Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_4333.jpg
 
darslam is a very exceptional city for all the wrong reasons.

atlanta View attachment 2087269View attachment 2087273



joburgView attachment 2087268View attachment 2087272
Danganyinaks mataga hapa jf Kenyan section in the last 5-10 years ndo wamejua umuhimu wa miti kutoka kwa wakenya. Kabala ya hapo, Nairobi walikua wanaiitaa pori sasa wamejua Atlanta, Jo'burg etc zote ni pori na zimeendela kuliko dar-is-a-slum.
Generally tanzanians wana low IQ ju ya GDP ndogo na mfumo wao wa masomo ni wa kijinga kama hawajui umaana wa miti in the 21st century.
 
Kenya walivyochinjana nani alikuja Kuwapatanisha ??
Na wale wakenya waliokimbilia Tanzania wakati wa uchaguzi na hata Mwaka Huu kujihifadhi jiulize kwanini .
Nyerere alikuwa tayari kusubiri kupata uhuru ili apate pamoja na Kenyatta .
Wakati wa jumuiya Tanzania Ndio ilikuwa strongest kiuchumi kenya akafanya hila jumuiya ikavunjika akabaki na utajiri wote wa jumuiya Tanzania ikaanza Upya .
Jiulize hapo Yupi mkorofi ?
Kenyans are untrusted neighbour
 
Danganyinaks mataga hapa jf Kenyan section in the last 5-10 years ndo wamejua umuhimu wa miti kutoka kwa wakenya. Kabala ya hapo, Nairobi walikua wanaiitaa pori sasa wamejua Atlanta, Jo'burg etc zote ni pori na zimeendela kuliko dar-is-a-slum.
Generally tanzanians wana low IQ ju ya GDP ndogo na mfumo wao wa masomo ni wa kijinga kama hawajui umaana wa miti in the 21st century.
Usisahau Singapore

0.43645400_1564657649_78.jpg
 
Wenzako watasema ni mapori. Wao wanataka concrete jungle.
Watanzania wengi hawafahamu umuhimu wa green spaces. Hii tamaduni ya public green spaces ni foreign kwenye hii nchi. Pia sidhani kama Dar ina public parks.

Maeneo ya wazi ya kupumzika yenye miti ya kutosha ni muhimu kwenye majiji makubwa. Hata concrete jungles kama New York na Tokyo bado zina expansive green areas. Mimi sijui hata hizi local authorities zinafanya kazi gani. Mji wa watu milioni 7 hauna parks? Why? Dar needs to learn from other concrete jungles.


Greater Tokyo, Japan
Population: 37,000,000
876809DC-4CAA-436D-9992-4FD3187DBFFF.jpeg
2944E9C6-3B02-4AB9-86DF-53F079722E5A.jpeg
5A308B4A-3580-42DF-A60D-EA29535F75F5.jpeg
9D1EF29C-26E9-4A59-BBFC-BEEDE936B7CB.jpeg



Nasikia kuna project ya ku-transform Msimbazi basin into a park? Labda hii itakuwa ni step nzuri.
2A1FC345-D4D2-4476-BF6B-3B28852D5D08.jpeg
3F9E7780-4EC1-40F3-9136-A936E2D4BC1C.jpeg
 
Watanzania wengi hawafahamu umuhimu wa green spaces. Hii tamaduni ya public green spaces ni foreign kwenye hii nchi. Pia sidhani kama Dar ina public parks.

Maeneo ya wazi ya kupumzika yenye miti ya kutosha ni muhimu kwenye majiji makubwa. Hata concrete jungles kama New York na Tokyo bado zina expansive green areas. Mimi sijui hata hizi local authorities zinafanya kazi gani. Mji wa watu milioni 7 hauna parks? Why? Dar needs to learn from other concrete jungles.


Greater Tokyo, Japan
Population: 37,000,000
View attachment 2087526View attachment 2087527View attachment 2087528View attachment 2087529


Nasikia kuna project ya ku-transform Msimbazi basin into a park? Labda hii itakuwa ni step nzuri.
View attachment 2087530View attachment 2087531
Yaani mambo ya wa tz ni kutakuwa ....mnapanaga....tuonyesheni mambo yamekamilika
 
Watanzania wengi hawafahamu umuhimu wa green spaces. Hii tamaduni ya public green spaces ni foreign kwenye hii nchi. Pia sidhani kama Dar ina public parks.

Maeneo ya wazi ya kupumzika yenye miti ya kutosha ni muhimu kwenye majiji makubwa. Hata concrete jungles kama New York na Tokyo bado zina expansive green areas. Mimi sijui hata hizi local authorities zinafanya kazi gani. Mji wa watu milioni 7 hauna parks? Why? Dar needs to learn from other concrete jungles.


Greater Tokyo, Japan
Population: 37,000,000
View attachment 2087526View attachment 2087527View attachment 2087528View attachment 2087529


Nasikia kuna project ya ku-transform Msimbazi basin into a park? Labda hii itakuwa ni step nzuri.
View attachment 2087530View attachment 2087531

Umeongea vizuri…..we need more trees na ‘mapori’ kwenye cities zetu. Kuwa na majengo kila sehemu sio ujanja, actually ni ushamba na umbumbu wa hali ya juu. Cities need to breath and absorb carbon emission from the vehicles and factories.
 
Bado mtu atakuambia Tz kuna magari mengi kuliko ke,Huo mzigo hata kama sio wote ni wakwao lakini bado volume ni kubwa mara 3 na zaidi kuliko uliopita kwetu.
Kama Kenya wangekuwa wanasajili magari mengi zaidi yetu, tags (plate number) za magari yao zingekuwa na combination kubwa kuliko sisi. Combination ya namba za magari kwa nchi zetu hizi ni sawa, yaani (herufi 3, namba 3).

State ya California kwa mfano (herufi 3, namba 4), inasajili magari mengi kwa mwaka kuliko state ndogo ya kentucky (herufi 3, namba 3).
 
Kama Kenya wangekuwa wanasajili magari mengi zaidi yetu, tags (plate number) za magari yao zingekuwa na combination kubwa kuliko sisi. Combination ya namba za magari kwa nchi zetu hizi ni sawa, yaani (herufi 3, namba 3).

State ya California (herufi 4, namba 3) kwa mfano, inasajili magari mengi kwa mwaka kuliko state ndogo ya kentucky (herufi 3, namba 3).

Itabidi mtu mwenye uelewa wa hisabati hiyo atufanyie mambo. Kwa mfano magari haya ambayo hayapo katika mfumo wa TXXXAAA

Mfano mashirika ya Umoja wa Mataifa yanakua na Namba flani mbele halafu inayofuata baada ya CD ndio inaonyesha hilo gari ni la ngapi.

Mfano: T 120 CD 780 inamaana hilo gari ni la 780

Na Tanzania Kila Embassy ina namba yake
Mfano embassy flani T28CD 360 maana yake wana magari 360 tayari ukiachana na Mfano T 28CDM1 ambalo ni la Balozi mwenyewe , Na balozi zingine zinaweza kuwa na CDM1, 2 etc.
Bado DFP, ST, SM, SU, PT,etc
Na hawa Jamaa pamoja na serikali idadi ya magari yao inajulikana kwa kuwa wananunua brand new na manufacturers wanaweza kuwa na data zao tofauti na sisi tunakutana soko la second hand. Hata hivyo data zipo.

Nina uhakika mtu wa Hisabati anaweza solve na aakapata idadi ya magari kwa nchi zote akipata gari la mwisho namba yake. Nadhani TZ sasa hivi tupo TxxxDX*
 
Back
Top Bottom