BBC: Magufuli prefers Chinese to Western

Kusimangwa kwingine no no no kuwa kubali ushoga,usagaji Na ndoa ya jinsia moja ndio nikupe no no no no.Ni matusi makubwa mno kwa mwafrika
Vipi kuhusu utawala wa sheria na haki za binadamu, msimamo wa wazungu ni upi dhidi ya Tanzania.
 
Usijifiche kwenye ushoga, tatizo liko wazi ni kutokufuata demokrasia. Huo ushoga mnaojifichia msidhani hatujui uko kwa kiwango gani na ni vipi unatuathiri kama taifa. Narudia tena, tatizo lake ni mwenendo wa kidemokrasia.
Kweli kabisa ametafuta shimo la kujifichia anaponyonga demokrasia nchini, eti ushoga.

Ushoga mie unaniathiri nini, nakula ushoga mie, lakini utawala wa Magu wa kutofuata sheria una athari za moja kwa moja mfano uvunjwaji wa nyumba Kimara.

Wanadhani wote ni hamnazo kama wana Lumumba
 
Denmark inataka Watanzania wabadili utamaduni wao ndio wapate DOLA MILIONI 9.8 (DOLA MILIONI 8.9 UNATAKIWA UKUBALI MILA ZA JAMII NYINGINE! FEDHEDHA! long-live CHINA!
Hukuelewa kiingereza, Denmark uwe shoga, uwe mzinzi uwe mwizi uwe kichaa, uwe mweusi au vyovyote ulivyo bado una sifa za kuwa mwanadamu na una haki zote za kibinadamu hutakiwi kubaguliwa.

Hata Tanzania ni hivyo hivyo hatuna tofauti nao ndio maana serikali ya Magufuli ilikanusha pale ambapo Makonda alipotoa tamko la kuwakamata mashoga.
 
Haki wanazoongelea zaidi ni za Mashoga sio zingine
Sawa kwani mashoga hawana haki, katiba ipi ya TZ inayosema kuwa hapa kwetu hawana haki.

Wanachotaka wazungu ni kutukumbusha kufuata utawala wa sheria tuliojiwekea wenyewe, simple!
 
Wanachotaka wazungu ni kutukumbusha kufuata utawala wa sheria tuliojiwekea wenyewe, simple!
Uongo Sheria zetu haziruhusu ushoga mbona kwenye hilo utawala wa sheria hiyo tuliyojiwekea wenyewe hawataki?
 
China ni marafiki wa maliasili yetu kuliko sisi
Mmmh sijui kama kuna wa kupewa pongezi
Alichofanya Western countries kwa Africa ndicho anachokifanya Mchina leo
Tofauti ya hawa wawili Technology imekua zaidi kulinganisha na miaka ya nyuma

Hakuna jema kwetu kama Taifa wote hawa ni wezi tu period!
Pascal Mayalla BAK

Wachina ni wabaya zaidi
Tunadanganyika na misaada na mikopo ya riba ndogo ya Wachina lakini wanayovuna Africa yanatisha
 
Kabisa Pakawa Wachina ni wabaya sana kuliko hata Wazungu na tayari kuna ushahidi wa kutosha tu kule Sri Lanka, Zambia na kwingineko ambako nchi hizo zilishindwa kulipa deni la wachina na hivyo wachona kupora mashirika muhimu yaliyo chini ya Serikali na kukusanya asilimia kubwa ya mapato ili kulipia deni lao.

Hawa wapumbavu waliookotwa jalalani wanaweza kabisa kuiacha nchi juu ya mawe kwa miaka chungu nzima ijayo na ujinga wao TUNAKOPESHEKA.

Mmmh sijui kama kuna wa kupewa pongezi
Alichofanya Western countries kwa Africa ndicho anachokifanya Mchina leo
Tofauti ya hawa wawili Technology imekua zaidi kulinganisha na miaka ya nyuma

Hakuna jema kwetu kama Taifa wote hawa ni wezi tu period!
Pascal Mayalla BAK

Wachina ni wabaya zaidi
Tunadanganyika na misaada na mikopo ya riba ndogo ya Wachina lakini wanayovuna Africa yanatisha
 
Mmmh sijui kama kuna wa kupewa pongezi
Alichofanya Western countries kwa Africa ndicho anachokifanya Mchina leo
Tofauti ya hawa wawili Technology imekua zaidi kulinganisha na miaka ya nyuma

Hakuna jema kwetu kama Taifa wote hawa ni wezi tu period!
Pascal Mayalla BAK

Wachina ni wabaya zaidi
Tunadanganyika na misaada na mikopo ya riba ndogo ya Wachina lakini wanayovuna Africa yanatisha
Mjerumani hata kama aliiba lakini alikua na jukumu kubwa la kuijenga nchi mana aliishi humu humu na hakuwa na mpango wa kuondoka ndio maana maeneo waliokaa yalipata maendeleo makubwa sana.
Na pia hata rasilimali walizoziacha karibu zote zimeshindikana kuendelezwa kwa kiwango walichokua wanakiendeleza na nyingine mpaka leo zimebaki historia tu na hazijulikani zilipo.
Kifupi Mjerumani alidhulumiwa lakini alikua na nia nzuri kuliko makoloni mengine ikiwemo koloni jipya la CCM na Mchina wake.

Madhara yoyote yatakayokuaja kuipata Tanzania chini ya Ukoloni mpya wa Mchina wa kulaumiwa ni CCM mana wao ndio makuwadi wa rasilimali zetu kwa mchina wakati tulishapata Uhuru na kumfukuza mgeni tuliyedhani anatunyonya japo kiukweli sisi ndio wanyonyaji kupitia watawala wetu tangu ujima.

Haijawahi Mtawala mweusi akawa sawa na Mwananchi wake rangu kuumbwa kwa dunia hii.
Watawala wa kiAfrika ni hatari sana kwa watu wao kuliko kiumbe Chochote kilichoumbwa na Mungu tangu ujima.
Wamisionari waliwakuta Machifu wa Kiafrika zamani hizo wakipora mpaka wake za watu na ng"ombe walionona .Wamosionari ndio waliosimama Kidete kupinga ujinga wa machifu kupitia walinzi wao na wapambe wao kupora wake za watu na ng'ombe zao na kwenda kula.
Mjerumani akaweka sheria Kali kudhibiti ushenzi wa Mwafrika .Hili ni lazima tuliseme ili tujenge historia mpya njema. Historia za kweli zilipotoshwa kuwatukuza watu waliopaswa kulaaniwa na kuwalaani waliopaswa kusifiwa. Ndio maana mpaka leo Afrika ni maskini na hawawezi kamwe kusimamia rasilimali zao wenyewe bila kuwaita ama hao wakoloni wapya wa kichina au kuendelea kushirikiana na zimwi likujualo.

Mjerumani kwa karne moja iliyopita na muda mfupi aliokaa alifanya makubwa sana ukilinganisha Teknolojia ndogo ya wakati huo.
Waliijenga Afrika wakijua kuwa wameshafika nyumbani hawoandoki.

Mjerumani ameikuta jamii ndogo kama ya Wachaga ikiwa imegawanyika kwa kuwa na vita ya makundi madogo madogo kwa karne nyingi.

Vikabila vingi,koo nyingi, lugha nyingi ndani ya maeneo madogo sana na mila tofauti tofauti Afrika ni ushahidi kuwa hatukuwa wamoja kama tunavyodanganywa na akina Prof. Blablah.

Sijawahi kumkubali Mchina kabisa mana naina atakua ni hatari sana bora Mzungu mana mfano Mmarekani kuna waafrika wenzetu wengi kule na wananafsi kubwa kwenye Taifa hilo lenye uchumi mkubwa Duniani.
Hata majeshi yao yana waafrika wengi sana. Na kila nyanaja waafrika wenzetu wameshika sana hilo Taifa lenye watu mchanganyiko tofauti na Mapatina wa CCM wachina ambao hata hao CCM wenyewe hawajawahi kuishi huko au kuwaweka ndugu zao au wake zao wafanye kazi au kujenga China au kuoa au kuewa China.
Au hata kuwa na imani inayofanana na ya watu wetu wengi inayomjua Mungu wa Nabii Ibrahimu na sheria za Mussa.

Sasa hiyo thamani ya waChina kwetu inatoka wapi??

Kama kawaida CCM inatutengenezea Janga kubwa sana kwa vizazi vijavyo kwa faida ya madaraka yao ya leo. China inawapa kiburi cha kuua demokrasia bila kujaua kuwa wanalinda uongozi wa kiimla kwa gharama ya kuumiza na kumwaga damu za watanzania wenzao kama anavyohamasiasha muovu mmoja anayeitwa Msiba mkuu na Mwenyekiti wa UVCCM.

Kupanga ni kuchagua; kama tumeamua kuachana na ushirika na utegemezi kwa mataifa makubwa basi tusijidanaganye kuwa China ni Taifa salama kwetu.Ni hatari Mara mia moja ya wazungu ambao kiukweli wana utu angalau kidogo ndio maana hata sheria zao sio za kikatili sana kama China; mana Serikali ya China wanajijua kuwa watu wao wana Tabia za kishetani hivyo wanapaswa kuwekewa sheria na adhabu za moto ili wakae kwenye mstari.
 
Mawazo haya duni yanafanya makao yetu makuu ya ufipa yaendelee kuchakaa bila ukarabati wowote. Hata tukiita waandishi wa habari tunawaelekeza uani chini ya maturubai yaliyotoboka.
Ahahahah ahahahah ahahahah pale kwa Marehemu mzee Ndesa Pesa! Yaani ikatokea hawa kuku wakakamata nchi,nahisi ndoa za jinsia moja zitaanza na Antifath Lithu! Yaani kwa ruzuku wanayopata wameshindwa kujenga ofisi, na tuliwapa inchi?

Mbuzi-meee
 
Pascal nakuona ukipata tender za TBC kwanini usiimbe pambio za kusifu na Wewe?
Laiti ungalijua...
P
 
Haya ndio mambo akina sisi tunayompogezea rais Magufuli, asikubali kupangiwa cha kusema eti tuu kwa kuogopa kunyimwa mikopo na misaada yenye masharti.

Yes sisi ni masikini as beggars as we are lakini sisi ni masikini jeuri, we are not that poor
Je, Tanzania ni masikini hivi kuendelea kupokea mikopo na misaada yenye masharti kinyume cha uhuru wetu?, au tukatae kama Nyerere?. - JamiiForums

Kumbe watu wa Nyerere bado wapo na wana misimamo kama Nyerere. Hongera MFA, Dr. Mahiga kwa msimamo, tusikubali kuyumbishwa - JamiiForums

P
Ukiwa fukara kamwe hauwezi kuwa kiburi.
Masikini jeuri ni msemo tuu, tusiuweke kwenye akili. (Kwa hisani ya Mwana FA)
 
Kwahili namuunga mkono John, mtu anakupa msaada na masimango kibao, misaada si afya kwa Taifa ila wanatufanya mazuzu mno kwa kutupangia lifestyle
Eti kwakua hatusupport wasenge ndio misaada inakatwa, yaani tufuate masharti yao na sio utamaduni wetu. Atakae kua maenge shauri zake lakini isiwe Kama ulaya amabapo kwa sasa utaona bendera za wasenge kila mahali. Hadi watoto wao wadogo wasiojua usenge ni nini wanawabebesha hizo bendera zao. That is too much
 
Ukiwa fukara kamwe hauwezi kuwa kiburi.
Masikini jeuri ni msemo tuu, tusiuweke kwenye akili. (Kwa hisani ya Mwana FA)
Isome vizuri nchi ya Cuba Na jinsi walivyo fungiwa kila kona lakini wao wakabaki kua umara na hawakutikisika
 
Back
Top Bottom