Ben Saanane awatoa Mafichoni Zitto na wenzake

Status
Not open for further replies.
Nashawishika kuamini kuwa kilichosemwa na Ben Saa8 kina ukweli kutokana na watuhumiwa wote kukimbilia kuzima hoja. Ukianza na Zito, Mchange, Mwampamba, Juliana na wengine. Hii haraka imetoka wapi? Je ingekuwa hakuna ukweli basi angetokea mmoja tu kujibu ama wangempuuza, lakini sasa kila mmoja anakuja na mashambulizi yake na cha ajabu maelezo yao yanathibitisha maelezo ya Ben Saa8 badala ya kukanusha.

Hawa watu wanapojibu wana wa-attack moja kwa moja viongozi wakuu wa CHADEMA. Hii linadhihirisha ajenda yao na chuki waliyonayo kwa uongozi na hasa Dr Slaa.

Wanaenda moja kwa moja kumtetea Zito, ambaye ndiye mhimili wa huu uasi.

Wanatoa maelezo ambayo hayajibu hoja badala yake wanaleta sintofahamu nyingine na mkanganyiko.

Viongozi hawa wa BAVICHA pamoja na ZITO wamekosa sifa, wanatakiwa kufukuzwa uongozi, na ikibidi uanachama.

Hawapo kwa ajili ya kujenga chama badala yake kubomoa.

Zaidi sana nimpongeze Ben Saa8 kwa kulianzisha hili kwani MaYUDA kwenye Chama hawatakiwi.
Imenikumbusha miaka mitano nyuma baada ya Slaa kusoma ile orodha ya mafisadi. Walijitokeza kila mmoja akitoa muda wa kuombwa radhi na kulipwa fidia, vinginevyo wampeleke Dr mahakamani. hadi leo hakuna aliyekwenda mahakamani. Ni mjanja mmoja tu, nimrod mkono aliyesema hawezi kwenda mahakamani kwa kuwa Dr hana pesa ya kumlipa fidia. wacha wazidi kutokeza tuwafahamu vizuri.
 
Big up, nimeipenda Mahakama ya Umma, Sauti ya Wengi, Sauti ya Mungu. So vipi utabiri wa WASSIRA umeishia wapi?
 
nimeipenda kazi ya saa8 kujipenyeza kiinteligensia kwenye
kundi la zitto na kuwaumbua wasaliti.

nashauri kijana tumpandishe cheo. je baada ya kuimaliza hii kazi vizuri, tumpe kazi gani nyingine?
 
Zitto' hamto muweza na fitina zenu, kaeni mkijua, mbinu walizo tumia kuwa ua wanasiasa waliopita ndizo hizi mnazitumia kwa ZITTO. Hapo mmechemka ile mbaya na tutaona mwisho wenu
 
nimeipenda kazi ya saa8 kujipenyeza kiinteligensia kwenye
kundi la zitto na kuwaumbua wasaliti.

nashauri kijana tumpandishe cheo. je baada ya kuimaliza hii kazi vizuri, tumpe kazi gani nyingine?

Atapewa kazi kuwanyoosha Nape na Mwigulu
 
nimeipenda kazi ya saa8 kujipenyeza kiinteligensia kwenye
kundi la zitto na kuwaumbua wasaliti.

nashauri kijana tumpandishe cheo. je baada ya kuimaliza hii kazi vizuri, tumpe kazi gani nyingine?

Huyo naye ni msaliti namba moja,yani apewe kazi kweli??!!wote watoswe hao yeye kaona mambo mazito kaamua kujihami hakuna cha kazi wala nini,kwani nani wewe alikwambia kwamba alipewa hiyo kazi,na ni nai aliyempa?!,na alipewa kwa misingi ipi??!!
 
Zitto' hamto muweza na fitina zenu, kaeni mkijua, mbinu walizo tumia kuwa ua wanasiasa waliopita ndizo hizi mnazitumia kwa ZITTO. Hapo mmechemka ile mbaya na tutaona mwisho wenu

hata panya hatapona. uwiiiiiiii uchawi
 
Zitto' hamto muweza na fitina zenu, kaeni mkijua, mbinu walizo tumia kuwa ua wanasiasa waliopita ndizo hizi mnazitumia kwa ZITTO. Hapo mmechemka ile mbaya na tutaona mwisho wenu

ben njoo njoo huku uscan hii kirusi
 
saa8 mwambie dr slaa aache kutuma SMS za vitisho. hii kazi akuachie wewe yeye ni rais.

ujanja wa zitto wote chini shauri ya saa8 kavamia kikosi chake na kukivurumisha.

tumpe saa8 kazi ya kumshughulikia nape. wamesoma wote india
 
nimeipenda kazi ya saa8 kujipenyeza kiinteligensia kwenye
kundi la zitto na kuwaumbua wasaliti.

nashauri kijana tumpandishe cheo. je baada ya kuimaliza hii kazi vizuri, tumpe kazi gani nyingine?
Apelekwe Ujerumani sasa hakawahujumu wale wazungu wanaomualikaga zitto kutoa speech za maendeleo na maoni yake.

Wale nao ni hatari kwa status quo ya CDM maana ujue watoa misaada huja masharti yao, it is only a matter of time kabla hawajawalima barua CDM (kama bado) ya kutaka uongozi ubadilike hili misaada iendele, si unajua wana anzaga na kumualika alika mtu mara tu wanampa full backup, wale hawafati ushabiki ni hatari atupwe kule kijana mapema.
 
kwa jinsi upepo wa kumchafua Slaa ulivyokuwa unakwenda hawa masalia wange fanya damage kubwa sana kwa chama. si unaona baada ya saa8 kuibuka hakuna anayekuja tena na hasa hasa TUNTEMEKE amepote kabisa kwa maana hiyo ID hata zito alikuwa anaitumia. mimi bnafsi nampongeza saa8
 
saa8 mwambie dr slaa aache kutuma SMS za vitisho. hii kazi akuachie wewe yeye ni rais.

ujanja wa zitto wote chini shauri ya saa8 kavamia kikosi chake na kukivurumisha.

tumpe saa8 kazi ya kumshughulikia nape. wamesoma wote india

Huko atapotea na wala hamtamuona tena jaribuni muone!!!!!!!!1
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom