Beauty With Brains: Mwamvita Makamba!!

Beauty With Brains: Mwamvita Makamba!!

Urembo mimi siuoni hata labda watu tunatofautiana na mantiki ya kuwa mrembo. wa kawaida
tu!
Asikutishe Mtu hapo
akishushwa Manzese au Uwanja wa Fisi hata wa kulinganisha hayupo
Amshukuru Mzee Yusuf kumkimbiza Vodacom akala kamisheni za Minara ya mawasiliano na kujenga hilo Jumba, sijasikia habari za Ndoa wala nini, Pakawa upo mbali @ k2
la zivyo namfananisha na wototo wa Kirangi tu wamejazana huku Kondoa na Dodoma hasa hiyo miguu
attachment.php
 
Last edited by a moderator:
I just broke my glasses this morning!

Broken%20Glasses.jpg

oohh bora iwe hivyo, manake ,mweh, tuache kabisa masihara, kama sijui wanaongelea urembo/uzuri huyu dada ni 0 kabisa, kuna wazuri jamani, wale waliumbwa Mungu akiwa ametoka kanisani asubuhi, mnakuja kutuambia na sie tulioumbwa alhamisi usiku kwamba na sie wazuri? msitudanganye hapa.
 
oohh bora iwe hivyo, manake ,mweh, tuache kabisa masihara, kama sijui wanaongelea urembo/uzuri huyu dada ni 0 kabisa, kuna wazuri jamani, wale waliumbwa Mungu akiwa ametoka kanisani asubuhi, mnakuja kutuambia na sie tulioumbwa alhamisi usiku kwamba na sie wazuri? msitudanganye hapa.

Bora huyu!

rose.jpg
 
Lazima useme hivyo sababu huna hadhi ya kumsogelea hata!
Si unajua maneno ya wakosaji tena?
Hiiiihiiiiiiiii.

we mwamvita nikusogelee kwa kipi kwanza ni mbaya, huvutii, sura yako ya msambaa wa milimani. hata bure sikutaki, hata niwekewe bunduki kichwani silali na wewe bora niuawe. Mdomo kama Kalikenye, chakubanga, chupaki, panga la shaba.
Hata ukila chapati huikunji inapita nzimanzima, hahahahaha.
Una taahira ya mdomo wewe, nenda katibiwe.
 
Kwa wadada,
I did not expect you to jump with joy for this beautiful young lady.....yeeees...A VERY BEAUTIFUL WOMAN.....sababu si unajua tena wengi wetu(sadly)ni ngumu sana kuwa na sisterly love....ni kuponda kwa kwenda mbele....tunachukua tulichosikia,tunaongeza ya kwetu na tunatoa a total version of pure lies.......Wala sikulazimisha mtu kuwa positive,but i was (and i will continue tiredlessly)kuspread LOVE with the hope kuwa hata kimyakimya kuna ambaye atajifunza kucultivate a positive attitude na kufanya kitu bora zaidi ya alipoishia......I dont mind the hate ndio maana sijapanic/wala kutukana(Some people expected that) sababu najua wale wanaoshikilia the Negative side of her,deep down they know she's left them far behiiiiiind.....na hawana cha kuhate juu yake zaidi ya wanachosikia na wanachotaka kuamini.....
Kwa Wote...
Nimecheka wakati nasoma different views za some people and i really felt sorry for some of people who were consumed na HATE toward this lovely lady....and some dissed her ili tu wa'fit kwenye circle ya washirika wa kudiss bila hata ya kuwa na uhakika wa kisemwacho au kumaanisha wasemacho.....

Her Beauty...
Mwamvita Makamba is a very beautiful woman,anafit kwenye definition ya uzuri sababu ana haiba ya mwanamke ambaye anajua nini anacho,nini anataka na nini afanye.....With a beautiful mind it's very easy kuwa na A long lasting beauty from outside.....
Mwammy,knows her place and she would not bother posting thread hapa ili eti ajipaishe.....noooh...She's got it,she knows it and she knows where 'Her fans in denial'are supposed to be...behind her back,hiding kwenye mitandao,feeling sorry for their discredited life....

Me...
Well,this is not even about me but whaat you should know ni kwamba,I'm not Ms.Makamba...and I'm not on her payroll list...and no one can have enough amount to pay me for anything,,,,,.
I'm just being myself.....doing what i think it's right,No Bs kinda person......A growing sporit.

Thank you for your contributions and Much appreciacion to the two people who were quite positive about this thread.......

#LoveLoveLove

Hivi wewe siyo yule mpambe wa diamond?! Mbona swagz zenu zinafanana
 
Peleka u.p.u....fu wako huko asingetoka familia ya makamba ungeleta Ut...mbo wako hapa. Tafuta mambo ya maana ya kuongelea. Sio unatuwekea picha za maka...ba alafu unafagilia.
 
Wajomba,

Uzuri wa gari injini, maana naona mnaanza kulinganisha Audi S8 na Toyota Corolla (Hoyce Temu). Hivi ni vitu viwili tofauti kabisa.
 
Kama huyu ambae alizaliwa with a silver spoon..anasema ni bora kuchuna mabuzi...napata shida kujua dada zetu wa manzese watasemaje...with all her '"brains n beuty" was that her best advice....
 
Uzuri u machoni mwa mtu... yani "beauty lies in the eyes of the beholder"
Uzuri ninaouona mimi si uzuri anaouona mwingine
 
Umeonaa eehehe mbona wizi wake hawausifii. Watu wanadanganyika na hiyo rangi lakini katika warembo elfu na kenda hayupo...ndio nimesema hayupo.. Warembo wapo bana hii ni ghasia nyingine. mnatujazia kurasa na huyu mtu.
 
Hapo hamna kitu kabisa. Binafsi sijamkubali na watu wengi hawawezi kumkubali.
Why? Reception Ziro, Figure Ziro.
 
Mmh,kuhusu uzuri wa sura hata yeye mwenyewe anajifahamu ni wa kawaida sana. Kuhusu mambo mengine ni kweli amejitahidi kujimbambanua vizuri na hata jamii yetu inatambua hilo,
 
Back
Top Bottom