Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kwamba hii casablanca ndio inataka shindana na night club za mwanaza au arushaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡View attachment 1448188
Daaah, kama hii kweli ndiyo club ya kisasa huko Mombasa basi kazi bado wanayo. Wakati huku kwetu hiyo ni baa ya kawaida tu tena ya mtaani. Nimecheka sana! πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Pia tuna upcoming 10 lanes,40% done
images (13).jpeg
 
Nimecheka sana, vile vibibi huwa vinataka asubuhi ukibebe ukipeleke ukakianike kikaotee jua halafu likiwa kali unakirudisha ndani, jioni hivyohivyo, kinajinyea na unakiogesha, halafu unakuta kina MK254 wanafungua nyuzi za kusherekea Remitances humu, Wakenya wana maisha magumu sana.
LOL uchumi wa Kenya unategemea wakenya wanaoogesha vibabu vya kizungu ulaya, sasa vibabu vimechukuliwa na Corona na uchumi wa Kenya umewafata kaburini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah, kama hii kweli ndiyo club ya kisasa huko Mombasa basi kazi bado wanayo. Wakati huku kwetu hiyo ni baa ya kawaida tu tena ya mtaani. Nimecheka sana! πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
yani hawa wanaushuzi wa sayari ya nneπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom