El Matador
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 7,132
- 3,936
Hehehe. .....you sound angry.we akili yako naona haiwezi kua timamu.... nonsense 😀😀😀😀😀😀
Hehehe. .....you sound angry.we akili yako naona haiwezi kua timamu.... nonsense 😀😀😀😀😀😀
None of your 'cities ' from mwanza going downwards can even compete kisumu. ...next.....kwanza taxi za kisumu unazijua kaka hahahahah muulize akujibu na akishindwa kujibu ntajibu mimi😀😀😀😀😀
Kwa mbali naiona mzizima tower....Dar inazidi kupendeza siku hadi siku.
Yani usiogope ruhusu tumewapa ya kuleta miji yenu yote ishindane na dsm naona sasa unaleta na nchi zingine ziwasaidieKampala looks way better than Daresalaam honestly. ...mimi siangalii towers za kuziba watu macho....just look at the beauty
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/65c0b76f054240fd7c
7fe750572159e0.jpg
![]()
![]()
Nairobi mpaka wawe na usafiri wa jiji classics kama wa DSM sijui itakuwa mwaka gani , nimekuwa Nairobi matatu ni uchafu tu ikifika jioni watu wote wanakaa kwenye pub za mjini ambazo mostly zipo first floors ya majengo mengi ya katikati ya jiji wakiwa wanasubiria foleni ipungue
mashallah mashallah bro.job well-done.
Nairobi mpaka wawe na usafiri wa jiji classics kama wa DSM sijui itakuwa mwaka gani , nimekuwa Nairobi matatu ni uchafu tu ikifika jioni watu wote wanakaa kwenye pub za mjini ambazo mostly zipo first floors ya majengo mengi ya katikati ya jiji wakiwa wanasubiria foleni ipungue
Kuna moja nilikuwa naipenda kukaa inaitwa edge ila nikagundua watu pia wana hali ngumu za uchumi mtu mtu bia akinywa analamba mpaka mda wa kuondoka kanywa moja tu

hongera kwa kujifariji.None of your 'cities ' from mwanza going downwards can even compete kisumu. ...next.....
Nice ,it looks awesome
Hahaha ety umekua Nairobi????? Wewe ufikaje Nairobi na bado uko na ufala.....nyie pia mwahitaji superhighways na infrastructure Kali kucompete naiNairobi mpaka wawe na usafiri wa jiji classics kama wa DSM sijui itakuwa mwaka gani , nimekuwa Nairobi matatu ni uchafu tu ikifika jioni watu wote wanakaa kwenye pub za mjini ambazo mostly zipo first floors ya majengo mengi ya katikati ya jiji wakiwa wanasubiria foleni ipungue
Kuna moja nilikuwa naipenda kukaa inaitwa edge ila nikagundua watu pia wana hali ngumu za uchumi mtu mtu bia akinywa analamba mpaka mda wa kuondoka kanywa moja tu