Wakulima Mama Kafungua Pochi, Serikali Yatangaza Kuanza Kununua Mahindi Awamu ya II Kwa Bei ya Juu ya Soko

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,076
49,785
Ndugu wakulima wenzangu habari njema zimetangazwa.

Rais wa JMT Samia Kupitia Waziri wa Kilimo bwana Bashe ametangaza kuanza kununua Mahindi Kwa awamu ya pili baada ya awamu ya kwanza kukamilika na wakulima kuvuna Bilioni 194.

Bei ya Sasa ni sh.700 Juu ya wastani wa bei ya soko ya shi.500 hivyo wale wenye mahindi na nafaka zingine wapeleke kwenye Vituo vya ununuzi kuanzia Sumbawanga Hadi Kiteto Ili wakavune mapesa.

Hongera sana Rais Samia Kwa kuendelea kuwajali wakulima.Ni Kwa mara ya kwanza mwaka huu Serikali itanunua tani zaidi ya 500k kutoka wastani wa tani 250k ambazo zilikuwa zinanunuliwa miaka ya nyuma tena Kwa bei za chini na masharti kibao.

View: https://www.instagram.com/p/C1KuADTLwJT/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==

My Take
Ununuzi huu utaendelea Hadi hapo Serikali itakapokuja kufikia lengo lake la kuhifadhi tani Milioni 3 by 2030.

Vijana ingieni kwenye Kilimo,msipotajirika awamu ya mama basi hutokuja kutoka tena.

View: https://youtu.be/JUe0hVi0COw?si=sxLsRnG0Gbm5udzv
 
Ndugu wakulima wenzangu habari njema zimetangazwa.

Rais wa JMT Samia Kupitia Waziri wa Kilimo bwana Bashe ametangaza kuanza kununua Mahindi Kwa awamu ya pili baada ya awamu ya kwanza kukamilika na wakulima kuvuna Bilioni 194.

Bei ya Sasa ni sh.700 Juu ya wastani wa bei ya soko ya shi.500 hivyo wale wenye mahindi na nafaka zingine wapeleke kwenye Vituo vya ununuzi kuanzia Sumbawanga Hadi Kiteto Ili wakavune mapesa.

Hongera sana Rais Samia Kwa kuendelea kuwajali wakulima.Ni Kwa mara ya kwanza mwaka huu Serikali itanunua tani zaidi ya 500k kutoka wastani wa tani 250k ambazo zilikuwa zinanunuliwa miaka ya nyuma tena Kwa bei za chini na masharti kibao.

View: https://www.instagram.com/p/C1KuADTLwJT/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==

My Take
Ununuzi huu utaendelea Hadi hapo Serikali itakapokuja kufikia lengo lake la kuhifadhi tani Milioni 3 by 2030.

Vijana ingieni kwenye Kilimo,msipotajirika awamu ya mama basi hutokuja kutoka tena.

Mama tapeli huyo atakuwa
 
Huku nilipo bei kwa kilo moja ni tshs 800/850/900/950/1000
Sasa ni mjinga yupi wa kwenda kuuza bei ya chini wakati kuna sehemu inatolewa bei ya juu
Tofautisha rejareja na bei ya Jumla.Ni mjinga tuu ndio ataenda kuuza mahindi rejareja badala ya kuuza Kwa bei ya Jumla ya Serikali.

Mwisho Serikali inailenga Mikoa Maarufu Kwa uzalishaji mahindi na sio huko kwenu ambako mnabahatisha.Mikoa kama Ruvuma,Rukwa ,Mbeya na Songwe mahindi ni Kati ya sh.500-700 Kwa kilo.
 
Back
Top Bottom