Alitumia 'lugha-rafiki' kwa wasichana ambao they have achieved nothing so far,ka,a elimu,biashara,sanaa na ambao hawapendi kujituma(Wavivu a.k.a sikio la kufa) kuwa it's better to squeeze some money kutoka kwa Bed-Partner wako kuliko kujiingiza kwenye majanga ya sembe....
Note hapo kwenye 'bed-Partner'..kuchuna buzi si umalaya in general bali ni njia inayotumiwa na type ya wadada 'tajwa' hapo juu kujikimu na maisha.....ukiwa na hata boyfriend mwenye mkono mkarimu while wewe hujishughulishi kwa chochote ila tu unamtegemea yeye basi hiyo pia ni 'Chuna Buzi'...