GANJIBHAAI
Senior Member
- Mar 22, 2018
- 142
- 461
I bet Max inakuja kwa ajili ya RaisHehe 😂 ngoja na 737 BBJ ije, sijui utasema nini....😂
I bet Max inakuja kwa ajili ya RaisHehe 😂 ngoja na 737 BBJ ije, sijui utasema nini....😂
Hope keshajua tofauti ya Tanzania na Kenya, hakuna mtalii anarudi Kenya baada ya kufika Tanzania, no wonder tunawazidi tourist receipts tena kwa mbali sana.Ndio maana tunawaambia hizi beef zenu na hasira zimetokana na inferiority complex na utoto. Kelis mwenyewe ashawai kuja Tanzania anajua mlima upo Tanzania. Hapo amesema tu anaupna Kilimanjaro ndio nyinyi Watanzania mmeanza kelele zenu. Ndio maana Kila siku mnasema tunawaibia vitu.😂😂
Mmemwambia kwani hajui? Utoto ndio mko nao. Mnajiaibisha.tumemwambia whose Mt is that! That's confidence!
Onesha ukubwa wako kwa kupost Kichuguu chenu cha KenyaMmemwambia kwani hajui? Utoto ndio mko nao. Mnajiaibisha.
As long as it is ours hamna utoto ni wivu unakusumbua! Mimi nimeweka comment pia leo! Popote pale utakapoona view ya Mt Kilimanjaro, it belongs to Tanzania comment itakuwapo! Huwezi kuona Watanzania wanacomplain kuhusu Kibera belongs to Kenya!Mmemwambia kwani hajui? Utoto ndio mko nao. Mnajiaibisha.
Sasa si uende uambie Kelis? Unaniambia ndio nifanye?😂😂As long as it is our hamna utoto ni wivu unakusumbua! Mimi nimeweka comment pia leo! Popote pale utakapoona view ya Mt Kilimanjaro, it belongs to Tanzania comment itakuwapo! Huwezi kuona Watanzania wanacomplain kuhusu Kibera belongs to Kenya!
Ni mkutano wa Kimataifa.Hii ni official visit ama ni mkutano wa kimataifa?
Wewe Mkundu si umeleta malalamiko ya Wazalendo kumuambia Kelis Mt Kilimanjaro upo na unamilikiwa na Tanzania tukakugonga vitasa!Sasa si uende uambie Kelis? Unaniambia ndio nifanye?😂😂
Ni habari ya March 2020 bongolala1968 news serious 😂😂😂 ww umechanganyikiwa na floods au
View attachment 2976194
View: https://x.com/MsigwaGerson/status/1783510138688548889
Kagusia issue ya kutoa running tracks kwenye UHURU STADIUM ambayo nilikuwa naisema watu wakaniona mimi mjuaji, a soccer stadium does not need running tracks hata MKAPA ikiwezekana waitoe tu uwe full soccer stadium runniing trucks zibaki ARUSHA , plus kaongelea kujenga Dodoma stadium
Sijalalamika, nimecheka. Kuna tofauti.😂😂Wewe Mkundu si umeleta malalamiko ya Wazalendo kumuambia Kelis Mt Kilimanjaro upo na unamilikiwa na Tanzania tukakugonga vitasa!