gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,715
Binafsi simpingani na hoja ya rais hata kidogo. Ni jambo zuri Sana Kama sisi Kama sisi tukijitegemea ama tukimpenda kupokea mikopo yenye masharti nafuu zaidi toka kwa wachina. Binafsi sikubaliani na kuambiwa eti tutambue haki za mashoga ama ndoa za jinsia moja. Na kwenye kumbukumbu zangu nakumbuka kikwete alikuwa na hekima Sana kulikataa hili swala la mikopo yenye masharti magumu.
Swali la kujiuliza je rais kea kulisema hili pale udsm mahali ambapo 3/4 ya wahadhiri wake wanasomeshwa na hao wazungu je haoni kuwa Lina direct impact kwenye elimu Zaid kuliko kwenye miradi ya maendeleo?
Je hakukuwa na namna nyungine nzur Zaid ya kuisifia mikopo hi zaidi ya kutumia kauli hii?
Swali la kujiuliza je rais kea kulisema hili pale udsm mahali ambapo 3/4 ya wahadhiri wake wanasomeshwa na hao wazungu je haoni kuwa Lina direct impact kwenye elimu Zaid kuliko kwenye miradi ya maendeleo?
Je hakukuwa na namna nyungine nzur Zaid ya kuisifia mikopo hi zaidi ya kutumia kauli hii?