Vipi kuhusu utawala wa sheria na haki za binadamu, msimamo wa wazungu ni upi dhidi ya Tanzania.Kusimangwa kwingine no no no kuwa kubali ushoga,usagaji Na ndoa ya jinsia moja ndio nikupe no no no no.Ni matusi makubwa mno kwa mwafrika
Vipi kuhusu utawala wa sheria na haki za binadamu, msimamo wa wazungu ni upi dhidi ya Tanzania.Kusimangwa kwingine no no no kuwa kubali ushoga,usagaji Na ndoa ya jinsia moja ndio nikupe no no no no.Ni matusi makubwa mno kwa mwafrika
Kweli kabisa ametafuta shimo la kujifichia anaponyonga demokrasia nchini, eti ushoga.Usijifiche kwenye ushoga, tatizo liko wazi ni kutokufuata demokrasia. Huo ushoga mnaojifichia msidhani hatujui uko kwa kiwango gani na ni vipi unatuathiri kama taifa. Narudia tena, tatizo lake ni mwenendo wa kidemokrasia.
Haki wanazoongelea zaidi ni za Mashoga sio zingineVipi kuhusu utawala wa sheria na haki za binadamu, msimamo wa wazungu ni upi dhidi ya Tanzania.
Hukuelewa kiingereza, Denmark uwe shoga, uwe mzinzi uwe mwizi uwe kichaa, uwe mweusi au vyovyote ulivyo bado una sifa za kuwa mwanadamu na una haki zote za kibinadamu hutakiwi kubaguliwa.Denmark inataka Watanzania wabadili utamaduni wao ndio wapate DOLA MILIONI 9.8 (DOLA MILIONI 8.9 UNATAKIWA UKUBALI MILA ZA JAMII NYINGINE! FEDHEDHA! long-live CHINA!
Sawa kwani mashoga hawana haki, katiba ipi ya TZ inayosema kuwa hapa kwetu hawana haki.Haki wanazoongelea zaidi ni za Mashoga sio zingine
Uongo Sheria zetu haziruhusu ushoga mbona kwenye hilo utawala wa sheria hiyo tuliyojiwekea wenyewe hawataki?Wanachotaka wazungu ni kutukumbusha kufuata utawala wa sheria tuliojiwekea wenyewe, simple!
Huyu kahaba wa Lumumba bado ana msimamo huuhuu kuhusu Bagamoyo au amekengeuka?Ruksa wachina wachukue kuliko nchi kuchukuliwa Na Mashoga Na wasagaji
Mmmh sijui kama kuna wa kupewa pongeziChina ni marafiki wa maliasili yetu kuliko sisi
Mmmh sijui kama kuna wa kupewa pongezi
Alichofanya Western countries kwa Africa ndicho anachokifanya Mchina leo
Tofauti ya hawa wawili Technology imekua zaidi kulinganisha na miaka ya nyuma
Hakuna jema kwetu kama Taifa wote hawa ni wezi tu period!
Pascal Mayalla BAK
Wachina ni wabaya zaidi
Tunadanganyika na misaada na mikopo ya riba ndogo ya Wachina lakini wanayovuna Africa yanatisha
Mjerumani hata kama aliiba lakini alikua na jukumu kubwa la kuijenga nchi mana aliishi humu humu na hakuwa na mpango wa kuondoka ndio maana maeneo waliokaa yalipata maendeleo makubwa sana.Mmmh sijui kama kuna wa kupewa pongezi
Alichofanya Western countries kwa Africa ndicho anachokifanya Mchina leo
Tofauti ya hawa wawili Technology imekua zaidi kulinganisha na miaka ya nyuma
Hakuna jema kwetu kama Taifa wote hawa ni wezi tu period!
Pascal Mayalla BAK
Wachina ni wabaya zaidi
Tunadanganyika na misaada na mikopo ya riba ndogo ya Wachina lakini wanayovuna Africa yanatisha
Ahahahah ahahahah ahahahah pale kwa Marehemu mzee Ndesa Pesa! Yaani ikatokea hawa kuku wakakamata nchi,nahisi ndoa za jinsia moja zitaanza na Antifath Lithu! Yaani kwa ruzuku wanayopata wameshindwa kujenga ofisi, na tuliwapa inchi?Mawazo haya duni yanafanya makao yetu makuu ya ufipa yaendelee kuchakaa bila ukarabati wowote. Hata tukiita waandishi wa habari tunawaelekeza uani chini ya maturubai yaliyotoboka.
Laiti ungalijua...Pascal nakuona ukipata tender za TBC kwanini usiimbe pambio za kusifu na Wewe?
Mkuu mala bata mwenye mi fweza, mimi ni mkweli daima na huu ndio ukweli wenyewe, na nimeusema kwenye nyuzi hiziKuna haka kamsemo "beggars cant be choosers" unakapendaga sana!!
Ukiwa fukara kamwe hauwezi kuwa kiburi.Haya ndio mambo akina sisi tunayompogezea rais Magufuli, asikubali kupangiwa cha kusema eti tuu kwa kuogopa kunyimwa mikopo na misaada yenye masharti.
Yes sisi ni masikini as beggars as we are lakini sisi ni masikini jeuri, we are not that poor
Je, Tanzania ni masikini hivi kuendelea kupokea mikopo na misaada yenye masharti kinyume cha uhuru wetu?, au tukatae kama Nyerere?. - JamiiForums
Kumbe watu wa Nyerere bado wapo na wana misimamo kama Nyerere. Hongera MFA, Dr. Mahiga kwa msimamo, tusikubali kuyumbishwa - JamiiForums
P
Eti kwakua hatusupport wasenge ndio misaada inakatwa, yaani tufuate masharti yao na sio utamaduni wetu. Atakae kua maenge shauri zake lakini isiwe Kama ulaya amabapo kwa sasa utaona bendera za wasenge kila mahali. Hadi watoto wao wadogo wasiojua usenge ni nini wanawabebesha hizo bendera zao. That is too muchKwahili namuunga mkono John, mtu anakupa msaada na masimango kibao, misaada si afya kwa Taifa ila wanatufanya mazuzu mno kwa kutupangia lifestyle
Isome vizuri nchi ya Cuba Na jinsi walivyo fungiwa kila kona lakini wao wakabaki kua umara na hawakutikisikaUkiwa fukara kamwe hauwezi kuwa kiburi.
Masikini jeuri ni msemo tuu, tusiuweke kwenye akili. (Kwa hisani ya Mwana FA)
Huo ni mfano, turudi kwenye uhalisia!Isome vizuri nchi ya Cuba Na jinsi walivyo fungiwa kila kona lakini wao wakabaki kua umara na hawakutikisika