Beauty With Brains: Mwamvita Makamba!!

Beauty With Brains: Mwamvita Makamba!!

Na watalaumiana muda si mrefu

Ukitaka kujua maasi ya mtu, mweke kati watu wam-diskasi, kuna watu wana mafaili ya watu hadi unashangaa

Kama hajakutuma hii kazi basi sijui dhumuni lako ni nini sababu inakoendea....msijekulaumiana tu!!!!!!!!
 
Mhhhhh..

ila kwa sifa ulizotaja hapo juu hata mie ni a good exmple kwa mabint.........
sema nimemis umaarufu tu lol

Kama unataka kuwa acknowledged kwa mambo chanya uliyonayo na unadhani jamii inaweza kunufaika nayo...take initiative na utajulikana...Nadhani JF Itujenge kuwa positive zaidi...
 
She is not that beautiful bt she is very intelligent and blessd.she is one of my TZ icon....people can say mean things to her bt she is still rocking....well like a rock star......
 
She is not that beautiful bt she is very intelligent and blessd.she is one of my TZ icon....people can say mean things to her bt she is still rocking....well like a rock star......

Ahsante kwa honest opinion yako...Beauty ni perception ya mtu na nadhani upo sahihi kwa upande wako.
And yes...She Rocks!
 
Kuna watu beaty with brain sema hawana wa kuwashika mkono waonekane, nakuambia akili za huyo Mwamvita ni za kawaida sana sema tu amshukuru Mungu kuwa mtoto wa Makamba
 
Na watalaumiana muda si mrefu

Ukitaka kujua maasi ya mtu, mweke kati watu wam-diskasi, kuna watu wana mafaili ya watu hadi unashangaa


Mtu akishasoma UD tu basi huyo yuko open maana three years za under na 18 months MA hapo watu watakujua tu!!!!!!!
Bado kitaa!!!!!
 
Ahsante kwa honest opinion yako...Beauty ni perception ya mtu na nadhani upo sahihi kwa upande wako.
And yes...She Rocks!

tatizo ulichochemka hujamuwekea benchmark ili ajadiliwe, kwa kuwa hujafanya hivyo basi mimi nageneralize tu,huyo demu sio mzuri hata akinipa bure haita......,pia sio vyema kumjadili mtu mitandaoni humu utamuharibia siku. kuna mademu wengi wapo smart na wazuri kuliko huyo aliyekulia kodi za wananchi naishia hapo.
 
Kama hajakutuma hii kazi basi sijui dhumuni lako ni nini sababu inakoendea....msijekulaumiana tu!!!!!!!!

Well Mkuu,Ifike wakati tusiongozwe na Maneno ya watu....Mabingwa wa fununu wapo wengi....If It's good and you know it's good say it..but if it's bad....you gotta prove it....
 
Her lips is a very crucial factor to glomours
 
Back
Top Bottom