Fernando Jr
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 3,224
- 4,808
Toa elimu mkuu kama hutojaliDu! Pole Sana, mimi kuna dawa za kizungu na za kisuni, ngoja waje
Toa elimu mkuu kama hutojaliDu! Pole Sana, mimi kuna dawa za kizungu na za kisuni, ngoja waje
Hiyo ni Bawasiri. Kama hutojali nikutumie namba za mtu ambaye huwa anajitangaza kuwa anatibu. But uwe makini kwakuwa siku hizi matapeli ni wengi.Du! Pole Sana, mimi kuna dawa za kizungu na za kisuni, ngoja waje
Wapo wanajua tiba, humuhumu jukwaani wewe fuatilia comment zao kisha ufanye nao udadisiToa elimu mkuu kama hutojali
Pole mkuu vp uko kiumeni nn pende za Ukonga??Ni muda sasa hili tatizo linanisumbua ,ilianza kama kinyesi kinakua cha pingilipingili kigumu.kikiwa kimechanganyikana na damu,wakati wa kunya ni shida,maumivu makali sana,,wakati mwingine muwasho ile mbaya nikaenda hospital nikapewa dawa tatizo likapotea.pia kuna dawa za kienyeji nilikua natumia .
Hali imejirudia,niliweka kioo kuangalia nikaona nyuma ya mfereji wa tundu la mkundu kuna kanyama kameota,kana fanana na ngozi tu ya kawaida,nisipo kunya nikakaa kama siku mbili pale panaacha kuuma,nikinya baada ya nusu saa maumivu yanaanza kwa ndani ,na pembeni pamevimba kama jipu ,na zaidi ya wiki sasa,nifanyaje ndugu zangu?,namawazo sana,je ntapona kweli?
tabasamu la machungu kiongoziPole mkuu vp uko kiumeni nn pende za Ukonga??
Sure mkuuMkuu, huwezi kusoma comments za kuelewa? Watu watu wawili wamethibitisha kuwa utomvu wa mgomba ama ndizi ni dawa nzuri na inaponesha kwa mapema mno kuliko hayo madawa yanayotembea kwa wiki 3 mpaka 4.
Nadhani Mkuu ni vyema ukafuata njia ambayo wenzeko waliitumia maana wana uthibitisho.
Utomvu huu ni wa matawi au hadi nikate kile cha katikati? Please help kuna mtu wangu wa karibu anahitaji msaada harakaExactly Mimi nilipona Kwa kutumia mixer ya utomvu WA mgomba na Maji maji ya malimao wiki moja tu hadi Leo hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye tawi kuna majani ya mgomba yale ya kijani ambayo huwa yanatumika kubanikia wali uive vizuri sasa acha hayo kata kipande kinachoyashikilia hayo majani utoe utomvu wake AU kata gome la chini teketeke ilimradi tu upate utomvu wake .Utomvu huu ni wa matawi au hadi nikate kile cha katikati? Please help kuna mtu wangu wa karibu anahitaji msaada haraka
Shukrani mkuu! Migomba nyumbani ipo, nitampa hii lessonKwenye tawi kuna majani ya mgomba yale ya kijani ambayo huwa yanatumika kubanikia wali uive vizuri sasa acha hayo kata kipande kinachoyashikilia hayo majani utoe utomvu wake AU kata gome la chini teketeke ilimradi tu upate utomvu wake .
AU
Tafuta malimao ukamue maji yake then apakae kila anapoenda kuoga au kulingana na maumbile ya nyuma yalivyo akate limao katikati then awe anasugua kwenye eneo husika
Inamaana hata limao pekee linatibu?Kwenye tawi kuna majani ya mgomba yale ya kijani ambayo huwa yanatumika kubanikia wali uive vizuri sasa acha hayo kata kipande kinachoyashikilia hayo majani utoe utomvu wake AU kata gome la chini teketeke ilimradi tu upate utomvu wake .
AU
Tafuta malimao ukamue maji yake then apakae kila anapoenda kuoga au kulingana na maumbile ya nyuma yalivyo akate limao katikati then awe anasugua kwenye eneo husika
Unaona aibu kusema ni weweShukrani mkuu! Migomba nyumbani ipo, nitampa hii lesson
Mkuu kwani nikisema ni mimi au ni mtu wangu wa karibu kuna shida gani? Hakuna aibu katika ugonjwa mkuu. Basi tufanye unavotaka wewe, tatizo ni langu.Unaona aibu kusema ni wewe
Hii ni kweli kajaribu ..na utapona kabisaNitajaribu hii kitu kuna mtu wangu wa karibu anasumbuka