Mkwanzania
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,144
- 4,377
Wameanza, tukivuta kende utasikia Zakayo kakimbilia Chamwino😅😅Mwendo mdundo,ukimwaga mboga wanamwaga Ugali ,Mkunya sio mtu mzuri wa kuchekea View attachment 2872714
Wameanza, tukivuta kende utasikia Zakayo kakimbilia Chamwino😅😅Mwendo mdundo,ukimwaga mboga wanamwaga Ugali ,Mkunya sio mtu mzuri wa kuchekea View attachment 2872714
Tunawakumbusha tuu,hater wenzao Malawi wameachia.Tuna vingi vya kuwanyoosha.Wameanza, tukivuta kende utasikia Zakayo kakimbilia Chamwino😅😅
Mama yangu!! Acha tuone watareact vipi. Kumbe yule boss wa KQ kujifanya kuja bongo kuangelea biashara ya Cargo na ATCL kumbe ulikua usanii tu. Na kwa hizo 3 daily flights zao, sijui ni 5x tuone itakuwaje sasa. Rwanda, Uganda airlines, air Malawi wapo kuchukua wateja wao. Sisi hatuna shida. Acha tuone wao sasa!!Mwendo mdundo,ukimwaga mboga wanamwaga Ugali ,Mkunya sio mtu mzuri wa kuchekea View attachment 2872714
Wanaumia roho Kwa wivu hao mbwa ni balaa.Mama yangu!! Acha tuone watareact vipi. Kumbe yule boss wa KQ kujifanya kuja bongo kuangelea biashara ya Cargo na ATCL kumbe ulikua usanii tu. Na kwa hizo 3 daily flights zao, sijui ni 5x tuone itakuwaje sasa. Rwanda, Uganda airlines, air Malawi wapo kuchukua wateja wao. Sisi hatuna shida. Acha tuone wao sasa!!
Anafanya yale yale aliyo laani akiwa Nairobi.
View: https://twitter.com/KipepeComrade/status/1746919096443081204
Bado hawajasema Hadi waseme 😁😁😁😁Mungiki wameyakanyaga, wameyatimba 😆😆😆
Maajabu hayaishi duniani. Giant wa EAC anaenda kuomba hela ya miradi ya maji?Teargas matajirii, green net kila mji, Middle Finger economy, Singapore ya EA, HQ ya kila KAMPUNI kubwa EA, hizo sifa zotee mnaenda kuomba ITALY hela ya mifereji ya Maji?
Nilisikia KRA inakusanya kuliko Bongo imekuaje tena?
Cheap talk, you cannot make up a random baseless claim and truly believe it. That’s blatant ignoranceNa mbona rangi ya nyumba bado inatawala kwenye SGR yenu? Itakuwa ni "Wazungu" hufanya hiyo maneno!
Zipo airlines nyingi za kwenda USA zinatokea TanzaniaThis will not change the fact that uf a Tanzanian want to travel to USA, they will have to travel to jkia then connect with KQ direct to JFK
Okay dude, take a chill pillMmeamua kuiga. Sisi tume paint twinga since the beginning. Your painting is ugly.
Alafu hayajifunzi, kila yakileta hii battle yanapigwa heads downTunawakumbusha tuu,hater wenzao Malawi wameachia.Tuna vingi vya kuwanyoosha.
Ishu ya Bandari,Sgr,bwawa la umeme,Eacop,Dola crisis etc imewauma sana.
Hao mbwa si juzi tuu walikuwa wanajipitisha kuomba dawa? Au Walinyimwa wanatikisa kiberiti? 😂😂