Shida yako kubwa hutaki kutoka kwenye box, sasa twende taratibu,
Kwani Maji Maji walipigana na Waingereza?
Unaedandia treni ni wewe mswahili kwa sababu unashupaa na makosa aidha ya kiherufi lakini hili swala langu hujalijibu, nimeuliza hivi
Mohamed Said anaamini Juhudi za kupigania uhuru wa Tanganyika zilifanywa na Waislamu, je unakubaliana na hili?.
Nipo Pembeni kwenye mkeka hapa nachoma mahindi nakusubiri
'islam' means 'peace'.where is that peace..penye nia pana njia na penye mwislam asiyejielewa kuna vita..wakristu, wabudha, wapagani n.k ndio wanahubiri na kutenda 'amani'..
Lusungo,
Unafikiri sawasawa na mimi siwezi kukulaumu kwa hilo.
Mantiki inaweza ikaangushwa na kitu kingine.
Ungejua kadi za TANU zilivyogawiwa ungelijua na kwanini Abdul mkubwa
kapata kadi na. 3 na Ally mdogo kadi yake ni na. 2.
Kadi ya Nyerere ilikuwa lazima iwe na. 1 kwa heshima yake kama rais
wa TANU.
Kadi zile zilinadiwa.
Mwenye dau kubwa anatangulia kuchukua kadi.
Hukuyajua haya.
Ndipo nikasema nakuwia radhi na mantiki si inakuwa sawa muda wote.
Tehe! tehe! tehe!Mkuu Mohamed Said
Hoja alizotoa Prof. Karim Hirji zinazima madai yako yote unayotoa sehemu mbalimbali juu ya kile unachokiita "kuonewa kwa waislam Tz". Hisia za UDINI ndio zinakuongoza. Na kwa jinsi hii ni ngumu kushawishi umma wenye kuweza kupambanua ukweli ni upi. Hoja zako ziko bias sana hata mtoto wa primary atatambua wewe ni MDINI. Ndiyo, wewe ni mdini kwa sababu unafungamanisha hali mbaya za waislam hapa nchini kuwa ni matokeo ya "mfumo Kristu" kitu ambacho si kweli. UNAWAGAWA WATANZANIA.
ACHA MARA MOJA.
OK tuekusoma.
Jee, Mau Mau walipigana na Wajerumani?
Mie nimekuuliza swali linakuwa gumu sana kwako kujibu? Kwanza jibu swali langu halafu ulete hayo yako, ndiyo raha ya mnakasha, au unaonaje?
Jee, Mau Mau walipigana na Mjerumani?
Mkuu turudi zetu kwa Matola huku hupawezi
Prof. Karim Hirji ameandika kisomi sana,hajabeba jazba za kidini. Hivi ndivyo namna wasomi wanavyotakiwa kujitofautisha na walalamishi.
Hoja ipi ya kujibiwa? Hirji ka criticize, kaulizwa maswali mawili tu, hajajibu mpaka sasa au wakala wake KVM hajajibu, kakwepa.
Mimi binafsi nimeonesha mapungufu ya maandiko ya Hirji ambayo hakuna aliyekuja na jibu, kuna mmoja tu kaja kasema hizo data kweli za kufikirika. Unajuwa hiyo maana yake nini kisomi? maana yake criticism ya Hirji yote inafaa itupwe kwenye garbage bin.
Lakini ili tuwape wengi faida na darsa, tutauendeleza mnakasha tartiiiiibu tuwape darsa, nnauhakika wengi wenu mtafaidika, maana mnaonesha kuwa wengi wenu hamko katika kiwango cha usomi wa kuweza kukabiliana na minakasha ya kisomi na hii ni fursa yenu kujipatia mawili matatu.
Professor Hirji, kwa kushindwa kuelewa tu Mau Mau na Wajerumani ni kama mbingu na ardhi na akaandika hivyo katika hizi pumba zake anaonesha kuwa ni Professor bogus (with all due respect).
Na hilo la kukiri kwake kuwa ana criticize kwa kutumia "hypothetical... data..." ndiyo kama nilivyokueleza awali, na laiti ingalikuwa kaileta hii criticism kwenye jopo la wasomi na kuna Mwenyekiti, Mwenyekiti tayari angeshamwambia "shut up, seat down and listen to other scholars".
Nawahurumia sana wanafunzi wanaofundwa na "Professor" kama huyu Hirji, hakuna zaidi bali wanajazwa ujinga tu.
Hapana alipigana na Muingereza, sasa zamu yako
Tatizo lililokutokea hivi punde la kuandika tuekusoma badala ya tumekusoma, naam linaweza kua limemtokea Prof Hirji badala ya kuandika Maji Maji akaandika Mau Mau.
Hata Mohamed Said hajishupalia hilo, kwa nini sasa usiende kwenye swali langu
Kama mwathirika mmojawapo wa hii lugha nimejitahidi kulisoma hili andiko na limenipa mwanga zaidi.
Ubabaishaji umekuwa mwingi Tanzania mpaka wanaibuka waandishi na analysts wababaishaji kati masuala nyeti kabisa ya kitaifa. Na kibaya zaidi wapo waliojipenyeza mpaka kwenye nafasi za kufanya maamuzi wanaowasujudia hawa watafiti wababaishaji na wenye malengo yao maalumu.
Asante sana Prof. Hirji kwa kujariju kurudisha mambo katika mstari.
mie nimekuuliza swali linakuwa gumu sana kwako kujibu? Kwanza jibu swali langu halafu ulete hayo yako, ndiyo raha ya mnakasha, au unaonaje?
Jee, mau mau walipigana na mjerumani?
Nani alipigana na Muingereza? hivi hata kuandika sentensi kamili mnashindwa? hizo shule mlienda kusomea ujinga?