BBC: Magufuli prefers Chinese to Western

BBC: Magufuli prefers Chinese to Western

Siyo Magufuli pekee bali Africa kwa sasa inageukia Mashariki.Na nakuhakikishia kama Magharibi na hasa Marekani wataendelea kuchagua viongozi wendawazimu then watarajie kupoteza kabisa ushawishi bara hili.
 
Haya ndio mambo akina sisi tunayompogezea rais Magufuli, asikubali kupangiwa cha kusema eti tuu kwa kuogopa kunyimwa mikopo na misaada yenye masharti.

Yes sisi ni masikini as beggars as we are lakini sisi ni masikini jeuri, we are not that poor
Je, Tanzania ni masikini hivi kuendelea kupokea mikopo na misaada yenye masharti kinyume cha uhuru wetu?, au tukatae kama Nyerere?. - JamiiForums

Kumbe watu wa Nyerere bado wapo na wana misimamo kama Nyerere. Hongera MFA, Dr. Mahiga kwa msimamo, tusikubali kuyumbishwa - JamiiForums

P
Hawa wachina wamefanya nn Zambia??yatatukuta hakuna urafiki kati ya taifa ndogo na kubwa,Hawa wachina ni marafiki wa CCM sio watanzania ,Ndio maana hata jengo LA Lumumba wamejenga mwenyewe,Kwa tenda za barabara,Madini Wa napiga tu ,Hawa wachina waliokuwa wanaimba tembo marafiki zetu kivipi?
 
Inabidi ufike wakati (kama bado haujafika) waafrica tuamue kusimama kwa miguu yeti wenyewe na tuseme 'enough is enough', wale wanaokuja na misaada au mikopo ya kipuuzi tuwaambie hatuihitaji. Wanatusokomezea haya na mikopo ya mashariti ya kipuuzi kwa kuwa wanajua hatuna ubavu wa kukataa. Tunao uwezo kabisa wa kuwa maskini jeuri endapo tutaamua kupenda nchi zetu na kutumia vizuri kile tulichonacho ili kujiletea maendeleo. Wote, westerners na Chinese, siyo mwarobaini wa maendeleo yetu, sisi wenyewe ndo dawa ya maendeleo yetu.
Namkubali Magu kwa angalau kuliona hilo na kusema 'tukiamua tunaweza'. Najua ni kazi ngumu kubadilisha mtazamo wa watu toka ule wa utegemezi kwenda mtazamo positive wa 'we can do it', lakini hata kule kuanza kufikiria nje ya 'box la utegemezi' na kuanza kupandikiza mbegu ya kujitegemea na kujiendeleza wenyewe, ni hatua nzuri inayostahili kupongezwa.
(There's no free lunch, there's no lunch at all'; JPM 2018)
Kwa uthubutu tu magu yuko vizuri ila kauli zake approaches zake ni shida na janga kwa taifa hili.
 
Haya ndio mambo akina sisi tunayompogezea rais Magufuli, asikubali kupangiwa cha kusema eti tuu kwa kuogopa kunyimwa mikopo na misaada yenye masharti. Yes sisi ni masikini as beggars as we are lakini sisi ni masikini jeuri, we are not that poor Je, Tanzania ni masikini hivi kuendelea kupokea mikopo na misaada yenye masharti kinyume cha uhuru wetu?, au tukatae kama Nyerere?. - JamiiForums Kumbe watu wa Nyerere bado wapo na wana misimamo kama Nyerere. Hongera MFA, Dr. Mahiga kwa msimamo, tusikubali kuyumbishwa - JamiiForums P
Wengi wetu bado tuna nidhamu ya woga, tunafikiri "Western World" pekee ndiyo watakaotusaidia, bado hatutaki kujaribu donors wengine, tunasahau China na Western world wana bifu la kiuchumi hasa katika kujipatia maliasili na rasilimali zetu, misaada ya Wazungu yaja na masharti ya ajabu ajabu sana mengine mpaka yawa ngumu kumeza, China nawo vichwa hawakupi cha bure ila masharti yao kwa kweli ni nafuu, swala ni sisi tuwe wajanja na kukumbuka tu, Duniani hakuna cha bure...
 
Na siku hao wachina wakitaifisha viwanja vyetu vya ndege na Tanesco yetu mfurahie hivyo
Haya ndio mambo akina sisi tunayompogezea rais Magufuli, asikubali kupangiwa cha kusema eti tuu kwa kuogopa kunyimwa mikopo na misaada yenye masharti.

Yes sisi ni masikini as beggars as we are lakini sisi ni masikini jeuri, we are not that poor
Je, Tanzania ni masikini hivi kuendelea kupokea mikopo na misaada yenye masharti kinyume cha uhuru wetu?, au tukatae kama Nyerere?. - JamiiForums

Kumbe watu wa Nyerere bado wapo na wana misimamo kama Nyerere. Hongera MFA, Dr. Mahiga kwa msimamo, tusikubali kuyumbishwa - JamiiForums

P
 
Safi sana
IMG-20181125-WA0000.jpeg
 
Sisi si masikini wao ndo masikini sisi ni donors wa korosho, madini dhahabu tanzanite,nk
Haya ndio mambo akina sisi tunayompogezea rais Magufuli, asikubali kupangiwa cha kusema eti tuu kwa kuogopa kunyimwa mikopo na misaada yenye masharti.

Yes sisi ni masikini as beggars as we are lakini sisi ni masikini jeuri, we are not that poor
Je, Tanzania ni masikini hivi kuendelea kupokea mikopo na misaada yenye masharti kinyume cha uhuru wetu?, au tukatae kama Nyerere?. - JamiiForums

Kumbe watu wa Nyerere bado wapo na wana misimamo kama Nyerere. Hongera MFA, Dr. Mahiga kwa msimamo, tusikubali kuyumbishwa - JamiiForums

P
 
Back
Top Bottom