baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 5,887
- 12,473
Tatizo lenu nyinyi hata hamjishughulishi kusoma.Ruksa wachina wachukue kuliko nchi kuchukuliwa Na Mashoga Na wasagaji
Unajua kama wachina kwenye imani zao wana hadi mungu wa kushugulikia ndoa za jinsia moja?
Msome zaidi hapa
Tu'er Shen - Wikipedia
LGBT rights in China - Wikipedia
Na mwaka 1997 China wameruhusu mahusiano ya kishoga.
Kama.kweli una nia ya dhati kutoshirikiana na mashoga mpinge pia na misaada ya mashoga wa china?