Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

Mudeer we mwenyewe unalijua hilo fika.

Sisi kila ulipo wewe kazi yetu ni kuweka kambi tuh,,na hatubanduki labda uondoke wewe.

Na sio kama tunajitamba hapana LA HASHA TUNAJUA ALLAH KAKUJAALIA HIKI KIPAJI NA MASHAALLAH HUFANYIII CHOYO ILM HIYO,

SISI TUNAJUA FIKA TUPO KWENYE WINNING TEAM.!!

YANI KAMA NI BONDIA BASI WEWE NI
QAAAABJRU5ErkJggg==



MUHAMMAD ALI.

KINA NGURUVI3 LAZIMA WARUSHE TAULO

Kandukamo1
FrJUNk3sW1am8sVcDQgIXX4y5asE1TpYNE7QC16TakAPS5CFaOIwMTZ2BAzhgrrC0vLJqbdvh0pN7jo75NTsMXI6GPj8BaKGf4CIDfxAAAAAASUVORK5CYII=
,

Unang'ang'ania kuwalazimisha wanafunzi wawe mapagani.

Ilishafanyika tafiti na Warsha mwaka 1981 kuusu matatizo haya haya ya
dhulma katika elimu kwa Waislam.

Hicho kipengele tunakijua sana.

Nilishawishika kukupuuza kwa kuwa hakika nimekasirika.

Nasema moyoni hivi huyu anajiona yeye ndiyo mwenye elimu peke
yake na sisi sote ni mbumbumbu hapa pamoja na Mzee Kondo?

Mzee Kondo kasoma Howard University, Washington DC.
Kozi yake ilikuwa Strategic Studies.

Hilo si swali la kutuuliza sisi.
Fanya utafiti wako na tuletee idadi ya wanafunzi mapagani hapa JF.

DSC00284.JPG


Katika Mahojiano na Mzee Kondo Nyumbani Kwake Upanga, Dar es Salaam
 
Mkuu Nguruvi3.

Ukifurisika tunakuomba utufanyie tafsri kwenye haya maandiko ya Professor wetu bingwa Hirji.

Said implies that Muslims were at the forefront of the Mau Mau uprising against German rule. But he fails to note that the Germans used Kiswahili, and for a time, the Arabic script, to administer the colony. That was strongly opposed by Christian missionaries. The German colonial authorities utilized the existing Madrasa system to recruit low-level clerks.
Kadri nitakavyojaaliwa!

''Said anamaanisha kuwa waislam walikuwa mstari wa mbele katika uasi wa mau mau dhidi ya Wajerumani. Hata hivyo, ameshindwa kutambua kuwa Wajerumani walitumia kiswahili. na kwa nyakati, maandishi ya kiarabu kuutekeleza ukoloni.
Hilo lilipingwa kwa nguvu na wamishenari wakristo. Mamlaka ya kikoloni ya wajuerumani ilitumia mfumo uliokuwepo wa madrasa kupata makarani wa kada ya chin''
 
Kandukamo1,
Unang'ang'ania kuwalazimisha wanafunzi wawe mapagani.

Ilishafanyika tafiti na Warsha mwaka 1981 kuusu matatizo haya haya ya
dhulma katika elimu kwa Waislam.

Hicho kipengele tunakijua sana.

Nilishawishika kukupuuza kwa kuwa hakika nimekasirika.

Nasema moyoni hivi huyu anajiona yeye ndiyo mwenye elimu peke
yake na sisi sote ni mbumbumbu hapa pamoja na
Mzee Kondo?

Mzee Kondo kasoma Howard University, Washington DC.
Kozi yake ilikuwa Strategic Studies
.

Hilo si swali la kutuuliza sisi.
Fanya utafiti wako na tuletee idadi ya wanafunzi mapagani hapa JF.

DSC00284.JPG


Katika Mahojiano na Mzee Kondo Nyumbani Kwake Upanga, Dar es Salaam
Lengo hasa ni kutaka kujifunza na swali nililokuuliza dhima yangu ni hiyo, lakini kama umekasirishwa kwa swali langu basi naomba UNIWIE RADHI.
MATHEMATICAL problems needs MATHEMATICAL solutions.
 
Mzee Mohamed Said nakupigia Salute kwa Subra zako na maneno yako ya hekima.

Mimi hawa Waefeso huwa sina subra nao kabisa.
Damu ya bwana imewachafua kiasi kwamba kila wakiona Muislamu basi Lzm walete Kejeli na Kashfa.

Kweli nimeamini Wale wachungaji wana haki ya kuwalia pesa zao kijanja.
Manake inataka subira ya ziada Kufundisha Kondoo mpaka aelewe
 
Last edited by a moderator:
Narudia tena Mohamed Said kasema
Nyerere kaja Dar mara ya kwanza 1952 nyie mnasema kapotosha kwa faida ya JF na wafuatiliaji wa huu mnakasha tuambieni lini alikuja Dar kwa mara ya kwanza.

alipewa ushahidi na anajua hilo, kama huamini nenda Makumbusho Butiama jirani na Kaburi la mwl Nyerere
 
Last edited by a moderator:
"I concur that the written history of Tanzania contains significant omissions. That must be rectified. All our heroes deserve due publicity". hii sentesnsi nimeinukuu kutoka kwenye critique ya Prof: Khirji hapo juu, kama anakubali Historia ya Tanzania ina mapungufu kwa nini hakubali hayo mapungufu ni yale yaliyosemwa na Mohamed Saidi ? na Je hayo mapungufu ni yapi? kama ni tofauti na Historia iliyoandikwa na Mohamed Said?
Lingine ni je huyu Prof: alijua lini Historia yetu ina mapungufu? kama sio baada ya kumsoma Mohamed Said ?
Tumesikia mtaala mpya unaandikwa ingekuwa ni wakati muafaka tutoe mawazo somo la Historia liweje, kwa kulinganisha na kupembua Mkanganyiko ulioko katika Historia ya nchi yetu wala sio kwenye masuala ya Uhuru hata kwenye issue kama Historia ya Zanzibar na nyinginezo. Na ndio muda mzuri wa sisi "tulioenda shule kujifunza ujinga" kusikiliza wasomi wakijadili Historia yetu kwa kina kuliko kurushiana vijembe kama wapiga debe! Nafkiri kila mtu anajua Historia yetu ina mapungufu je ni yapi? Mohamed Said kaonesha baadhi ya mapungufu je yako ni kweli? kama yake ni ya uongo ya kweli ni yapi? kuliko kukosoa bila kutoa suluhisho!

NB: Mkuu Mohamed Said umetoa mchango wowote katika kukuza Lugha ya Kiswahili? kama kuandika Riwaya, au Tamthilia za Kiswahili?? kama bado hebu jitahidi Mzee...
 
Last edited by a moderator:
Mzee Mohamed Said nakupigia Salute kwa Subra zako na maneno yako ya hekima.

Mimi hawa Waefeso huwa sina subra nao kabisa.
Damu ya bwana imewachafua kiasi kwamba kila wakiona Muislamu basi Lzm walete Kejeli na Kashfa.

Kweli nimeamini Wale wachungaji wana haki ya kuwalia pesa zao kijanja.
Manake inataka subira ya ziada Kufundisha Kondoo mpaka aelewe
Nyie ni wa kuwapuuza tu, mtakalia hayo hayo tu. Wenzenu wanasonga mbele. Kwa sababu ya upuuzi wenu bakin hivyo tu ka
 
Last edited by a moderator:
The Big Show,
Siku zote huwaambia watu kuwa mimi si kama ni mjanja sana kujua historia
hii.

Hapana.
Mimi bahati yangu ni kuwa nimezaliwa na wazee hawa na kwa wakati ule
wao wakiwa katika mapambano na ukoloni wa Waingereza.

Baadhi ya mambo nimeshuhudia na baadhi ya watu nimewaona kwa jicho
langu.

Lakini mimi nimezaliwa mjini na huku kuzaliwa mjini peke yake ni elimu
tosha.

Nimejua mengi na nimejifunza mengi kwa kuwa katika mazingira haya.
Wazee walikuwa wakali kuhusu dini, maadili na adabu.

this is utter nonsense palatable only for gullible and headless followers who cant tell whether the king's balls are out executing simple harmonic motion
 
Nyie ni wa kuwapuuza tu, mtakalia hayo hayo tu. Wenzenu wanasonga mbele. Kwa sababu ya upuuzi wenu bakin hivyo tu ka

Naona Umeme umekatikia Njiani.
Hasira zako bado hazijaisha.

Maendelea mlionayo nyie si hayo ya Kutuibia Pesa zetu! Au sio?

Endeleeni kuiba lkn siku zenu haziko mbali. Mkono wa sheria Utafanya kazi tu.
Kila kashfa Kubwa ya MAJIZI ya Mali za Wanachi Majina Ya viongozi wenu Yametapakaa kila kona.

Hilo pia haliwatoshi Mnaficha mpaka Historia Za kweli Za Nchi yetu. Na kuwafundisha watoto wetu kuwa Mungu ni mzungu! Na walopigania Uhuru wetu wote ni wagalatia.!!

Matokeo yake leo watanzania wengi wanamuona Kila Mzungu Muungwana Kumbe ni Majizi km wale maaskofu waliokwiba pesa za ESCROW!

Leo watanzania Wanafundishwa HISTORIA za Kweli za Nchi hii nyie Roho zinawauma Mnatamani Kupasuka.

Kaa mkao wa kula Ummah Usomeshwe,
Mlidhani Kila Msomi Atakuwa Mfia Nyerere km huyo MIRJI?

Hii dawa ndio kwanza Dozi ya kwanza.
Kuna Zingine km mvua Zinakuja.
Km roho yako imejaa roho mtakatifu wa Kivatican Mi nakushauri Usiingie Humu Jukwaani la sivyo Utapata Misukumo ya Moyo ya Ghafla.

Roho ikiuma sana kwa ukweli huu nenda kanywe damu ya Bwana Huenda Ukailegeza Kidogo machungu.
Na Ukikosa hio dodoma Wine jaribu Chibuku. Zote hizo ni damu za bwana.

Ahsanta.
 
alipewa ushahidi na anajua hilo, kama huamini nenda Makumbusho Butiama jirani na Kaburi la mwl Nyerere
Hilo swali nauliza mimi siyo Mohamed Said naombeni majibu ni lini Nyerere kwa mara kwanza alifika Dar es Salaam?

Kuna tatizo gani kujibu mpaka niende Butiama wakati jibu mnalo.

Nasubiri majibu.
 
Mzee Mohamed Said nimehoji ukokotozi wa Kitwana Kondo ati asilimia 71 waliofanya mtihani wa darasa la saba mwaka 1999 walikua waislamu na asilimia 29 walikua wakristo, (71+29=100). Kwa hesabu hiyo unataka kuniambia watahiniwa wote wa mwaka huo walikua waamini wa imani za kimapokeo na sie wa imani za kishenzi hatukua kati ya watahiniwa?
cc. Nyakageni, Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji.

huyo mbunge ana akili kama ya Lusinde Livingstone ila mzee Mohamed anaona ndio guru wake.

Ni mjinga tu ataamini kuwa mwaka 1999 kulikuwa na 79% ya waislam shuleni. Mwenye ku reason atasema huo ni ujinga

IELEWEKE UJINGA SI TUSI
 
Last edited by a moderator:
huyo mbunge ana akili kama ya Lusinde Livingstone ila mzee Mohamed anaona ndio guru wake.

Ni mjinga tu ataamini kuwa mwaka 1999 kulikuwa na 79% ya waislam shuleni. Mwenye ku reason atasema huo ni ujinga

IELEWEKE UJINGA SI TUSI

We mkanyageni nilishakuonywa huku hupawezi ona sasa unavomwaga mipovu kama vile makadinali wachungaji wanavoona wake za watu
 
Sibonike,
Usiwe na haraka ya kutoa hukumu.
Mjadala ndiyo kwanza unaanza.

Ila nitakudokeza moja tu.
Prof. Hirji awe kama atakavyokuwa.

Hakubeba mzigo waliobeba Waislam katika ukoloni toka Wajerumani
hadi Waingereza.

Ukitaka kujua mtoto yatima anahisi vipi kufiwa na wazazi wake wawili
muulize mwenyewe.

"mwanangu siku ya Iddi watoto wenzako wamevaa nguo
mpya wamenunuliwa na baba zao wewe huna umejikunyata kibarazani
na matambaa?"

Jibu lake litakusogeza kwenye ukweli na uhakika.
Prof. Shivji hajapita tulipopita sisi.

Atazungumza na shingo kutoa kwa kuwa hana hata uzoefu wa mtoto
wa shangazi yake katika haya Waislam wanayolalamika.

Suali moja nitapenda Prof. Hirji anijibu.
Upungufu katika historia ya Tanganyika aliujua lini?

Aliujua kabla au baada ya Mohamed Said kuusema?
Ikiwa aliujua kabla kipi kilimfanya akae kimya siku zote hizi?

Uoga au kitu gani?

the issue here is not who said it first, the issue is who said it well. Unaweza ukabaki kuwa mwanzilishi wa kusema ila unadhani wewe uliwahi kusema au na wewe ulipaswa ungekuwa umeshalisema mapema zaidi?
 
huyo mbunge ana akili kama ya Lusinde Livingstone ila mzee Mohamed anaona ndio guru wake.

Ni mjinga tu ataamini kuwa mwaka 1999 kulikuwa na 79% ya waislam shuleni. Mwenye ku reason atasema huo ni ujinga

IELEWEKE UJINGA SI TUSI
Wewe rudi kwenye jukwaa lako la ngono hapa siyo mahala pako.
 
this is utter nonsense palatable only for gullible and headless followers who cant tell whether the king's balls are out executing simple harmonic motion

we PANJOLO AU KABACHOLI?

TULIZA MSHONO NA UTUONDELEE KIDOMO DOMO

JIBU SWALI KISHA PIGA MAGOTI...

WEWE UNADHANI WATU WAPO HAPA KUFANYA MCHEZO MCHEZO SIYO??

HAPA UNASHUSHIWA NONDO KISHA UKASIMULIE JAMAA ZAKO,IKIBIDI UWAITE WAJE HAPA WALE NONDO KUTOKA KWA MTAALAM MOHAMED SAID
 
Lengo hasa ni kutaka kujifunza na swali nililokuuliza dhima yangu ni hiyo, lakini kama umekasirishwa kwa swali langu basi naomba UNIWIE RADHI.
MATHEMATICAL problems needs MATHEMATICAL solutions.

Ataweza wapi wakati utafiti wenyewe prof Karim Hirji anasema hauna RESEARCH METHODOLOGY!? Sampling anafanyia msikitini
 
Hilo swali nauliza mimi siyo Mohamed Said naombeni majibu ni lini Nyerere kwa mara kwanza alifika Dar es Salaam?

Kuna tatizo gani kujibu mpaka niende Butiama wakati jibu mnalo.

Nasubiri majibu.

huna hadhi ya kujibiwa na mimi, itafute elimu hadi uchina
 
Back
Top Bottom