ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,860
itachomoka lini hebu tupe habari😂😂😂Ile overpass itachomoka hapo walai,watapenda 😍
itachomoka lini hebu tupe habari😂😂😂Ile overpass itachomoka hapo walai,watapenda 😍
hahahah amekosa nilichomuomba toka jana hapa sio nairaland kwamba mutadanganya watu ovyo tu😂😂😂😂😂
wazoee tu bro nairaland wamedanganya sana sasa wanafkiri na huku ni the same😂watu wanakata majan na miti wakalishe mbuzi yey anasema construction imeanza![]()
The size of some primary schools in Kenya
akikuonesha tu nitag😂😂😂😂Show us such a school that has a size of university of dsm.
Usimuaibishe pleaseUshawahi kufika Dallas Tx, kuona spaghetti dowtown kabisa?
Unakumbuka tuliwahi kujadiliana mwezi Dec kuhusu mgombea wa Democrat, nikasema Bernie atakuwa mshindi, ukasema tutaona. Aisee, ulikuwa sahihi.Usimuaibishe please
dunia inapigana na corona majirani wanapigana na raia wao👇👇👇👇
aisee ni vituko wakat mafurikonyameua watu over 200 bado wanashugulika na tanzaniaWako busy kutangaza Tanzania ndo inapeleka coronavirus Kunyaland!