitto Kabwe na wafuasi wake mambo si shwari. Saa 8 ambaye alijiunga na JF tarehe 18/1/2007 kwa jina lake halisi na kutoa jumla ya post 5,085, alianika UASI wa masalia tarehe 19/12/2012 na kuzua tafrani kwenye kambi ya MASALIA. Taarifa hiyo iliwaibua vinara wa PM7 kina Habibu Mchange, Mtela Mwampamba na Juliana Shonza kutoka mafichoni kujibu tuhuma nzito bila mafanikio. Waliibuka na kutupilia mbali ID zao na kujisajili upya na JF!.. Mtela alijiunga tarehe 19 Dec 2012 na kupost majibu tarehe 20 dec 2012. Shonza alijiunga JF tar 19/dec/2012 na kupost tarehe 20 dec. MCHANGE alijiunga 21/july/2009 akiwa na rekodi ya kupost meseji 20. Waliibuka kujibu tuhuma wakaishia kuanika uchafu wao na Zitto mfadhili wao!..

Baada ya jitihada zao za kujikwamua na tuhuma hizi kushindikana wamerudi nyuma ya pazia pamoja na masalia wengine kwa majina mapya yenye usajili wa Oktoba hadi december ili kumsafisha bosi wao Zitto kabwe aka dogo, prezzo!. Siku nzima ya leo wanapost "utetezi fake!" na kupambana na kila mtu anayewakosoa.
Sasa masalia wmekuja kivingine kwa majina yafuatayo:

1. Alwatan kizigo - who joined JF on 21st dec 2012;
2. Fresh thinking -20/12/2012;
3. Chepe kubwa - 19/12/2012;
4. Mbasansebhu- 17/12/2012;
5. Chicco - 13/10/2012
6. Taswira n.k.
 
Ningekuwa na fimbo ningewavua nguo nikawachapa hadi mtie akili, haiwezekanio mcheze na maslahi ya nchi kiasi hiki, go to hell msituleteee fitina zenu za kipuuzi hapa, Mimi sio mshabiki wa kambi yoyote but mnakera hadi basi yaani hata ile raha ya kutembelea JF sasa inakera unajua utakuta wapuuzi fulani wanafiki, wana majungu wakiendeleza upuuzi ule ule wanaoupinga........lakini kweli ningekuwa na access na viongozi wa juu wa CDM ningefikisha kilio changu.
 
tushawafahamu.. sie tutasikiliza yule ambae hakujiunga mwezi huu.. tupilia mbali hao masalia..kwishney..zitto anapaswa tubu asamehewe ili aendelee kujenga chama sio kujisafisha kwa uhuni.wa wakina taswira another tuntemeke
 
Dah! Hii mech kali sana.nahic ben yuko sahihi.kama wote wameshindwa kumshida ben kwa hoja.pamoja na zitto mwenyew tumjuavyo kwa kujenga hoja bungen lkn hapa ameshindwa.hii kali kwel
 
Tumeamua kutowajibu maana kazi imekwisha tunasubiri kipenga cha mwisho tu!
 
mkuu palalisote kumetangazwa nini ndugu yetu,tafadhali tujuze tusiokuwa na taarifa

Ni katika mkutano wa kumpongeza Lema , viongozi wa kitaifa (CDM) wamesema wale wote waliokuwa wanamchufua dr. Slaa kwa kupewa vihela ccm watashugulikiwa na chama haraka iwezekanavyo. Wameenda mbali zaidi na kusema ni viongozi ndani ya chadema (zito na masalia yake)
 
Ikiwa ni kweli kuwa Ben Saanane alikuwa akiwarekodi wenzake kwa kutumia saa na devices nyingine then alikuwa spy, ingekuwa kwa lengo la kuweka kumbukumbu tu za kundi la PM7 then wenzake wote wangekuwa aware na jambo hilo. Kama alikuwa spy jiulize alikuwa anamtumikia nani??
Je kuibua kwake jambo hili mahali kama hapa JF ilikuwa ni bahati mbaya tu au kwa maslahi yake binafsi??
So far he seems to be so calm, ask yourself WHY?
It is a strategic plan....Think!
 
Thanks Tenende,JF nyumbani kwa Great Thinkers.
Tangu Ben Saa 8 alipoanika uasi wa Kambi ya "MASALIA" a.k.a PM7, Chini ya Zitto Kabwe na wafuasi wake mambo si shwari. Saa 8 ambaye alijiunga na JF tarehe 18/1/2007 kwa jina lake halisi na kutoa jumla ya post 5,085, alianika UASI wa masalia tarehe 19/12/2012 na kuzua tafrani kwenye kambi ya MASALIA. Taarifa hiyo iliwaibua vinara wa PM7 kina Habibu Mchange, Mtela Mwampamba na Juliana Shonza kutoka mafichoni kujibu tuhuma nzito bila mafanikio. Waliibuka na kutupilia mbali ID zao na kujisajili upya na JF!.. Mtela alijiunga tarehe 19 Dec 2012 na kupost majibu tarehe 20 dec 2012. Shonza alijiunga JF tar 19/dec/2012 na kupost tarehe 20 dec. MCHANGE alijiunga 21/july/2009 akiwa na rekodi ya kupost meseji 20. Waliibuka kujibu tuhuma wakaishia kuanika uchafu wao na Zitto mfadhili wao!..

Baada ya jitihada zao za kujikwamua na tuhuma hizi kushindikana wamerudi nyuma ya pazia pamoja na masalia wengine kwa majina mapya yenye usajili wa Oktoba hadi december ili kumsafisha bosi wao Zitto kabwe aka dogo, prezzo!. Siku nzima ya leo wanapost "utetezi fake!" na kupambana na kila mtu anayewakosoa.
Sasa masalia wmekuja kivingine kwa majina yafuatayo:

1. Alwatan kizigo - who joined JF on 21st dec 2012;
2. Fresh thinking -20/12/2012;
3. Chepe kubwa - 19/12/2012;
4. Mbasansebhu- 17/12/2012;
5. Chicco - 13/10/2012
6. Taswira n.k.
 
Zito hawezi kuwa Rais wa Tanzania.. na imefikia muda sasa CDM waache kumwendekeza huyu dogo.. maana hafanyi kazi kwa malengo ya chama bali malengo yake binafsi. Tena kwa kushirikia na CCM na wadau wengine wasiopenda mabadiliko...
 
Kama CDM wangependa kuwawajibisha viongozi wasaliti wa chama ni vyema wafanye mapema... tena bila kuoneana haya ili kuanzia 2014 wapange team yao vizuri kwa ajali ya uchaguzi ujao. Lakini kwa viongozi wa aina ya Zitto bado sana CCM itatawala miaka mingi sana ijayo..
 
Huyo Zitto wenu hata huku CCM hutumtaki kabisa yeye na hilo genge lake la hao misukule.

Ijiandae kuungana na Nape soon, maana lazima naye tumpige chini faster.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom