Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

Don't you know the meaning of Hypothesis?
How can Hirji use hypothetical data to justify his critique? It is absurd!!! And you Nguruvi3 and your brothers in arms against Prof. M. Said are just pathetic bunch of diehards advocating the status quo and you want others to play parrots. It is pathetic!!

Shukran Punjab singh,

Nakusoma kwa utuvu mno..!!

Sina shaka nawe siku zoote tupo kwenye Winning Team..!

Team hii ni moto wa kuotea mbali.

Wenyewe hao wanajua na mioyoni mwao humo wanakiri kwamba kwa Mohamed Said HISTORIA YA NCHI HII IMELALA HAPO,

SEMA UBISHI TUH,ILA HATA KAMA WAKICHUKIA HAKI ITAENDELEA KUZUNGUMZWA.
 
Last edited by a moderator:
Prof. Karim Hirji ameandika kisomi sana,hajabeba jazba za kidini. Hivi ndivyo namna wasomi wanavyotakiwa kujitofautisha na walalamishi.

ni watu wote tunapaswa kuchanganua mambo katika mfumo huu, hata Mohamed Said akijipa muda wa kujiuliza ni nini kinamfanya aangalie historia yetu kwa namna anavyoiangalia na kasha akajipa changamoto ya kuangalia kwa namna tofauti aone kama ataishia na majibu aliyonayo sasa, atajikuta anaiangalia historia kwa namna hii hii.

By the way, Historia imeanza Enzi za Baba na Mama Yetu Adamu na Hawa nini hii ya kina Nyerere?
 
Last edited by a moderator:
Alhabiby GS,

Prof anashindwa kutofautisha baina ya MAU MAU na MAJI MAJI.

:heh: :heh:

Shukran Kaka na tuko pamoja kwa saana! Nimekusoma na nimekufahamu kwa utuvu mwingi mno, japo Bwana Hirji asipofanza tahadhari basi aezageuka yakua Professor of comedy....yaani mtaalamu wa dhihaka na mas'khara!? Daah! Teeh! Teeeh!

Yaani ukasoma kwa undani ile critique ya huyu mwanataaluma Bwana Hirji...basi utayaona mapungufu mangi kiasi...kuliko hata yale anayojaribu kuyatolea yeye mapungufu! Daah!

Mfano kiduchu, yaani jinsi ile mojawayapo ya premise yake alofanza na ile mifano na kushabihisha alikofanza...basi haina tafauti na labda na Mwanamke anaekwenda lalama kwa mwenyekiti wa kitongoji kukhusu domestic violence zinazomsulubu...lakini anapewa majawaba yakua, wee endelea kustahamili tu, maana hilo ni tatizo lenye kuwasulubu wanawake wanzio takriban woote wa kitongoji hiki!? Duuh!

Yaani nalistaajab mno, kumsoma Dr Hirji akijiweka penye level ya chini kiasi kile...tena huku ati aki-justify kwa kutuekea zile triangular excuses/explanations za mifano ya pale Amerika and USA, sexism na mangineyo... na hata kuthubutu kufananiza history zisolingana kwa mangi, ili tu kuandika na kutetea mfumo mbovu uloasisiwa,kusimikwa na kurithishwa Taifa letu changa toka kwa yule "Baba Taifa"! Daah! Yaani Hirji kwa hili simlaumu mno, maana yeye na genge lake wanafahamika yakua ni Nyereres' apologists!

Jangine muhimu zaidi...yeye Dr Hirji kabla ya kufungua mdomo wake na kuwaasa wangine waache kulalama...yatakiwa pia yeye kama Tanzanian with Indian Sub Continent background...ni priviledges na social favours zipi walifaidika nazo tangia zile nyakati za Wakoloni dhdi ya wale Natives/Indigenous...japo kwa hizi never ending political correctiness zilotamamalaki hivi sasa hunu duniani...hii yaeza kuchukua tone ya racism au hata discrimination...lakini soote twafahamu yakua hii ni reality itokayo ndani ya historical facts!

Yaani Dr Hirji, yatakiwa awe cautious japo kiduchu anapofungua mdomo wake hadharani...khasa ukazingatia yakua yeye na society yoote ya Asians with Indian Sub Continent background wamepata/wamefaidika na priviledges/social favours, na kuekewa ile safety net tangia zama za ukoloni na haikua tafauti kubwa mno hata baada ya uhuru! Sasa ataezaje yeye kuthamini amma kuyatambua kwa kina matatizo na nakma za Natives Muslims, Animists or even Christians!?

Nakhis tafauti kubwa hapa yajionyesha kuwa...yeye Prof Hirji anatumia tu zile academic theories ku-justify maandiko yake amma kwa hapa hiyo critique yake! Lakini yeye mwenyewe anafahamu yakua hata zile socialist ideology alizokua akifuata na kujinasibu nazo tangia zama zile, ilikua ni kama hobby au ile intelectual luxury tu!

Sasa, yeye Dr Mohamed Said History anayoizungumza ni yakua ameishi history hiyo...yaani ana ile social,political and blood connection ya hizo harakati za mapambano ya kuleta Uhuru wa Taifa letu!

Hao baadhi ya hata walokua wanaharakati wakuu/mashuhuri zama hizo au anaowazungumza penye mangi ya maandiko yake...basi kwa njia moja amma nyangine pia walikua ni jamaa zao...yaani kwa lugha za kisasa nafikiri mwaita ndo ile "family friend"!?

Yanilazim kugura hapa kwa muda...tajitahidi labda kurejea tena kesho!

Ahsanta sana!
 
Chakochangu,
Hayo ni maoni yako na labda una ushahidi.
Mimi nimeandika kitabu kizima na nimetoa ushahidi wangu.

Napenda unifahamishe.

Hivi haya unayoyasoma hapa kwangu ulipata kuyasoma kokote
kabla?

Prof. Hirji hana ukweli wa kunitia mimi uchungu.

Mimi nimezaliwa na hao walioasisi TANU na wakapigania uhuru
wa Tanganyika.

Nayajua ambayo yeye hawezi kuyafahamu ila mimi nimweleze.

Mkuu, Heshima yako pokea.

Mimi ntakuuliza swali moja tu.

Hivi bila binaadamu kuwapo Uislamu hauwezi kuwapo?
 
We kichwa upande nakushauri ukae pembeni usubiri sehemu za kusherehesha ushehereshe, this is big for you.

Hivi ukiambiwa useme ulipoona pamepotoshwa utaweza au upambe tu ? Hahaha eti pale ulipopotosha.

Nyie watu tukiwasisitiza mwende shule mnasema tunawatusi.

Teh teh teh!
Leo Kondoo mlevi anamuhimiza Muungwana kwenda shule? Dahh!
Dunia inaekea mwisho.

Wewe na Mchumba wako Nyakageni mnaweza kutusaidia ufahamu wa kiwango cha elimu yenu? Au hicho kipaimara pia imeshakuwa ni Elimu!

Mlevi nuksi wewe!
 
Last edited by a moderator:
Mohamed Said

Prof yupo jamvini, njoo uongee naye kama ulivyohitaji siku mbili zilizopita

"Professor" kishakiri hapa hapa jamvini, tena post yake ya kwanza kabisa kwa jina lake, unless iwe si yeye kwani si verified member aliyejiita Hirji, kuwa alichokileta jamvini kina makosa na siyo full version na kaomba msamaha kwa hilo. Sasa unataka Mohamed Said ajibu nini zaidi?

Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
 
"Professor" kishakiri hapa hapa jamvini, tena post yake ya kwanza kwa jina lake, unless iwe si yeye kwani si verified member aliyejiita Hirji, kuwa alichokileta jamvini kina makosa na siyo full version na kaomba msamaha kwa hilo. Sasa unataka Mohamed Said ajibu nini zaidi?

Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
Mi nilidhani elimu bora ni ile inayokufanya kuwa mjinga?
 
Kuna watu 'wanalewa' hivyo fikra zao mpaka wanakufa zitaegemea udini.
Kuna watu wanaamini maisha ni rushwa bila rushwa hamna maendeleo binafsi na familia
Kuna watu ambao wanaamini katika haki na usawa, hawapendelei dini yoyote, mtu au kikundi cha watu katika kufanya maamuzi.
Kuna watu wengine ni kupinga tu hata ukimkuta anakula atapinga, pia wapo watu wa aina nyingine

Hivyo basi wale walio na mitazano ya kuegamia upande fulani ili mradi tu huwa ni watu wabaya na ndiyo chanzo cha hata migogoro. Prof hirji yuko sahihi sana

Yupo sahihi wakati kakiri mwenyewe kuwa kafanya makosa? na kakiri kuwa hata hii iliyoletwa humu siyo "full version", wewe unasema yupo sahihi, yeye mwenyewe kaingia humu na kusema kweli kuna makosa "error".

Sasa tukuamini wewe usiyejuwa hata kilichoandikwa ni nini au tumwamini Hirji aliyekuja kukiri kuwa kuna makosa?

Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
 
Una haki ya kudhani chochote udhaniacho. Upo huru.

sio hoja ya uhuru wangu, ni kwamba watu wengi wanaodai wamesoma na hasa wale tunaojua wamesoma vizuri na kuelimika sana ndio watu wajinga sana.
 
Don't you know the meaning of Hypothesis?
How can Hirji use hypothetical data to justify his critique? It is absurd!!! And you Nguruvi3 and your brothers in arms against Prof. M. Said are just pathetic bunch of diehards advocating the status quo and you want others to play parrots. It is pathetic!!

Dude, Prof Hirji's use of the so-called "hypothetical data" was for illustration purposes only as he clearly says so himself.
 
teh teh teh

Mkuu Bill,

Huyo Mkolosai anaeitwa matumbo akli yake ni mbovu kama sura yake tuh teh teh teh

Nimeisoma comment yake wallahi nikacheka saana kwa kweli,

Hapa nyumbani nachofanya ni kwamba mtoto wangu akilia HUWA NAICHUKUA HIYO SURA YAKE MBAYA KISHA NAMTISHIA NAYO,

LAZIMA AACHE KULIA teh teh teh
Teh teh teh!
Leo Kondoo mlevi anamuhimiza Muungwana kwenda shule? Dahh!
Dunia inaekea mwisho.

Wewe na Mchumba wako Nyakageni mnaweza kutusaidia ufahamu wa kiwango cha elimu yenu? Au hicho kipaimara pia imeshakuwa ni Elimu!

Mlevi nuksi wewe!
 
Kwa muda mrefu tumemueleza Mohamed kuwa anachoandika ni ukweli wa majina uliofungwa katika hisia na yeye kuita historia. Ndio maana, unapompa Mohamed kipande hicho hapo juu, hawezi ku-critique achilia mbali kujibu au kuzungumzia.

Mohamed, njoo hapa utupe upande wa Pili wa kipande hicho hapojuu. Kama unaafiki au unatofauti.

"Hypothetically...Data...", imaginary "four people" who "interpreted" the "hypothetically...data...", with imaginary questions and imaginary answers, you call that "ukweli"?

Mau Mau kapigana na Mjerumani, tena anasingiziwa kuwa Mohamed Said kaandika hivyo, ndiyo ukweli huo unaotaka Al Alama Mohamed Said aje kuujibu?

Amma kwa hakika upunguani ni jadi kwa wengine.
 
Last edited by a moderator:
Dude, Prof Hirji's use of the so-called "hypothetical data" was for illustration purposes only as he clearly says so himself.

kwaiyo,

hypothetical data ni kigezo faa kwa kufanyia justification za criticisms zake??

JIBU SWALI,KISHA PIGA MAGOTI..!

:heh: :heh:

Mwenyewe Prof nahis kesharusha Taulo Ulingoni...!!
 
teh teh teh teh

LEPROFESERIIII...

Nchi hii imekwama sana.

Wallahi.
"Hypothetically...Data...", imaginary "four people" who "interpreted" the "hypothetically...data...", with imaginary questions and imaginary answers, you call that "ukweli"?

Mau Mau kapigana na Mjerumani, tena anasingiziwa kuwa Mohamed Said kaandika hivyo, ndiyo ukweli huo unaotaka Al Alama Mohamed Said aje kuujibu?

Amma kwa hakika upunguani ni jadi kwa wengine.
 
na omba msamaha wenu. Haata profesa anaweza kufanya kosa la kitoto. Maana yangu ilikuwa
maji maji lakini kwa haraka niliandika mau mau.
Lakini kosa dogo kimoja kama hilo haliwezi kupindua logic na ukweli wa makala mzima.
Ni wale ambao hawataki kufikiria mambo kwa kiundani ndiyo watayanganganyia makosa madogo
madogo.

Prof. Karim hiri

Teh teh teh!
Profesa umenisababisha Nicheke vibaya hapa.

Ni imani yangu kuwa wewe ni ktk ile jamii ya wenzetu wenye asili ya kihindi.
Nakuuliza, we ukimsifu mkeo kuwa ni Hodari sana mbele za watu halafu ukimwambia Mkeo awapikie wageni wako Jelebi halafu yeye akapika Chanabateta ile sifa ya Uhodari bado atakuwa nayo?

Huo U Profesa Uko wapi Km unashindwa kutofautisha MAU MAU na Maji Maji?
 
Dr Hirji KF,

I read with sadness your cheap argument/critique. But, more importantly, you too admitted that Dr Mohamed Said writings are not missing crucial facts!

I also noticed with horror your absurd comparison of unrelated phenomena, historical facts and/or triangular injustices!? Daah!

I just noted though, now you are trying to claim that your own article/critique to be "not the full version"!? Also you are "sorry" for mislead all of us by inserted a Maumau struggle at the place of Majimaji Warriors!?...that can't be just a typographical error, as you claimed!? Come on Professor, this is becoming too childish! Daah! Teeh! Teeh! Teeeh!

You sound bit exhausted and despair, Professor!? Where is your standard gonne,Sir!? Only few years of retirement taking its toll!?

It is allowed to have an opinion...however, simply having an opinion about a given topic and/or subject is not enough. You should know this, Prof Hirji!? Daah! So next time if you feel need to effectively criticize someone else's work/article, you must be educated enough about the particular topic/subject...Ok Sir!?

Your argument is the fallacy of relative privation, I mean is a form of the moral equivalence fallacy that takes note of the existence of things that are worse than what is actually under discussion, for different purposes...as outlined above from your critique/article.

I think it's popular with retired Professors, like yourself...who know perfectly well they're doing something wrong, being fully aware that they're doing something wrong...but, they feel compelled to attempt to justify it and do so by pointing to other(usually worse) actions and/or incidents! Daah!

Probably you have few different "valid" reasons why want to pull "a not as bad as" comparison!?

However, you put your argument in a more vulnerable position. Your explanation/s not only cheap to come from someone of your calibre, but the most blatantly fallacious form of the argument and is a hindsight version of the "not as bad as" argument, that states past actions can legitimise current actions!?

The existence of a worse or similar atrocity in the past and/or currently, however, doesn't actually justify anything...it merely point out that there have been similar thing in the past.

People like you Dr Hirji, who use this kind of argument as a justification may well be aware that it's fallacious but still use it as purely rhetoric or as a distraction!?

Or even worse...probably you decided to use this kind of absurd argument in your critique as a particularly underhanded emotional appeal, in an attempt to guilt-trip Dr Mohamed Said, in order to have him stop voicing his legitimate claim/s and/or his writings!? I'm afraid it is too late now, Professor!

Ahsanta sana!

This kind of half-ass attempt won't convince nobody. You'll need to do a whole lot more work than the gibberish above if you seriously intend to challenge Prof Hirji's thesis.
 
This kind of half-ass attempt won't convince nobody. You'll need to do a whole lot more work than the gibberish above if you seriously intend to challenge Prof Hirji's thesis.

teh teh teh

we mvaa mahereni umevurugwa sana

mwenyewe jamaa yako kaangusha taulo huko ajabu wewe kalubandika unajikamua kamua siyo??

we jikamue tu uchafue hali ya hewa,,ukinyea kitanda si chako mwenyewe??

teh teh teh mwishowe utafanya mwenyewe usafi wa shuka zako,,teh teh teh
 
Back
Top Bottom