A good example kwa mabinti....
Mimi nadhani Mwamvita Makamba ni mwanamke mzuri na aliyeweza kufikia mafanikio yake kwa kiasi chake. Kwani kuna ubaya gani kwa umleta uzi kudai Mwanvita Makamba ni mwanamke mwenye mafanikio? Mbona title ipo positive na inaakisi kile alichonacho Mwamvita, je hilo ni tatizo?
Wapo wengine wanaofanya vizuri.
Modesta Lilian Mahige.
Nancy Sumari
Irene Kiwia
Na wengine wengi wanafanya vizuri je kunaubaya gani kusifia dada zetu wanaofanya vizuri?
Mimi nadhani Mwamvita Makamba ni mwanamke mzuri na aliyeweza kufikia mafanikio yake kwa kiasi chake. Kwani kuna ubaya gani kwa umleta uzi kudai Mwanvita Makamba ni mwanamke mwenye mafanikio? Mbona title ipo positive na inaakisi kile alichonacho Mwamvita, je hilo ni tatizo?
Wapo wengine wanaofanya vizuri.
Modesta Lilian Mahige.
Nancy Sumari
Irene Kiwia
Na wengine wengi wanafanya vizuri je kunaubaya gani kusifia dada zetu wanaofanya vizuri?
![]()
Mdada ana mdomo mpana huo duh.
Kumla denda huyu inabidi mdomo wako wote uingie ndani ya mdomo wake hahahaha.........
Kweli yeye ni beauty with brains.
Kwa kwrli simjui...sijui ndo nani hapa..ila jina lake limefanana na mwehu mmja hivi alikuwa katibu wa ccm
...uzuri hana hivyo vinginr sijui maana sijawahi kuwa naye karibu.....lakini mbona unatumia nguvu nyingi kumdefend?....kuna nini kati yako na yake?....kama we siyo muhusika mwenyewe basi umetumwa
Kwa mfano...ulitaka nifanyeje?nitukane au?
Lengo la thread lilikuwa ni kumappreciate mdada wa kitanzania... Kama Hutaki,sio tatizo langu......Niko free kumtetea kama ambavyo watu wako free kusema chochote juu yake....
ndio Ntakasi anasema beauty with brain!!!??
Lazima useme hivyo sababu huna hadhi ya kumsogelea hata!
Si unajua maneno ya wakosaji tena?
Hiiiihiiiiiiiii.
Nice legs!
![]()