Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kila kitu wanataka kuiga kutoka kenya sekta ya barabara mijini..

Wameona thika na wao wakaamua kujenga kituko, sai nako hko kwao eti wameanza kupanua barabara..

Waje wachukue somo


Sent using Jamii Forums mobile app

hatujaona bado barabara ya kuja kuchukua somo bado sana vp mlivokuja kuchukua somo la BRT mlijua BRT ni sawa na kula bajia😂😂😂😂👇👇👇

 
Unatafuta pa kutokea
Sasa ya nini zile mbwembwe zote halafu mkashindwa kuwalipa kwa wakati..

Tena tusubiri mda tu, utasikia kuna wengine hawajamaliziwa hela zao

Sent using Jamii Forums mobile app
wanalipwa kwa wakati baada ya kuhakikiwa huwez lipa madeni hewa tu lazma wathibitishwe ndio walipwe, magufuli halipi madeni hewa never ever
 
Sasa ilikuwaje kuwaje ukapelekwa club ya mda mrefu vile
Manake f2 ina umri sana mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
hii nayo ni club aisee munasafari ndefu sana😂😂😂👇👇👇👇
97F6F087-5F10-442C-B3BA-6B1BCC2940D2.jpeg
 
Back
Top Bottom