Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Daily dose

d7d6d6af-65a9-4b1c-af67-e9f07d1a77be.jpg
Asante kwa render once again 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hizi statistics hazielezei meat consumption in Tanzania! meat consumption in Tanzania na beef export from Tanzania ni vitu viwili tofauti!
Sikuongelea matumizi ya ndani, haya hayajabadilika sana.Ila niliongelea export ambayo ilisababishwa na zile mashine za machinjio za kisasa, unakumbuka ile shtukiza ya vingunguti?. Zamani ilikuwa vigumu kuexport nyama zetu kwakuwa hatukuwa na machinjio ya kisasa, pamoja na uwezo wa kusafirisha nyama ng'ambo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom