Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa mimi mkuu naona uwanja mmoja tu unatosha kuwa na running tracks.
Maana Tanzania hatuna sana mashindano ya riadha.
Uingereza mashindano ya riadha yapo mengi.
Toka kuwepo na hizo running tracks BWM stadium unakumbuka kuhost riadha mwisho mwaka gani!?
Kichaguliwe kiwanja kimoja kinatosha.
Hivi ngoja niulize kuna shida gani uwanja ukiwa na running tracks? Unakosa sifa ya kuwa uwanja wa soka? Unashindwa kuchezewa mpira? Watazamaji wanakosa fursa ya kuangalia mpira vizuri? Uwanja unaonekana mbaya? Ni shida gani inatokea uwanja ukiwa na running tracks? Maana naona ni ‘kila mtu’ sasa imekuwa trend kukataa running tracks na sioni mkisema sababu, naomba kuelimishwa tafadhali.
 
Stadiums construction everywhere in Kenya.

Masinde Muliro Stadium coming up in Bungoma County.

1714542636894.jpeg

1714542669296.jpeg

1714542727693.jpeg

1714542753908.jpeg

1714542801702.jpeg

1714542827128.jpeg
 
Hivi ngoja niulize kuna shida gani uwanja ukiwa na running tracks? Unakosa sifa ya kuwa uwanja wa soka? Unashindwa kuchezewa mpira? Watazamaji wanakosa fursa ya kuangalia mpira vizuri? Uwanja unaonekana mbaya? Ni shida gani inatokea uwanja ukiwa na running tracks? Maana naona ni ‘kila mtu’ sasa imekuwa trend kukataa running tracks na sioni mkisema sababu, naomba kuelimishwa tafadhali.
Uwanja haukosi sifa mkuu wala hauwi mbaya ukiwa na running tracks.
Ila kuweka yale madude kwa sisi hayana ulazima.Kwa sababu utumizi ni mdogo sawa na hakuna kabisa.
Viwanja vya hivyo viwe vichache tu hata viwili vinatosha.
Vilivyobaki viwe full football stadia.
Itizame BWM Stadium,mikapeti ya running tracks imekaa kiasi na kufubaa mpaka inaharibu taswira ya uwanja,na mikapeti yenyewe ukiulizwa ni lini imehodhi mashindano ya riadha huwezi hata kukumbuka.
 
Hivi ngoja niulize kuna shida gani uwanja ukiwa na running tracks? Unakosa sifa ya kuwa uwanja wa soka? Unashindwa kuchezewa mpira? Watazamaji wanakosa fursa ya kuangalia mpira vizuri? Uwanja unaonekana mbaya? Ni shida gani inatokea uwanja ukiwa na running tracks? Maana naona ni ‘kila mtu’ sasa imekuwa trend kukataa running tracks na sioni mkisema sababu, naomba kuelimishwa tafadhali.
Kaka Kuna kasumba ya kijinga! Hebu imagine GoT itumie kodi yetu kujenga uwanja wa soccer tu badala ya multipurpose stadium wakati kuna michezo mingi! Hayo matakwa yao nchi zilizoendelea clubs za soccer ndo hufanya hivyo na si viwanja vya serikali!
 
Uwanja haukosi sifa mkuu wala hauwi mbaya ukiwa na running tracks.
Ila kuweka yale madude kwa sisi hayana ulazima.Kwa sababu utumizi ni mdogo sawa na hakuna kabisa.
Viwanja vya hivyo viwe vichache tu hata viwili vinatosha.
Vilivyobaki viwe full football stadia.
Itizame BWM Stadium,mikapeti ya running tracks imekaa kiasi na kufubaa mpaka inaharibu taswira ya uwanja,na mikapeti yenyewe ukiulizwa ni lini imehodhi mashindano ya riadha huwezi hata kukumbuka.
Nani kakwambia matumizi madogo? Kama facilities zipo unafikiri IAA hawatakuja kutaka michezo yao ifanyike hapo? Kwahiyo kinachotaka kufanyika Dodoma kujenga sports complex indoor and swimming arenas tuache? Hivi upeo wako na elimu yako iko vp mshikaji? Unajua kitu kinaitwa Cost Benefit Analysis? Kila facility ya serikali lazma iwe multipurpose.
 
Nani kakwambia matumizi madogo? Kama facilities zipo unafikiri IAA hawakuja kutaka michezo yao ifanyike hapo? Kwahiyo kinachotaka kufanyika Dodoma kujenga sports complex indoor and swimming arenas tuache? Hivi upeo wako na elimu yako iko vp mshikaji? Unajua kitubkinaitwa Cost Benefit Analysis?
Mkuu mie sijakataa hivyo viwanja kuwepo,ila viwe na idadi ndogo.
Hatuna ulazima wa kila kiwanja cha serikali kiwe hivyo.
Maana soka limetawala kuliko riadha,hata katika kuibua vipaji utapata wanasoka wengi Tanzania kuliko wanariadha.
Hiyo sports complex ya Dodoma kuna umuhimu kujengwa ili kuibua vipaji tofauti tofauti.
Ila nachokipinga mimi kila kiwanja kuwa hivyo.
Viwili tu vinatosha,hatuna mashindano ya riadha ya wingi kiasi hicho wala hatuna ratiba nyingi za kuhodhi hayo mashindano kiasi hicho.
Kwa mimi huo ndio mtizamo wangu viwanja viwili vinatosha.
Bongo ni soka soka ni Bongo.
 
Hivi ngoja niulize kuna shida gani uwanja ukiwa na running tracks? Unakosa sifa ya kuwa uwanja wa soka? Unashindwa kuchezewa mpira? Watazamaji wanakosa fursa ya kuangalia mpira vizuri? Uwanja unaonekana mbaya? Ni shida gani inatokea uwanja ukiwa na running tracks? Maana naona ni ‘kila mtu’ sasa imekuwa trend kukataa running tracks na sioni mkisema sababu, naomba kuelimishwa tafadhali.
Ulimbukeni wa viwanja binafsi vya clubs za premier League!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom