ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mimi hao CAF hata siwaamini sasa. Naona kama ni watu bogus walaji wa mlungula. Kama matope kama Azam yawakuwa approved hata kama ni kwa group stages pekee wakati stadium nyingi hapa Kenya zina facilities bora kuwaliko then kuna ufisadi sana hapo CAF. Hizo ni approvals za makaratasi.
Yani ww unaakili kweli ?? Wenzako waliofika wanakwambia walichoona kwa macho Yao
View: https://twitter.com/kinjeketile/status/1596942931411496961?t=eoIn0TSHf0pUAzPhVQuMUA&s=19
View: https://twitter.com/CoachCalito/status/1680864781849305089?t=K87iDe5JxY_1wZ2T8oPR5A&s=19