Beauty With Brains: Mwamvita Makamba!!

Beauty With Brains: Mwamvita Makamba!!

Ntakasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2013
Posts
1,428
Reaction score
456
A good example kwa mabinti....
 

Attachments

  • blogger-image-492613922.jpg
    blogger-image-492613922.jpg
    31.7 KB · Views: 2,219
  • blogger-image-633815739.jpg
    blogger-image-633815739.jpg
    26.6 KB · Views: 2,291
Good example kwa lipi??Fafanua ili hao mabinti waige!!
 
Mleta uzi Ficha ujinga wako... Wapo wadada smart na walipiga shule zaidi ya huyo wa ukoo wa panya... Huyu unamwongelea kwasababu mfumo wa kifamilia umekufanya umjue.. Ila si chochote si lolote.. Kama alishauriwa wadada wachune mabuzi na akasahau thamani ya mtu, basi ni kiazi tu.. Bad example and lethal model.
 
Okay maana yake ilikuwa ipi hasa niambie wewe nielewe

Alitumia 'lugha-rafiki' kwa wasichana ambao they have achieved nothing so far,ka,a elimu,biashara,sanaa na ambao hawapendi kujituma(Wavivu a.k.a sikio la kufa) kuwa it's better to squeeze some money kutoka kwa Bed-Partner wako kuliko kujiingiza kwenye majanga ya sembe....
Note hapo kwenye 'bed-Partner'..kuchuna buzi si umalaya in general bali ni njia inayotumiwa na type ya wadada 'tajwa' hapo juu kujikimu na maisha.....ukiwa na hata boyfriend mwenye mkono mkarimu while wewe hujishughulishi kwa chochote ila tu unamtegemea yeye basi hiyo pia ni 'Chuna Buzi'...
 
Mleta uzi Ficha ujinga wako... Wapo wadada smart na walipiga shule zaidi ya huyo wa ukoo wa panya... Huyu unamwongelea kwasababu mfumo wa kifamilia umekufanya umjue.. Ila si chochote si lolote.. Kama alishauriwa wadada wachune mabuzi na akasahau thamani ya mtu, basi ni kiazi tu.. Bad example and lethal model.

Uliamini ulichotaka kuamini na unaendelea kuamini unachotaka kuamini....Hakuna aliye perfect..lakini ukiamua kuconcentrate na mabaya ya mtu ambayo huwezi hata kuyaprove basi mzigo wa Fikra-hasi utakutafuna.....
 
Bora hata heaven yeye hapendi kabisa mambo ya kuchuna mabuzi.
 
Back
Top Bottom