Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

Mash'kuura yaa ukh'y FF.

Hata mimi naingia wasi wasi na huo U-Profesa wake isije kuwa kama ule wa Maji Marefu.

Mwenye CV yake jamani naomba tafadhwali aiweke hapa. Tusije pata dhunuub kwa dhan'na.


Ndugu yangu utakuta Hirji ana CV ndefu hapa mpaka Dodoma lakini umakini ndiyo kama huo kwenye post namba 1 anapingana na historia kwa "Hypothetically Data". Halafu ana justify kwa cadaver wa medical students!

Sijui ndiyo huyu aliyeiingia anajiita kfhirji?
 
Last edited by a moderator:
Hahaha we mama nachelea kusema uwezo wako wa kuargue mambo ni mdogo,

kfhirji ameshaomba radhi kwa alichoandika Mau Mau badala ya Maji Maji, ambao hatujashikwa na Dini tukakuambia ni makosa madogo madogo,

Sasa punde tu wewe mwenyewe umekosea badala ya kuandika Tumekusoma, ukaandika tuekusoma.

Mbona Banzi lililopo jichoni kwako inakua ngumu kuliona?

Bado hujajibu Swali langu, nmekuuliza hivi

Mohamed Said anaamini Uhuru wa Tanganyika ulipiganiwa na Waislamu, Je unakubaliana na hilo.

Nimejibanza Hapa mtaa wa Uhuru karibu na duka la mshihiri huku nikila kashata baada ya kuchoma mahindi kwa muda sasa

Bado hujanijibu swali langu, jee Mau Mau alipigana na Muingereza? ya kfhirji mwachie Hirji, hili ni swali kwako wewe. Hirji nilishamwabia hiyo argument yake is good for garbage bin especially kama inatokea kwa mtu anaejiita professor, ingetokea kwa mtu kama wewe walaa hainipi shida, nnauona uwezo wako ni zaidi ya Hirji.
 
Last edited by a moderator:
Tehe! tehe! tehe!
Du! sina mbavu!!!!!
quote_icon.png
By Mwelewa

Mkuu Mohamed Said

Hoja alizotoa Prof. Karim Hirji zinazima madai yako yote unayotoa sehemu mbalimbali juu ya kile unachokiita "kuonewa kwa waislam Tz". Hisia za UDINI ndio zinakuongoza. Na kwa jinsi hii ni ngumu kushawishi umma wenye kuweza kupambanua ukweli ni upi. Hoja zako ziko bias sana hata mtoto wa primary atatambua wewe ni MDINI. Ndiyo, wewe ni mdini kwa sababu unafungamanisha hali mbaya za waislam hapa nchini kuwa ni matokeo ya "mfumo Kristu" kitu ambacho si kweli. UNAWAGAWA WATANZANIA.

ACHA MARA MOJA.

Mwelewa,
Una haki ya kuamini upendavyo lakini jua tunaowaeleza kuwa wanatudhulumu
hawajakuwa na ujasiri wa kutukabili na kutuambia kuwa Waislam tunazua au
"tunaongozwa na udini" kama unavyodai.

Wamekuwa kimya kwa muda mrefu.
Nasi tunasubiri.

Ama hilo la "kuacha mara moja" ninaachaje wakati vitabu na paper zangu
zimeenea kote.

Hilo la "kuacha mara moja," nitaachaje wakati mimi nadhulumiwa?
Binadamu yupi anaeweza kustahamili dhulma?

Kalamu ya Mohamed Said siyo iliyowagawa Watanzania.
Watanzania wamegwawa na dhulma.

Njoo katika hadhira yoyote ya Waislam popote kisha uwaambie kuwa nyinyi
hamjadhulumiwa usikie nini watajibu.

Allah SW katika Qur'an katika kuwafunza Waislam uadilifu anawaambia:
"Msidhulumu wala msikubali kudhulumiwa."

Kukataa kudhulumiwa ni katika amri za Allah.
Waislam hatuna khiyari ila kuipiga vita dhulma.

Ndugu yangu Mwelewa,
Naamini umetuelewa.



 
na omba msamaha wenu. Haata profesa anaweza kufanya kosa la kitoto. Maana yangu ilikuwa
maji maji lakini kwa haraka niliandika mau mau.
Lakini kosa dogo kimoja kama hilo haliwezi kupindua logic na ukweli wa makala mzima.
Ni wale ambao hawataki kufikiria mambo kwa kiundani ndiyo watayanganganyia makosa madogo
madogo.

Prof. Karim hiri

Professor, Mau Mau na Maji Maji wapi na wapi? Muombe msamaha Al Alama Mohamed Said uliyemfanyia makosa ya kutia maneno yako yenye makosa kinywani mwake.

Professor, nimesema juu huko kama ingekuwa umeleta hii argument yako kwenye jopo la wasomi na kuna chairman basi it was good for garbage bin na ungeshaambiwa kaa chini wasikilize scholars wanaongea nini.

Kukiri kwako makosa ya Kihistoria kwenye critique paper kumeshatoa thamani ya maandiko yako hayo, na si moja tu kama unavyodhani, nisome vizuri, kuna ligine kubwa zaidi ambalo wakala wako KVM ameleta justification ya cadaver wa medical students. Khaa!

Tumekusamehe kwa makosa, kajipange upya na I hope utamuomba msamaha Al Alama Mohamed Said kwa kutia maneno yako yenye makosa kinywani mwake, karudie uone hayo makosa kabla hujamuomba msamaha, ili uhakikishe kuwa kosa si dogo kama unavyotaka lionekane, ungefanya kosa lako mwenyewe la kiuandishi ningekuelewa kuwa kweli ni dogo. lakini la kumtilia mtu maneno ambayo si yake? hilo mpaka umuombe yeye uliyemzulia msamaha.
 
Professor, Mau Mau na Maji Maji wapi na wapi? Muombe msamaha Al Alama Mohamed Said uliyemfanyia makosa ya kutia maneno yako yenye makosa kinywani mwake.

Professor, nimesema juu huko kama ingekuwa umeleta hii argument yako kwenye jopo la wasomi na kuna chairman basi it was good for garbage bin na ungeshaambiwa kaa chini wasikilize scholars wanaongea nini.

Kukiri kwako makosa ya Kihistoria kwenye critique paper kumeshatoa thamani ya maandiko yako hayo, na si moja tu kama unavyodhani, nisome vizuri, kuna ligine kubwa zaidi ambalo wakala wako KVM ameleta justification ya cadaver wa medical students. Khaa!

Tumekusamehe kwa makosa, kajipange upya na I hope utamuomba msamaha Al Alama Mohamed Said kwa kutia maneno yako yenye makosa kinywani mwake, karudie uone hayo makosa kabla hujamuomba masamaha, ili uhakikishe kuwa kosa si dogo kama unavyotaka lionekane, ungefanya kosa lako mwenyewe la kiuandishi ningekuelewa kuwa kweli ni dogo. lakini la kumtilia mtu maneno ambayo si yake? hilo mpaka umuombe yeye uliyemzulia msamaha.
it's funny how you wanna smear the whole article over some minor typo!for me you seem to be out of crticism on the subject matter,the prof has apologised already for that.You hang on to that error as your only defense over your defeat.Again,For me,that is childish and baseless.
 
Kadri nitakavyojaaliwa!

''Said anamaanisha kuwa waislam walikuwa mstari wa mbele katika uasi wa mau mau dhidi ya Wajerumani. Hata hivyo, ameshindwa kutambua kuwa Wajerumani walitumia kiswahili. na kwa nyakati, maandishi ya kiarabu kuutekeleza ukoloni.
Hilo lilipingwa kwa nguvu na wamishenari wakristo. Mamlaka ya kikoloni ya wajuerumani ilitumia mfumo uliokuwepo wa madrasa kupata makarani wa kada ya chin''
Mkuu Nguruvi3.

Kweli huyu Prof Hirji anataka kutuaminisha kuwa Mau Mau walipigana na Mjerumani? Teh teh teh.

Hawa maprof ndiyo wakuwafuata kweli.

Na wewe hizi ngano unameza tu sababu zimelekezwa kwa Mohamed Said.
 
Last edited by a moderator:
As the author of the article being discussed, I would like to make a few important corrections and points:

1. There was an unfortunate typographic error; in haste I wrote Mau Mau instead of Maji Maji. I apologize
for this error on my part.
2. The version of my article on this website is an INCOMPLETE VERSION. THE FINAL SECTION INCLUDING
THE CONCLUSION HAS BEEN CUT OFF. SO THE FORUM MEMBERS HAVE NOT GOT THE FULL STORY. I
HAVE SENT THE FULL VERSION TO THE MODERATOR. PLEASE READ IT.
3. My main aim is not to contest historic details but to expose an erroneous way of thinking.
4. I am not pro-Christian, pro-Muslim, pro-Hindu etc. but simply pro-Tanzania who wishes to see
mutual harmony and tolerance between all religions, creeds, races, ethnicities, etc.
5. As I write in my conclusion, I regard Mohamed Said as a key intellectual voice in our society
who needs to be heard.
6. But if anyone including him promotes flawed views, we should be free to criticize them.
7. Let us discuss important issue affecting our nation in a brotherly sisterly spirit. Otherwise, if we
fight among ourselves on narrow grounds, only the enemies of the nation and exploiters of the
common person will benefit.

Prof. Karim Hirji

Professor, your confession of "error" due to your "haste" and you went further to enlighten us that what we read here is an "INCOMPLETE VERSION" , with those two remarkable and noble confessions wouldn't you agree, the version we are reading now is good for garbage bin until we receive the "full version"?

Please ask the moderators to throw this in the garbage bin (that's where its good for) and give us the corrected and "full version" so as not to mislead others as you have unintentionally misled us already.

And please be here to answer our questions may they arise after you have given us the right "full version" of your criticism.
 
Ndugu yangu utakuta Hirji ana CV ndefu hapa mpaka Dodoma lakini umakini ndiyo kama huo kwenye post namba 1 anapingana na historia kwa "Hypothetically Data". Halafu ana justify kwa cadaver wa medical students!

Sijui ndiyo huyu aliyeiingia anajiita kfhirji?

FF,
Naweka hapa kutoka kitabu cha Abdul Sykes athar za Maji Maji kwa ndugu zetu:

[TABLE="width: 601"]
[TR]
[TD]''When the Maji Maji War began in 1905 to try to oust the Germans from Tanganyika, the predominantly Christian areas in the south refused to join the movement and actually fought alongside the German forces against the patriots. This was because the uprising had begun in Muslim dominated areas and had within it Muslim characteristics. Missionaries, being collaborators, were taken as legitimate targets by the Maji Maji fighters. As a result, African Christians saw Maji Maji War as an uprising against Christianity. The Maji Maji movement was defeated by the Germans who committed atrocities against the people and their leaders. This left a big scar in the minds of Muslims in the south and the people in general, and hence the apolitical behaviour of the Christians in the south.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Following this, Africans in the south under the control of the British and missionaries were greatly subdued. After being defeated in the war by superior European weapons, the Church now saw in the misery of the people opportunity to exert its power in the area by providing schools and hospitals. The Church and the British were therefore seen as kind and considerate masters as opposed to the brutal German government.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]The nationalist movement as it was with the Maji Maji War began in predominantly Muslim areas following the same established pattern of colonial resistance. Christians in the Southern Province looked upon TANU as it did on the Maji Maji uprisings: as another Muslim movement which had come again to disrupt peace and stability in the south. This time, it was said, Muslims were preparing to wage war against the British.''[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Wanajamvi,

Historia hii inawapa shida sana wanahistoria wetu kuikubali.
Hakika kwa kiasi fulani inafedhehesha.


003_3.JPG


Suleiman Mamba mmoja wa majemadari wa Vita
Vya Maji Maji. Alinyongwa na Wajerumani.
 
it's funny how you wanna smear the whole article over some minor typo!for me you seem to be out of crticism on the subject matter,the prof has apologised already for that.You hang on to that error as your only defense over your defeat.Again,For me,that is childish and baseless.

Some minor typo when it comes your own writing and not putting your errors into somebody's writings and claim he wrote it. No matter how childish it may seem to your big brain, Professor kfhirji confessed and apologized for the error but unfortunately he confessed to the wrong people, he ought to apologize to Al Alama Mohamed Said which whom he erroneously quoted.

Call it smear or whatever you wish but Professor@KFHirji understood my arguments that this paper is good for garbage bin and that's why he diplomatically came with a "full version".

Being Professor is a huge burden and a simple mistake from THE Professor can have a huge impact and cause a lot of harm as many of us think Professors are always correct and we were already thinking of changing our mindset on history of Mau Mau and The Germans.
 
Last edited by a moderator:
Some minor typo when it comes your own writing and not putting your errors into somebody's writings and claim he wrote it. No matter how childish it may seem to your big brain, Professor kfhirji confessed and apologized for the error but unfortunately he confessed to the wrong people, he ought to apologize to Al Alama Mohamed Said which whom he erroneously quoted.

Call it smear or whatever you wish but Professor@KFHirji understood my arguments that this paper is good for garbage bin and that's why he diplomatically came with a "full version".

Being Professor is a huge burden and a simple mistake from THE Professor can have a huge impact and cause a lot of harm as many of us think Professors are always correct and we were already thinking of changing our mindset on history of Mau Mau and The Germans.
red:am glad you did not generalize to include me,for me a typo is minor and i can never discredit the work of anybody over that!!!!the bottom line is"he apologized and corrected"..now make your argument over some other areas.
 
na omba msamaha wenu. Haata profesa anaweza kufanya kosa la kitoto. Maana yangu ilikuwa
maji maji lakini kwa haraka niliandika mau mau.
Lakini kosa dogo kimoja kama hilo haliwezi kupindua logic na ukweli wa makala mzima.
Ni wale ambao hawataki kufikiria mambo kwa kiundani ndiyo watayanganganyia makosa madogo
madogo.

Prof. Karim hiri

Prof Hiri,

Unanishangaza sana kwa kuona KOSA la kusema maji maji na mau mau kwa wana historia ni kosa dogo.

Hakika hilo ni KOSA KUBWA sana sana kwani hazo ni kharakati mbili tofauti na zilitokea katika nchi tofauti na nyakati tofauti.

Lakin pia ikumbukwe ulichoandika ni Paper ambayo pasi na shaka ulipata muda mreeefu wa kuiandaa ikiwemo kuipitia kabla ya kuiwasilisha kwa wasomi wenzako na jamii kijumla.


Umenisikitisha sana Prof.

Poole


 
red:am glad you did not generalize to include me,for me a typo is minor and i can never discredit the work of anybody over that!!!!the bottom line is"he apologized and corrected"..now make your argument over some other areas.

I fully understand you, kwa shule mlizosoma.

Unazidi kunihakikishia kuwa hizo shule mnakwenda kusomea ujinga.

Zamani shule zetu, Waalimu walivyokuwa wanatusisitiza kuhusu spelling, tukikosea spelling tunalia kwa uchungu.
 
Pata darsa kiduchu hapa chini.

Mwaka wa 1951 wakati Dossa na wenzake wapo katika juhudi za kuipa uhai mpya TAA Dossa aliandikiwa barua na V.M. Nazerali aliyekuwa mjumbe wa Baraza la Kutunga Sheria akimuomba Dossa aunge mkono juhudi zake na za Ivor Byaldon na Brig. Scupham za kutaka kuunda chama cha siasa kitachowashirikisha watu wa rangi zote. Bayldon na Brig. Scupham walikuwa kama alivyokuwa Nazerali, wajumbe wa Baraza la Kutunga Sheria.-Wanasiasa wengine walioombwa kuunga mkono juhudi hizi walikuwa Chifu Kidaha Makwaia, Liwali Yustino Mponda wa Newala, Dr. Joseph Mutahangarwa, Chifu Abdieli Shangali wa Machame, Chifu Thomas Marealle wa Marangu, Chifu Adam Sapi Mkwawa, Chifu Harun Msabila Lugusha, Dr. William Mwanjisi, Abdulkarim Karimjee, Dr. Vedas Kyaruzi, Liwali Juma Mwindadi, H.K.Viran, Stephen Mhando, Ally Sykes na Abdulwahid Sykes. Dossa na wenzake waliikataa ghilba hii kwa kuwa lengo lao lilikuwa ni kuanzisha chama cha siasa cha Waafrika wa Tanganyika kwa minajili ya kudai uhuru.-Mwalimu Nyerere alipofika Dar es Salaam kwa mara ya kwanza mwaka wa 1952 kama mwalimu wa shule ya St. Francis' College, Pugu hakuna mtu aliyekuwa anamjua au kupata kusikia habari zake katika ulingo wa siasa. Kassela Bantu ambaye alikuwa akijuana na Nyerere kwa siku nyingi alimchukua Nyerere kwa Abdulwahid Sykes kumtambulisha. Wakati ule Abdulwahid alikuwa Rais wa TAA. Nyerere mara moja akajiunga na baraza la siasa lililokuwa likifanyika Mtaa wa Mbaruku nyumbani kwa Dossa. Ikawa kila Jumapili Nyerere anakuja kutoka Pugu kuja kumtembelea Dossa. Ilikuwa katika baraza hii ndipo Nyerere alipokutana na wanasiasa wengi wa wakati ule kama Ramadhani Mashado Plantan aliyekuwa anamiliki gazeti lililokuwa likijulikana kama Zuhra, John Rupia, Dunstan Omari, Zuberi Mtemvu na wanasiasa wengine. Fikra za Nyerere za kudai uhuru zilisikika kwa mara ya kwanza kupitia kalamu ya Mashado Plantan na gazeti lake la Zuhra lililokuwa likitoka kila siku ya Ijumaa. Fikra za Nyerere ziliingiza msisimko mpya katika baraza lile na haukuchukua muda mwaka 1953 uongozi wa ndani ukampendekeza agombee urais wa TAA.

A brief summary on JKN:

Julius Kambarage Nyerere, was born in March 1922 at Butiama, a village near the Lake shore town of Musoma, to a Zanaki chief, Nyerere Burite.

He received his early education at the Mwisenge primary school in Musoma before joining a secondary school at Tabora.

From Tabora, Nyerere spent two years at Makerere College, Uganda, then returned to Tabora to teach at St Mary's school. In 1949, he went to Edinburgh University, where he graduated with a Master of Arts degree in 1952.
On his return, he taught at St. Francis, Pugu, in Dar Es Salaam. He later briefly served as a Temporary Nominated Member of the colonial Tanganyika Legislative Council.
In 1954, Nyerere was a founder member of the Tanganyika African National Union (TANU), and was elected president of the party.

Ref: The Maryknoll Fathers, Tabora


So if Mwalimu at at the age of 25 in 1949 from Makerere College to Edinburg University graduation in 1952, where he returned to Tanganyika and taught at St. Francis what other time earlier than this timeline did Mwalimu came to Dar?
The only time could be when he was flying out to UK and definetly it should have been that leaving from Makerere he must have gone via Entebe-Nairobi route.
 
Indeed that was my question to you, go to post number one and remind yourself on "Hypothetically...Data...", is that your post or not?

And you came up with this:

quote_icon.png
By KVM
why would he write something which is not there?

And I asked you:

quote_icon.png
By FaizaFoxy
You call "hypothetical... data" something which is there?

Is your memory in retirement too? like that of Professor Hirji.

The only problem I see here is that you are quoting me completely out of context. The reason I put that question "Why would he write something which is not there" was an answer to a specific question asked by someone else not you. Unless you read that question and the answer to the question you will understand. It seems to me that the person who asked the question was satisfied with my answer.

Hypothesis is not reality. I have more than once reiterated this to you and you seem not to understand. I have told you why abstract hypothetical thinking is important in the advancement of knowledge and technology and any society can push it away at its own peril.

I am sure you can still be good without the last comment asit serves nothing in this debate.
 
Ndug Professor,

Shukran kwa kukaribia humu ndani kuja kujumuika nasi ndug zako watanzania wenzako,

Ndug Proffesor,

Kabla hatujaendelea na Mnakasha,

Unaweza kumuomba Radhi ndug yetu mwanahistoria wetu msomi Ndug Mohamed Said kwa kupotosha pale ulipopotosha??

Shukran,

MIMI NAITWA THE BIGSHOW,

MWANAFUNZI MTIIFU WA MWANAHISTORIA NGULI MOHAMED SAID.
As the author of the article being discussed, I would like to make a few important corrections and points:

1. There was an unfortunate typographic error; in haste I wrote Mau Mau instead of Maji Maji. I apologize
for this error on my part.
2. The version of my article on this website is an INCOMPLETE VERSION. THE FINAL SECTION INCLUDING
THE CONCLUSION HAS BEEN CUT OFF. SO THE FORUM MEMBERS HAVE NOT GOT THE FULL STORY. I
HAVE SENT THE FULL VERSION TO THE MODERATOR. PLEASE READ IT.
3. My main aim is not to contest historic details but to expose an erroneous way of thinking.
4. I am not pro-Christian, pro-Muslim, pro-Hindu etc. but simply pro-Tanzania who wishes to see
mutual harmony and tolerance between all religions, creeds, races, ethnicities, etc.
5. As I write in my conclusion, I regard Mohamed Said as a key intellectual voice in our society
who needs to be heard.
6. But if anyone including him promotes flawed views, we should be free to criticize them.
7. Let us discuss important issue affecting our nation in a brotherly sisterly spirit. Otherwise, if we
fight among ourselves on narrow grounds, only the enemies of the nation and exploiters of the
common person will benefit.

Prof. Karim Hirji
 
Last edited by a moderator:
Duh kwahiyo Prof Njozi kaifanya Morogoro Muslim University Madrassat mi sikujua hilo kumbe pamoja na kupewa majengo ya iliyokuwa chuo cha TANESCO bure bado .......

KVM,
Ningependa Prof. Njozi angekuwapo hapa akakujibu mwenyewe.
Juu ya hayo...

Kwani madrasa ina ubaya gani?
Mimi nimesoma mengi ninayochangia hapa katika madrasa.

Kubwa nililofunzwa katika madrasa ni adabu ya mnakasha.
Yaani adabu ya mjadala.

Elimu hii alinifunza Maalim Haruna.
Allah amrehemu.

Sasa ni juu yako kunipima kama elimu ile imenifaa au vipi.

Dada yangu Faiza husema sisi tunakwenda chuoni tukiwa wadogo na
nyie wenzetu mnaingia chuoni watu wazima.

Mengine nimeyaacha kuyajibu kwa makusudi.
 
.....ASISUBIRI WATU WAKAE CHINI WAANDIKE KISHA NAYEYE AJE KUANZA KUSEMA KWAMBA HAIKO HIVYO TENA BILA KUWEKA USHAHID WA WAZI KUPINGA HIKO KILICHOANDIKWA NA MTAALAM MOHAMED SAID

VIPI BWANA PROFESA ANATAKA KUSAFIRIA NYOTA YA MTAALAM MOHAMED SAID??


AMECHELEWAA,,AU LA BASI AJE NA USHAHID WA KUBACK UP HOJA YAKE.

:rockon: :rockon: :heh:

...Nadhani ni Muhimu kumuomba Prof Hirji aitafsiri makala yake kwa kiswahili ili wote tumuelewe vizuri.
 
Bado hujanijibu swali langu, jee Mau Mau alipigana na Muingereza? ya kfhirji mwachie Hirji, hili ni swali kwako wewe. Hirji nilishamwabia hiyo argument yake is good for garbage bin especially kama inatokea kwa mtu anaejiita professor, ingetokea kwa mtu kama wewe walaa hainipi shida, nnauona uwezo wako ni zaidi ya Hirji.

Nafikiri niishie hapa, maana shida yako kubwa umejawa na hila, unaongea kama mtoto wa darasa la sita, sijaona hata pointi moja uliomjibu gwiji huyu zaidi ya kung'ang'ania kosa moja tu, na maswali unayakimbia, naam, nilijua huna uwezo wa kulijibu swala langu...
 
Last edited by a moderator:
Tulieni wakolosai

Humu kuna watu wazima na wasomi wanadiscuss vitu vya msingi

Kama mkijifanya wahuni na vihiyo mkajitoa ufaham na kuanza kuongea uhuni basi kuna wahuni humu zaid yenu na tutakula sahan moja na nyinyi

MSITAKE KABISA KUHARIBU UZI HUU

MKIJIFANYA VICHWA VIBOVU TUTAWATULIZA KISHA MKASHITA KWA MODS

MKILETA JEURI TUNAWALETEA KIBURI TUH.

Huo uwezo wako ungeuonyesha kwenye saga ya Mtwara ambayo iliprove a massive failure sababu ya distorted mind kama yako.....teh teh teh....wewe ni failure always, pia tutamuomba Prof aandike kwa kiswahili pengine utaweza kumuelewa.........
Haya mjahidina kazi kwako.
 
Nafikiri niishie hapa, maana shida yako kubwa umejawa na hila, unaongea kama mtoto wa darasa la sita, sijaona hata pointi moja uliomjibu gwiji huyu zaidi ya kung'ang'ania kosa moja tu, na maswali unayakimbia, naam, nilijua huna uwezo wa kulijibu swala langu...

Kwa sababu hujapitia nyuzi.

Naona hata wewe hoja imekuwa nzito sana kwako.

Darasa la sita mbona kubwa sana, mimi ni zao la madrassa lakini chenga hunipigi, hata Professor wako kaja kukiri kosa humu, na akazuga kuwa hiyo si "full version" umesahau? hivi kikaratasi kama kile kinakuwa na version ngapi? uongo mwingine inabidi tuukalie kimya tu.

Kaingia mitini kama unavyoingia wewe kwa kimasomaso.


Na bado.
 
Back
Top Bottom