Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haya sawa Acha sifa leta kalamu niwasainie muwe na CAF and FIFA standards Fanya upesi ila usisahau kuna na kitu kidogo plz ukiwaambia wenzako😂😂😂😂😂😂😂
Viwanja vya CAF ni Azam, tulitoka huko kitambo😃
 
Kirigiti Stadium Changing rooms and offices.

Facilities like this ni ndoto in Tanzanian stadiums, maybe Makwapa pekee.
a11-jpg.5900525



a12-jpg.5900526



a13-jpg.5900527



a14-jpg.5900528



a17-jpg.5900529



a18-jpg.5900530
Kwani tumeomba facility ya Kirigiti au Dandora? naona seats za concrete!
 
Nasema leta kalamu niwasainie muwe na standards za CAF na FIFA 😂😂😂😂😂😂
Mimi hao CAF hata siwaamini sasa. Naona kama ni watu bogus walaji wa mlungula. Kama matope kama Azam yawakuwa approved hata kama ni kwa group stages pekee wakati stadium nyingi hapa Kenya zina facilities bora kuwaliko then kuna ufisadi sana hapo CAF. Hizo ni approvals za makaratasi.
 
Mimi hao CAF hata siwaamini sasa. Naona kama ni watu bogus walaji wa mlungula. Kama matope kama Azam yawakuwa approved hata kama ni kwa group stages pekee wakati stadium nyingi hapa Kenya zina facilities bora kuwaliko then kuna ufisadi sana hapo CAF. Hizo ni approvals za makaratasi.
Ukiwaona hawataki kushare picha za changing rooms jua tu ni vichekesho. Zingekua poa wangekua wanaziangusha humu Kila siku namna wanavyopenda sifa.😂😂😂
 
Back
Top Bottom