-Msomi
-Mchapakazi
-Classy
-Fashionable
-She aims higher....
Alitumia 'lugha-rafiki' kwa wasichana ambao they have achieved nothing so far,ka,a elimu,biashara,sanaa na ambao hawapendi kujituma(Wavivu a.k.a sikio la kufa) kuwa it's better to squeeze some money kutoka kwa Bed-Partner wako kuliko kujiingiza kwenye majanga ya sembe....
Note hapo kwenye 'bed-Partner'..kuchuna buzi si umalaya in general bali ni njia inayotumiwa na type ya wadada 'tajwa' hapo juu kujikimu na maisha.....ukiwa na hata boyfriend mwenye mkono mkarimu while wewe hujishughulishi kwa chochote ila tu unamtegemea yeye basi hiyo pia ni 'Chuna Buzi'...
Well,Nimeongelea UZURI...nadhani unajua ni perception ya watu.....Kama hajakidhi vigezo vyako....it's okay.....
Ambayo yamethibitishwa.....si ya kutengeneza....
Mleta uzi Ficha ujinga wako... Wapo wadada smart na walipiga shule zaidi ya huyo wa ukoo wa panya... Huyu unamwongelea kwasababu mfumo wa kifamilia umekufanya umjue.. Ila si chochote si lolote.. Kama alishauriwa wadada wachune mabuzi na akasahau thamani ya mtu, basi ni kiazi tu.. Bad example and lethal model.
Somehow.....muonekano mzuri na IQ nzuri,,,,
ukweli hautegemean na mtu.. kwenye Logic ukweli ni moja na ukweli huo ni kwamba mwamvita sio MREMBO... thats otherwise uniambie urembo wake hasa ni nini!!??
Ambayo yamethibitishwa.....si ya kutengeneza....
Unataka kumvua nguo tu mdada wa watu, ngoja waje wanaoyajua ya kumrudisha mmama wa watu kwao ndani ya masaa 24.
Bado kimilioni cha ubungewa kaka kwa mtoronto.
No crime, no empire.
-Msomi
-Mchapakazi
-Classy
-Fashionable
-She aims higher....
ya Kampeni za Kaka Bumbuli.......umewahi kuyasikia haya