Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

Name calling si katika mambo yanayoruhusiwa JF.

Naona hujaisoma hii mada na umekurupuka, pitia vizuri. Nimei-knock-out hoja ya Professor Hirji in one post, na sijapata majibu ya kupinga hilo mpaka sasa hivi, na kila nimuulizae anakwepa, labda wewe pitia ujibu niliyouliza.

Lakini nikasema kwa faida ya watu kama wewe, ingawa criticism ya Hirji nime i knock out, tutaendelea kuwapa darsa mfaidike na ndicho kinachendelea lakini mapungufu yaliyopo kutoka kwa Hirji hayafai hata kujadiliwa. Tujadili "hypothetically...data..."?

Hebu wewe jibu ukweli, Mau Mau walipigana na Wajerumani?

Hypothetical data according to whom? I have read the Mohamed Said's thesis as well, and I would have made the same critique. The paper is shamble, dwells on Religion's angles of analysis

Let's look first on one premise dug by Prof Hirji from Moh'd's paper

Mohamed Said anataka tuamini uhuru wa Tanzania ulipiganwa kwa juhudi kubwa za waislamu

Je na wewe unakubaliana na hilo? tuanzie hapo kwanza

Then kwa case ya Mau Mau, Sitaki kumsemea kwa sababu hii case imenikuta enzi za utoto wangu kuchanganya kati ya Maji Maji Uprising na Mau Mau Movement, the same case inaweza kua inamkuta Prof Hirji katika zama hizi za Uzee wake, na still bado nimepata logic kwa alichokisema,

Wewe na Mohamed Said, nawafananisha na wale watu wa Mabara ya mbali ambao walikiri Africa was a dark continent and had no History, the problem is, they were knowing only the History of their own, The History of Europe. Vivyo hivyo hata nyie mnaamini kipindi cha harakati za uhuru zaidi ya Dar es salaam na Tanga hakuna sehemu nyingine iliyokuwa na wanaharakati mahiri na hata waliokuwapo basi walikua na mapungufu, hii ni kwa sababu mna hadithi za Gerezani tu.
 
Last edited by a moderator:
Hypothetical data according to whom? I have read the Mohamed Said's thesis as well, and I would have made the same critique. The paper is shamble, dwells on Religion's angles of analysis

Let's look first on one premise dug by Prof Hirji from Moh'd's paper

Mohamed Said anataka tuamini uhuru wa Tanzania ulipiganwa kwa juhudi kubwa za waislamu

Je na wewe unakubaliana na hilo? tuanzie hapo kwanza

Then kwa case ya Mau Mau, Sitaki kumsemea kwa sababu hii case imenikuta enzi za utoto wangu kuchanganya kati ya Maji Maji Uprising na Mau Mau Movement, the same case inaweza kua inamkuta Prof Hirji katika zama hizi za Uzee wake, na still bado nimepata logic kwa alichokisema,

Wewe na Mohamed Said, nawafananisha na wale watu wa Mabara ya mbali ambao walikiri Africa was a dark continent and had no History, the problem is, they were knowing only the History of their own, The History of Europe. Vivyo hivyo hata nyie mnaamini kipindi cha harakati za uhuru zaidi ya Dar es salaam na Tanga hakuna sehemu nyingine iliyokuwa na wanaharakati mahiri na hata waliokuwapo basi walikua na mapungufu, hii ni kwa sababu mna hadithi za Gerezani tu.
Soma hiki kipande kutoka kwenye hotuba ya Nyerere wakati anaanga.

Siku moja, Dosa akanifuata Magomeni (Dar es Salaam). Akasema: Leo wazee wanakutaka. Wapi? Kwa Mzee Jumbe Tambaza. Wanakutaka usiku. Nikasema haya, nitakuja. Nikaenda. Nikakuta wazee wameshakaa; wameniita kijana wao kuniombea dua. Mimi Mkristo, wao Waislamu watupu. Wakaniombea dua za ubani. Tukamaliza.Tulipomaliza wakasema kuna dua pia za wazee wao. Basi wakanitoa nje. Tukatoka. Zilipomalizika zilikuwa za Korani; sasa zikaja dua za wazee – za jadi.
 
Last edited by a moderator:
Hypothetical data according to whom? I have read the Mohamed Said's thesis as well, and I would have made the same critique. The paper is shamble, dwells on Religion's angles of analysis

Let's look first on one premise dug by Prof Hirji from Moh'd's paper

Mohamed Said anataka tuamini uhuru wa Tanzania ulipiganwa kwa juhudi kubwa za waislamu

Je na wewe unakubaliana na hilo? tuanzie hapo kwanza

Then kwa case ya Mau Mau, Sitaki kumsemea kwa sababu hii case imenikuta enzi za utoto wangu kuchanganya kati ya Maji Maji Uprising na Mau Mau Movement, the same case inaweza kua inamkuta Prof Hirji katika zama hizi za Uzee wake, na still bado nimepata logic kwa alichokisema,

Wewe na Mohamed Said, nawafananisha na wale watu wa Mabara ya mbali ambao walikiri Africa was a dark continent and had no History, the problem is, they were knowing only the History of their own, The History of Europe. Vivyo hivyo hata nyie mnaamini kipindi cha harakati za uhuru zaidi ya Dar es salaam na Tanga hakuna sehemu nyingine iliyokuwa na wanaharakati mahiri na hata waliokuwapo basi walikua na mapungufu, hii ni kwa sababu mna hadithi za Gerezani tu.

Naona umedandia treni kwa mbele.

Jee, Mau Mau walipigana na Wajerumani?
 
Njia ya muongo fupi, funguwa nyuzi uthibitishe hii kauli yako.

Ya nini kuandikia mate na wino upo? Unanchekesha!

FF... one of these days I'll take up the challenge so far bado sijaweka muda wa kufanya hii kazi japo I have some ideas of how I would do it. Tuombe uzima tu.
 
FF... one of these days I'll take up the challenge so far bado sijaweka muda wa kufanya hii kazi japo I have some ideas of how I would do it. Tuombe uzima tu.

Si uliuliza maswali humu ukaambiwa uyafungulie nyuzi? sasa unagwaya tena? hivi kuna kazi gani kuyakopi yale maswali yako ukayafungulia nyuzi?

Kumbe kwako imekuwa "kazi" kubwa sana? au ndiyo mchechetu wenyewe huo?

Unanshangaza!
 
Sasa ikiwa mtu anaandika MUM anaambiwa hiyo ni Muslims University of Morogoro, yeye anakazania ni Chuo cha Kiislam, kwa maana Islamic University, huyo kama shule yake hajasomea ujinga kasomea nini zaidi?

Hujanijibu, Mau Mau walipigana na Wajerumani?

MUM ni chuo cha kiislam.

Alosomea ujinga shuleni "chuo" ni wewe na huyo mchochezi wa kidini anayejifanya anatoa masahihisho ya historia ilihal anachochonganisha kwa mlango wa nyuma waislam na wakristo wachukiane. Na kuonyesha jinsi mlivyowajinga mkiulizwa swali dogo badala ya kujibu mnakuja na mavitu meengi wala yasiyoitajika ili muonekane mna profile hii inaonyesha mlivyo wanyonge WADINI wakubwa nyinyi. Mtu ata hajui maana ya historia anakuja na kelele zake tumesaauliwa tumesaauliwa hii ni dhulma,kisa? babu yake wa mtaa wa gerezani alikuwa anaziba pancha baiskeli ya Mwl Nyerere amekosekana kwenye history.

Siku zote udini uenezwa na watu wenye fikra za choyo na kimaskini, wanaoshinda vibarazani kusubiria 'kudra' za mwenyezi Mungu. Mnajifanya mnaupigania uislam kumbe mnazidi kuuchafua.
 
Eti Mohamed Said anajinasibu kufanya utafiti wakati hakuna
*area covered
*sampling method
*sampling technique
*problems encountered

Tubadili Historia ya nchi kwa utafiti wa Buguruni Malapa & Kariakoo?

Mbona Mwanamalundi hayupo katika historia na hadi alifungwa kisiwani na kurudi kimiujiza?

Au yeye si "mvaa kanzu, ndevu ndefu, msuli, jombo chini na kilemba kichwani"

Historia za kina bulicheka peleka kanisani.
Hayo mambo ya Kurudi kwa miujiza wateja wake hapa hakuna!

Au umeshapagawa na maneno ya Zijana za Madrasa? Manake naona sasa umeamua Kupayuka ovyo!
 
MUM ni chuo cha kiislam.

Alosomea ujinga shuleni "chuo" ni wewe na huyo mchochezi wa kidini anayejifanya anatoa masahihisho ya historia ilihal anachochonganisha kwa mlango wa nyuma waislam na wakristo wachukiane. Na kuonyesha jinsi mlivyowajinga mkiulizwa swali dogo badala ya kujibu mnakuja na mavitu meengi wala yasiyoitajika ili muonekane mna profile hii inaonyesha mlivyo wanyonge WADINI wakubwa nyinyi. Mtu ata hajui maana ya historia anakuja na kelele zake tumesaauliwa tumesaauliwa hii ni dhulma,kisa? babu yake wa mtaa wa gerezani alikuwa anaziba pancha baiskeli ya Mwl Nyerere amekosekana kwenye history.

Siku zote udini uenezwa na watu wenye fikra za choyo na kimaskini, wanaoshinda vibarazani kusubiria 'kudra' za mwenyezi Mungu. Mnajifanya mnaupigania uislam kumbe mnazidi kuuchafua.

quote_icon.png
By FaizaFoxy
Si kweli, hakuna chuo cha Kiislam Morogoro, kuna chuo cha Waislam Morogoro. Kumbuka hilo, ni Muslim University of Morogoro na si "Islamic" University of Morogoro. Hata kifupi chake ni MUM na si IUM.

Muslim University of Morogoro
P.O. Box 1031
Morogoro Tanzania
Tel. +255 23 2600256
Fax: +255 23 2600286E-
mail: mum@mum.ac.tz
Website: www.mum.ac.tz

Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
 
Hotuba ya Mwalimu Nyerere ya kuaga taifa tarehe 5 Novemba, 1985 mbele ya wazee wa Dar es Salaam.

'"Mimi nimeanza siasa na wazee wa Dar es Salaam; na wazee wa Tanzania. Nimeanza nao mapema sana; mapema kweli. Nilirudi kutoka masomoni, Uingereza Oktoba 1952 – miaka 33 nyuma. Wakati huo nikiwa kijana mdogo wa miaka thelathini na kidogo hivi.

Niliporudi nikakubaliana na wamisionari hapo Pugu (sekondari), nifundishe shuleni kwao. Lakini nikiwa shuleni – Chuo Kikuu – nilijua. Niliishaamua kwamba maisha yangu yatakuwa ya siasa. Niliamua hivyo: Nitafundisha kwa muda wa miaka mitatu, nione hali inavyokwenda na kuzoeana na wenzangu kabla ya kuanza maisha ya siasa.

Niliporejea nchini hapo Oktoba, nikaenda Butiama. Januari nikarudi Dar es Salaam. Nikaanza kazi. Nikataka kujua habari za African Association. Mzee Mwangosi anakumbuka. Yeye ndiye aliniambia habari za African Association. Aliisha niambia habari hizo tangu nikiwa Makerere – Chuo Kikuu – nikiwa mwanafunzi.

Pale, mimi na wanafunzi wenzangu tulikuwa tumeanzisha chama kinachoitwa Tanganyika African Welfare Association (TAWA) cha wanafunzi wa Tanganyika; mimi nikiwa katibu wao. Hapa tukaona mambo yanakwenda vizuri kidogo.

Tukaona kwanini TAWA iwe ya wanafunzi peke yao na siyo Tanganyika nzima. Kwa hiyo nikawaandikia baadhi ya watu Tanganyika. Nikasema, jamani ee, tumeanzisha chama, kwanini msianzishe huko matawi ya chama hicho?

Ndugu Mwangosi akapata barua hiyo. Alikuwa miongoni mwa waliopata barua hiyo. Akaniandikia – nikiwa Makerere – akasema: wewe kwanini unataka kuanzisha chama kipya? Kipo chama. Kipo chama cha TAA (Tanganyika African Association).

Kwa hiyo la maana siyo kuanzisha matawi, maana chama kipo na matawi yameenea; la maana ni kwamba hicho chama chenu mfute, na muanzishe tawi la Tanganyika African Association.

KUVUNJWA KWA TAWA

Hivyo ndivyo tulivyofanya. Kwa hiyo mimi nikawa katibu wa katawi ka TAA hapo Makerere. Niliporudi Tabora na kuanza kufundisha pale St. Marys (sasa inaitwa Sekondari ya Milambo), nikachaguliwa katibu wa TAA wa jimbo ambalo makao yake makuu yalikuwa Tabora. Ulipofanyika mkutano wa TAA mjini Dar es Salaam, nilihudhuria nikiwa mjumbe kutoka Tabora.

Kwa hiyo nilikuwa naijua Tanganyika African Association. Nilipokuwa ninaondoka kwenda Ulaya kusoma, nilikuwa nimeishaonja shughuli za TAA. Sasa niliporudi, baada ya kukaa Pugu siku chache, nikaja mjini Dar es Salaam. Nikauliza nani wanaongoza TAA? Nikaambiwa kuna jamaa mmoja anaitwa Abdul Sykes. Sasa ni marehemu. Abdul ndiye alikuwa katibu wakati huo.

Nilipelekwa na Kasela Bantu - ambaye naye aliteleza-teleza na hatunaye hapa (kwenye mkutano). Kasela Bantu alikuwa mwalimu mwenzangu. Tulifundisha pamoja Milambo. Nilipokuja Dar es Salaam, nikakuta anafanya kazi Redio (Tanganyika Broadcasting Corporation). Ni Kasela Bantu aliyenipeleka kwa Sykes.

Wakati huo mambo yalikuwa yanasinzia kidogo. Kwa muda mfupi mwaka ule, tukafufua-fufua, hasa kutoka Januari. Kufika Aprili, TAA ikafufuka. Tukafanya mkutano hapo Anautouglou. Kwenye mkutano huu wakanichagua kuwa Rais wao – wa TAA.

N
inasema yote haya kwa shukrani kwa wazee. Jamaa hawa walikuwa watu wazima wa Dar es Salaam, na mimi kijana mdogo Mzanaki, na Kiswahili changu si kizuri sana – cha matatizo.

Nimekuja, natoka Ulaya, tena masomoni. Muda mfupi tu jamaa hawa wakaniamini haraka sana – katika muda wa miezi mitatu.
Wakanichagua Rais wa TAA. Hapo ndipo nilianza shughuli mpya ya kuandika katiba ya TAA na kuipa madhumuni hasa ya shabaha ya kuleta uhuru.

Baada ya miezi 13, hapo 1954, tukaanzisha TANU. Jina hili lilipendekezwa na akina Abdul Sykes. Walikuwa wamelifikiria tangu zamani, walipokuwa askari vitani huko Burma (Vita vya Pili).

WAZEE NA MSIMAMO

Miezi minne baada ya kuanza kazi Pugu nikawa ninakuja Dar es Salaam, kwa mguu; kila Jumamosi. Baadaye wazee wakanipa baiskeli nikawa ninakuja mjini kukutana na wenzangu; kufanya mikutano.

Hivyo ndivyo tulivyofanya. Wazee wakaniamini upesi sana. Tukawa na uhusiano mkubwa sana. Wadogo wenzangu wengine walikuwa Abdul Sykes, Abass Sykes (mdogo wake), Dosa Aziz – waliokuwa wengi ni wazee.

Katika kuhutubia mikutano yangu, nilikuwa nikisema: Wazee na Ndugu zangu! Wazee hasa ndio walikuwa na mikutano ya awali ya TAA na TANU. Walikuwa na msimamo wa hali ya juu kabisa! Hawakuyumba hata kidogo! Vijana walikuwa na mashaka. Wengine walikuwa na vikazi vyao, waliogopa kuvipoteza.

Nalo jambo lenyewe ni la hatari – la kuzungumzia uhuru! Unaweza ukakosa kazi; na wapo waliopoteza kazi; wengine wakaacha kazi. Akina Rashid (Kawawa) waliona watoke kwenye shughuli hizo tuje tuungane katika chama.

Wazee wa Dar es Salaam, na baadaye wa nchi nzima, wakatuunga mkono, na kila nilipokwenda, watu wa kwanza walionielewa, walikuwa wazee.

Nilikwenda Songea mwaka 1955 mara baada ya kujiuzulu. Huko wazee walinipokea na kunielewa. Nilianza safari za kuitembelea Tanganyika nzima. Nilikwenda Mbeya. Mkutano wangu niliufanya na wazee; kikundi kidogo cha wazee, ndani ya nyumba ya mtu.

Kwa mkutano huu wa Mbeya, wazee wakauliza: Unatafuta nini? Nikawaambia natafuta uhuru. Wale wazee, kwa sababu ya vita vya Maji Maji, na wanakumbuka, kabisa, wakaona mimi ninatafuta jambo la hatari. Tulifanya mkutano wa makini kweli. Wakauliza: Wewe unawezaje kuleta uhuru? Wewe una njia gani kudai uhuru na usitiwe kitanzi na Waingereza?

WAINGEREZA WAONGO

Tulielezana. Nikawaambia ninyi wazee, Waingereza wanawadanganya, Waingereza wametumwa na ule Umoja wa Mataifa uliokufa (League of Nations), waje kuishika Tanganyika kwa muda tu; watusaidie, na wakati tutakapokuwa tayari, watuachie tukajitawale.

Waingereza wanafanya ujanja; hawasemi. Vita vimekwisha (vya Pili) na Umoja wa Mataifa mwingine – mpya (United Nations Organisation – UNO) umewakabidhi Tanganyika kwa shabaha ileile. Sisi siyo koloni lao. Wamepewa dhamana tu.


Kwa hiyo nikawaambia wazee, hakuna haja ya kumwaga damu. Tuwaseme tu! Tuwashitaki kwa waliowaleta hapa kwamba hawafanyi kazi yao; wamesahau kabisa!

Wazee wakauliza: Eh, inawezekana? Nikasema inawezekana. Kazi yetu ya kwanza ilikuwa kuwaambia watu kwamba uwezekano wa kujitawala upo. Hilo lilikuwa la kwanza. Wazee walijua maana ya kujitawala. Walitamani kujitawala, lakini hawakujua waanzie wapi.

Vijana hawakuwa na habari kwamba kujitawala kunawezekana. Kwa hiyo kwa wazee sikuwa na matatizo. Wao hawakuwa na kazi; hawakumwogopa Mwingereza. Hawakuogopa kufukuzwa kazi. Baadhi walikuwa wafanyabiashara.

Mzee John Rupia (marehemu) alikwua mfanyabiashara na kaidi kidogo. Aliwahi kutishwa na kunyang'anywa leseni yake ya biashara. Akaambiwa akiendelea kushirikiana na kijana mwenda wazimu (Julius Nyerere), atanyang'anywa leseni moja kwa moja. Rupia aliwajibu: Potelea mbali!

Nasema yote haya ikiwa njia ya kutoa shukrani kwa wazee na imani yao kwa vijana wakati huo.

Imani hujenga imani. Na mambo haya makubwa ya nchi, kama hayana baraka za wazee hayaendi. Magumu sana. Wanasema ngoma ya watoto haikeshi! Mimi nilipata baraka za wazee tangu zamani. Tangu awali kabisa.

TWAININGI AMEKWISHA

Siku moja, Dosa akanifuata Magomeni (Dar es Salaam). Akasema: Leo wazee wanakutaka. Wapi? Kwa Mzee Jumbe Tambaza. Wanakutaka usiku. Nikasema haya, nitakuja. Nikaenda. Nikakuta wazee wameshakaa; wameniita kijana wao kuniombea dua. Mimi Mkristo, wao Waislamu watupu. Wakaniombea dua za ubani. Tukamaliza.

Tulipomaliza wakasema kuna dua pia za wazee wao. Basi wakanitoa nje. Tukatoka. Zilipomalizika zilikuwa za Korani; sasa zikaja dua za wazee – za jadi.

Walikuwa na beberu la mbuzi. Wamechimba shimo. Wakaniambia simama. Nikasimama. Beberu akachinjwa, huku anaambiwa, "Twining (Twainingi) umekwisha!" (Edward Twining alikuwa Gavana wakati huo). Ndipo nikaambiwa: Tambuka! Nikavuka lile shimo. Hapo nikaambiwa na wazee: Basi nenda zako; tangu leo Twainingi amekwisha!

Sasa mimi Mkristo; hao Waislamu. Na mimi mkorofi-korofi katika mambo haya (ya kutambika). Lakini tulikuwa tunaelewana na wazee wangu hao. Kwa hiyo nilitambuka pale na kuambiwa: Nenda nyumbani salama. Twaining hawezi tena!

Wazee wangu wengine wanakumbuka tulikuwa tunakwenda Bagamoyo. Kwenye makaburi kule! Tunapiga dua huko kwenye makaburi na wazee wangu.

Baadhi yetu mtakumbuka safari moja jamaa wa Kenya, hawa akina Tom Mboya (marehemu) walishitakiwa. Tukasema tuwasaidie. Tuwasaidie vipi? Tukasema tufunge. Tukaomba nchi nzima kufunga siku hiyo. Tufunge! Tukafunga. Hakuna kula. Na siku ya kufunga tulikuwa na mkutano Bagamoyo. Tukaenda huko. Tukafanya mkutano hadi saa 12 jioni.

Baada ya mkutano tukaenda nyumbani kwa
Mzee Mohamed Ramia (marehemu). Hapa ndipo tulikuwa tumefikia. Mimi nikamuuliza mzee: Sheikh, una Aspro? Akajibu: Kwa nini unataka Aspro? Nikajibu kuwa kichwa kinaniuma kwelikweli. Akasema subiri.

Tulisubiri hadi saa ya kufuturu. Tukafuturu vizuri.
Mzee Ramia akaniuliza: bado unataka Aspro? Nikajibu kichwa sasa hakiumi. Kumbe ilikuwa njaa.

Nawaelezeni haya kwa sababu huko tulikotoka, tulishikamana sana. Tulishirikiana sana na wazee."'

 
Soma hiki kipande kutoka kwenye hotuba ya Nyerere wakati anaanga.

Siku moja, Dosa akanifuata Magomeni (Dar es Salaam). Akasema: Leo wazee wanakutaka. Wapi? Kwa Mzee Jumbe Tambaza. Wanakutaka usiku. Nikasema haya, nitakuja. Nikaenda. Nikakuta wazee wameshakaa; wameniita kijana wao kuniombea dua. Mimi Mkristo, wao Waislamu watupu. Wakaniombea dua za ubani. Tukamaliza.Tulipomaliza wakasema kuna dua pia za wazee wao. Basi wakanitoa nje. Tukatoka. Zilipomalizika zilikuwa za Korani; sasa zikaja dua za wazee – za jadi.

Bado sijaona shida hapo, alikua Dar es salaam ambapo kundi lililokua linamtazama lilikua la watu wa dini moja, pengine hata hizo dua au hata biblia haingemsaidia katika harakati za uhuru, pengine alitaka kuwaWin ndugu zako kwa sababu walikua wamedwell kwenye misimamo ya dini,
 
quote_icon.png
By FaizaFoxy
Si kweli, hakuna chuo cha Kiislam Morogoro, kuna chuo cha Waislam Morogoro. Kumbuka hilo, ni Muslim University of Morogoro na si "Islamic" University of Morogoro. Hata kifupi chake ni MUM na si IUM.

Muslim University of Morogoro
P.O. Box 1031
Morogoro Tanzania
Tel. +255 23 2600256
Fax: +255 23 2600286E-
mail: mum@mum.ac.tz
Website: www.mum.ac.tz

Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
Hata sijui hizo shule huwa wanakwenda kusoma nini...daaa!!
 
MUM ni chuo cha kiislam.

Alosomea ujinga shuleni "chuo" ni wewe na huyo mchochezi wa kidini anayejifanya anatoa masahihisho ya historia ilihal anachochonganisha kwa mlango wa nyuma waislam na wakristo wachukiane. Na kuonyesha jinsi mlivyowajinga mkiulizwa swali dogo badala ya kujibu mnakuja na mavitu meengi wala yasiyoitajika ili muonekane mna profile hii inaonyesha mlivyo wanyonge WADINI wakubwa nyinyi. Mtu ata hajui maana ya historia anakuja na kelele zake tumesaauliwa tumesaauliwa hii ni dhulma,kisa? babu yake wa mtaa wa gerezani alikuwa anaziba pancha baiskeli ya Mwl Nyerere amekosekana kwenye history.

Siku zote udini uenezwa na watu wenye fikra za choyo na kimaskini, wanaoshinda vibarazani kusubiria 'kudra' za mwenyezi Mungu. Mnajifanya mnaupigania uislam kumbe mnazidi kuuchafua.

Padri matumbo umeshindwa kujibu bakora za waungwana sasa umeamua Kuhara hayo mapuya yako jukwaani.

Waefeso matatizo yenu ni mengi mno, na moja wapo ni hili:

Nyie mnapouliza Swali Basi Mnataka Jibu litoke mpendavyo nyie km mlivyozoeshwa huko Makanisani. Hapa baba Maji Marefu!

Ndio maana Hayo majibu Uliyopewa Na Waungwana Wa Madrasa Kwa Akili yako ya Upako upako Unadhani waliokujibu wanatafuta hio uiitayo (profile)!! Kumbe wao wamekujibu kawaida kabisa.

Nilikuonya toka mwanzo kuwa Hapa sio kule mlikozoea Wewe na Nduguyo mkanyageni kule LOVE CONNECT!

Hapa usipochunga Hayo matumbo yako yatachafuka sasa hivi utuchafulie hali ya hewa km ulivyofanya hapo Juu.

Badala ya Kuleta Mipasho nadhani Ungeinusuru hio sura yako mbovu kwa Kusema Ni swali lipi Umeuliza Ukapewa Jibu Lisilo sahihi!

Unam criticise mzee Mohamed kwa Upotoshaji Bila kuleta Dalili au Ushahidi uliowazi wa hicho unachodai anakipotosha ndivyo mlivyosomeshwa huko kwenye vile vipaimara vyenu?

Hata andiko lako linakufundisha kTK METHALI 29 :09-11
KUWA 😡

"09 Mwenye hekima akijadiliana na mpumbavu; Akikasirika au akicheka, pia hapana raha. ..
-Mpumbavu hudhihirisha hasira yake yote; Bali mwenye hekima huizuia na kuituliza.-

Na pia kwenye METHALI 12:15 Inakushauri mtu km wewe kuwa:-

Njia ya mpumbavu imenyoka machoni pake mwenyewe; Bali yeye aliye na hekima husikiliza shauri.-
....................... .... ..... ........ .......

Sasa nakushauri Usibebe hizo sifa chafu.
Kaa mkao wa Kula Upewe Darasa Na Waungwana Hapa huenda hio Gongo pia Ukaiacha.


Halafu habari za Gerezani Unazijua vipi wewe mkazi wa pugu?
Kuja kwako mjini mpaka uswali Safar!
 
Last edited by a moderator:
Bado sijaona shida hapo, alikua Dar es salaam ambapo kundi lililokua linamtazama lilikua la watu wa dini moja, pengine hata hizo dua au hata biblia haingemsaidia katika harakati za uhuru, pengine alitaka kuwaWin ndugu zako kwa sababu walikua wamedwell kwenye misimamo ya dini,
Shida uliona ni ipi?
 
quote_icon.png
By FaizaFoxy
Si kweli, hakuna chuo cha Kiislam Morogoro, kuna chuo cha Waislam Morogoro. Kumbuka hilo, ni Muslim University of Morogoro na si "Islamic" University of Morogoro. Hata kifupi chake ni MUM na si IUM.

Muslim University of Morogoro
P.O. Box 1031
Morogoro Tanzania
Tel. +255 23 2600256
Fax: +255 23 2600286E-
mail: mum@mum.ac.tz
Website: www.mum.ac.tz

Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
MUM ni chuo cha kiislamu.

Objective yake
The objects of the Muslim University of Morogoro (MUM) are to advance education through a variety of patterns, levels and modes of study and by a diversity of means by encouraging and developing learning and creativity, for the benefit of the community specifically the Muslim community in the United Republic of Tanzania and beyond; to preserve, advance and disseminate knowledge and culture through teaching, scholarship and research, and to make available the results of such research; and to promote wisdom and understanding by example and, to develop the character of its students and staff by virtue of its corporate life guided by Islamic moral values.


Moja ya kozi wanazotoa na requirements zake.

LAW WITH SHARIAH Four (4) passes of Arts subjects of Certificate of Secondary Education (Islamic Knowledge accepted)


 
Naona umedandia treni kwa mbele.

Jee, Mau Mau walipigana na Wajerumani?

Shida yako kubwa hutaki kutoka kwenye box, sasa twende taratibu,
Kwani Maji Maji walipigana na Waingereza?
Unaedandia treni ni wewe mswahili kwa sababu unashupaa na makosa aidha ya kiherufi lakini hili swala langu hujalijibu, nimeuliza hivi

Mohamed Said anaamini Juhudi za kupigania uhuru wa Tanganyika zilifanywa na Waislamu, je unakubaliana na hili?.

Nipo Pembeni kwenye mkeka hapa nachoma mahindi nakusubiri
 
naration ya prof karim haipingani na ukweli unajaribu kupunguza makali kuwa waislam walitengwa ktk historia ya nchi yetu...prof amejaribu kujenga hoja via mau mau na hata uhuru wa USA ambayo kwa kiasi kikubwa imetia chumvi iliyoharibu kabisa mchuzi... UKWELI UTATUWEKA HURU...UPOTOSHWAJI UTATUANGAMIZA ZAIDI...
 
Shida uliona ni ipi?

Shida ni pale ambapo hata Mshumi Kiyate akimsaidia shilingi mia sita au mia mbili kwa Mwalimu basi mnataka iandikwe, shida ni tu pale kwa sababu unakaa jirani na ilpokuwapo TANU (Lumumba) basi unataka na ww uwepo katika Historia
 
MUM ni chuo cha kiislamu.

Objective yake


Moja ya kozi wanazotoa na requirements zake.



[/LEFT]

quote_icon.png
By FaizaFoxy
Si kweli, hakuna chuo cha Kiislam Morogoro, kuna chuo cha Waislam Morogoro. Kumbuka hilo, ni Muslim University of Morogoro na si "Islamic" University of Morogoro. Hata kifupi chake ni MUM na si IUM.

Yes, kuna Waislam wanaosoma hapo na wapo wasio Waislam, Islamic knowledge hata UDSM inakubalika, hulijuwi hilo? sasa hivi katika masomo ya vyuo vingi tu kuna hata Islamic Banking inafundishwa kwa hiyo vimekuwa vyuo vya Kiislam?

MUM ni Chuo cha Waislam si chuo cha Kiislaam.

Hili bado hujajibu: Jee, Mau Mau walipigana na Wajerumani?
 
KVM,
Ningependa Prof. Njozi angekuwapo hapa akakujibu mwenyewe.
Juu ya hayo...

Kwani madrasa ina ubaya gani?
Mimi nimesoma mengi ninayochangia hapa katika madrasa.

Kubwa nililofunzwa katika madrasa ni adabu ya mnakasha.
Yaani adabu ya mjadala.


Elimu hii alinifunza Maalim Haruna.
Allah amrehemu.

Sasa ni juu yako kunipima kama elimu ile imenifaa au vipi.

Dada yangu Faiza husema sisi tunakwenda chuoni tukiwa wadogo na
nyie wenzetu mnaingia chuoni watu wazima.


Mengine nimeyaacha kuyajibu kwa makusudi.

Mzee kwa jinsi unavyojibu kistaarabu nadhani wewe aidha una kichwa kizuri sana kukumbuka uliyofundishwa utotoni ama ulisoma madrasa ukiwa mtu mzima na ndio maana unaikumbuka misingi ya adabu uliyofundishwa.
Akina Ritz na FF kama nao walipitia madrasa nadhani uwashauri wakapate refresher course kidogo.
 
Back
Top Bottom